×

Kitaifa

Polisi: Marufuku Mikutano ya Ndani ya Kisiasa, Ishu ya Polisi 4 Waliouawa Benki Dar

KUFUATIA mauaji ya askari wanne yaliyotokea Kata ya Mbande Temeke kwa watu wanaodhaniwa ni majambazi kuvamia benki ya CRDB na...

READ MORE

Kingunge Awataka Mkapa na Mwinyi Wamshauri JPM Azungumze na Chadema

ALIYEKUWA kada wa CCM, Kingunge Ngombale Mwiru  amewaomba  marais wastaafu, Rais Ali Hassan Mwinyi na Benjamin Mkapa kuzungumza na Rais...

READ MORE

Barass Bingwa Airtel Rising Stars Mwanza

Mkuu wa Wilaya ya Nyamagana Dr. Leonard Masale (katikati) akimkabidhi kombe la ubingwa nahodha wa Barass Sports Centre baada ya...

READ MORE

JPM Amuapisha Mkurugenzi Mpya wa Usalama wa Taifa

    Amiri Jeshi Mkuu Rais Dkt.John Pombe Magufuli akimsikiliza Mkurugenzi Mkuu wa Idara ya Usalama wa Taifa Dkt Modestus Francis...

READ MORE

Hukumu Kesi ya Babu Tale Yaahirishwa Tena

Bab Tale akitoka mahakamani akiongozana na Said Fela a.k.a Mkubwa Fela. Bab Tale akishuka ngazi za mahakama. Mkubwa Fela na...

READ MORE

Wanaume ‘Wazaa’ Mapacha Watatu wa Kupandikizwa

WANAUME wawili wanaoishi kama mume na mke (mashoga) nchini Afrika Kusini wanasemekana kuwa watu wa kwanza katika ukanda huo na...

READ MORE

Zantel Yafanya Ziara Ofisi Ya Rais wa Zanzibar

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (kulia)akisalimiana na Bw ,Mauricio Ramos, Mtendaji Mkuu wa...

READ MORE

Twiga Bancorp Yakabidhi Tuzo kwa Kikoba cha Chamabavu

Mkurugenzi wa Maendeleo ya Biashara wa banki ya Twiga Bancorp, Solomon Haule (kulia) akionesha tuzo aliyoikabidhi kwa kikoba cha  Chamabavu...

READ MORE

Rais JPM Amteua Dk. Kipilimba kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Usalama wa Taifa

Rais Dk. Magufuli. Rais Dk. John Pombe Magufuli leo amemteua Dk. Modestus Kipilimba kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Idara ya Usalama...

READ MORE

Mke wa Bilionea Msuya Kortini kwa Mauaji ya Wifi Yake

Dar es Salaam MKE wa bilionea Erasto Msuya, Miriam Elisaria Msuya (41) amefikishwa mahakamani kwa tuhuma za mauaji ya dada...

READ MORE

Chadema Wamualika Sirro Kuhudhuria Maandamano ya UKUTA

Kamanda Sirro akionesha moja ya fulana zilizokamatwa zikiuzwa mtaani zinazodaiwa kuwa za kuhamasisha uvunjifu na uchochezi, juzi Jumatatu jijini Dar...

READ MORE

Majambazi Yaua Polisi 4 Mbagala, Dar

Jeshi la Polisi limethibitisha kuwa jumla ya askari wake wanne wameuawa usiku wa kuamkia leo baada ya majambazi kuvamia tawi...

READ MORE

Anusurika Kifo Ajali ya Gari Tabata-Barakuda, Dar

Gari likiwa limepinduka. MTU mmoja ambaye jina lake halikufahamika mara moja amenusurika kifo baada ya gari alilokuwa akiliendesha kuacha njia...

READ MORE

Dar Wachangamkia Gazeti la Uwazi

Mwanadada Fortunata Elia mkazi wa Yombo-Relini akisoma gazeti la Uwazi, pembeni ni Ofisa Usambazaji wa Global, Jimmy Haroub. Riziki Salehe...

READ MORE

Mutungi Ataka Vyama Vimalize Migogoro

Msajili wa Vyama vya Siasa, Jaji Francis Mutungi (wa pili kushoto) akizungumza na wanahabari. MSAJILI wa Vyama vya Siasa, Jaji...

READ MORE

Picha: Twiga Mwenye Mimba Aliyegongwa na Gari na Kufa

Askari wakimtazama Twiga mwenye mimba aliyegongwa na gari na kufa barabara ya Arusha- Dodoma Agosti 18

READ MORE

Polisi Wamzuia Lowassa Kuingia Rukwa na Katavi

Msafara wa aliyekuwa mgombea wa Urais kupitia Chadema, Edward Lowassa umekwama kwenda Mikoa ya Rukwa na Katavi  baada ya polisi...

READ MORE

Exclusive: Vijana Waiba Baraghashia ya Mzee Akilimali, Achimba Mkwara Mzito

Mzee Ibrahim Akilimali maarufu kwa jina la Mzee Akilimali. Taarifa zilizotufikia ni kuwa Mzee Ibrahim Akilimali maarufu kwa jina la...

READ MORE

Prof. Lipumba Akana Kuhusika na Vurugu Mkutano wa CUF

Aliyekuwa Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF), Prof. Ibrahim Lipumba amesema kuwa hausiki na vurugu zilizoibuka katika mkutano mkuu wa...

READ MORE

Lowassa Apigilia Msumari wa Oparesheni UKUTA ya Sept. 1

JANA Agosti 22, 2016, aliyekuwa mgombea urais kwa tiketi ya Chadema kwenye uchaguzi mkuu wa Oktoba mwaka jana ambaye pia...

READ MORE

Mbunge Mussa Mbaruk Apandishwa Kortini

Mbunge wa jimbo la Tanga kwa tiketi ya chama cha wananchi CUF chini ya umoja wa katiba ya wananchi (UKAWA)...

READ MORE

Efm Radio, Vodacom kuja tena na muziki mnene

Meneja wa Efm, Dennis Ssebo (kulia) akizungumza jambo mbele ya wanahabari (hawapo pichani). Viongozi hao wakiwa katika picha ya pamoja...

READ MORE

Pichaz: Jeshi la Polisi Mkoa wa Singida Likifanya Majaribio ya Silaha

Baadhi ya askari polisi mkoani Singida, wametembeza silaha zao kwenye mitaa mbalimbali Singida mjini, kwa ajili ya kuwaonyesha wananchi silaha...

READ MORE

Utoaji wa Malalamiko na Kero Juu ya Huduma za Afya Nchini

Kaimu Mkurugenzi wa Kinga Dkt. Khalid Massa (katikati) akifafanua jambo. Ummy (katikati) akisikiliza maswali ya wanahabari yaliyokuwa yakiulizwa baada ya...

READ MORE

Taarifa kwa Umma: Mapitio ya Sera ya Afya ya Mwaka 2007

Waziri wa Afya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu akionesha kitabu chenye mwongozo wa Sera ya wizara...

READ MORE

UVCCM Waitisha Maandamano Nchi Nzima Agosti 31

Kaimu Katibu Mkuu wa UVCCM, Shaka Hamidu. Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi (UVCCM) wanatarajia kufanya maandamano ya Amani...

READ MORE

Vinara wa Wizi wa Magari na Vifaa Vyake Wakamatwa Dar!

Gari lililokuwa limeibiwa n kubadilishwa rangi. Wanahabari wakifuatilia taarifa ya Kamanda Sirro. KUKAMATWA KWA MTUHUMIWA KWA KOSA LA WIZI WA...

READ MORE

Majambazi 3 Hatari Wauawa Dar, Polisi Wakamata Sare za ‘UKUTA’

Kamishna wa Polisi  Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Simon Sirro akizungumza na wanahabari kuhusiana na matukio mbalimbali waliyokamata. Kamanda...

READ MORE

Mghwira wa ACT-Wazalendo Azindua ‘Tanzania Role Model’

       Mwenyekiti wa Chama cha  ACT-Wazarendo, ambaye alikuwa mgeni rasmi katika hafla hiyo,  Anna Mghwira, akizindua mashindano hayo. …Akifafanua jambo...

READ MORE

Tutumie tukio kwa Global WhatsApp +255753 715 779

TUTUMIE picha ya tukio kwa namba 0753 715 779 kwa kutumia WhatsApp. Ukiwa wa kwanza kutumia picha zako zitatumika mtandaoni au...

READ MORE

Watu 15 wauawa kwa mlipuko wa bomu nchini Somalia

Milipuko miwili ya mabomu iliyotekelezwa na kundi la kigaidi la Alshabab imesababisha vifo vya watu 15 katika mji wa Galkayo....

READ MORE

Audio: Lema Amjibu Waziri Mwigulu Kuhusu Maandamano Septemba 1

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mwigulu Lameck Nchemba hivi karibuni akiwa ziarani mkoani Mtwara alizungumza na Askari wa...

READ MORE

Askari wa Upelelezi Mwanza Auawa Club Akidai Laptop

Tarehe 21.08.2016 majira ya 10:00 usiku katika eneo la Club ya Villa Park Resort Kata ya Kirumba Wilaya ya Ilemela...

READ MORE