×

Kitaifa

Mzee Aboud Jumbe Kuzikwa Leo Nyumbani Kwake Mjini Magharibi

Rais Mstaafu wa Awamu ya Pili wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, marehemu Mzee Aboud Jumbe anatarajiwa kuzikwa leo Jumatatu nyumbani...

READ MORE

Ndege za ATCL ‘zanukia’

KAMPUNI ya Ndege Tanzania (ATCL) inatarajia kuingiza nchini ndege zake mpya mbili mwishoni mwa mwezi ujao. Kwa mujibu wa kampuni...

READ MORE

CUF Yampiga Profesa Lipumba Kugombea Uenyekiti

ALIYEKUA Mwenyekiti wa Chama Cha Wananchi (CUF), Profesa Ibrahim Lipumba, ametoswa rasmi kuwania nafasi hiyo katika uchaguzi wa chama hicho...

READ MORE

Job Ndugai Aomba Kukaa Meza Moja na UKAWA

Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Job Ndugai, amekiri bunge hilo kusambaratika na kuwa vipandevipande kutokana na...

READ MORE

Aboud Jumbe Mwinyi Afariki Dunia

Aboud Jumbe Mwinyi enzi za uhai wake. ALIYEKUWA rais wa pili wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar kati ya tarehe 7...

READ MORE

Wakazi wa Korogwe Jeshini Hatarini Kuambukizwa Magonjwa

Takataka zilizotelekezwa eneo la Kimara, Korogwe-Jeshini na kuwa kero kwa wakazi wa eneo hilo. Na Leonard Msigwa WAKAZI wa eneo...

READ MORE

Upinzani Waongoza Kura za Urais Zambia

Hakainde Hichilema TUME ya Taifa ya Uchaguzi nchini Zambia (ECZ) imetangaza matokeo ya awali ya uchaguzi mkuu uliofanyika juzi Alhamisi...

READ MORE

PSPF Yapata Wanachama Zaidi Kupitia Mpango Wa PSS

Hili ndilo Banda ambalo Mfuko wa Pensheni wa PSPF walikuwepo kwa ajili ya kutoa huduma mbalimbali ikiwa ni pamoja na...

READ MORE

Sizonje ya Mrisho Mpoto Yamkuna JPM

Utunzi mahiri wa mashairi na ughani uliotukuka wa Mrisho Mpoto, umeligusa sikio la Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania,...

READ MORE

Hakan Sukur

Turkish authorities have issued a warrant for the arrest of former football star and legislator Hakan Sukur over his links...

READ MORE

Waziri Nape Azindua Rasmi Kituo Cha TV 1 Kurusha Michuano ya EPL

Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Nape Nnauye akizungumza jambo katika hafla hiyo. WAZIRI wa Habari, Utamaduni, Sanaa na...

READ MORE

Muonekano Mpya Wa Ijumaa wapagawisha wasomaji Kisarawe!

Muuzaji wa magazeti ya Global, Mwamvita Rashid (kushoto) akiwauzia wasomaji wa Gazeti la Ijumaa. Salome Elias (kulia) akilisoma gazeti la...

READ MORE

Lapf Yawafunda Kuhusu Maandalizi Kabla ya Kustaafu

Meneja Masoko na Mawasiliano wa Mfuko wa Pensheni wa Serikali za Mitaa LAPF Bw. James Mlowe akizungumza wakati wa semina...

READ MORE

Magufuli: Narejesha CCM ya Nyerere

Mwenyekiti wa CCM, Dk John Magufuli akihutubia baada ya kupokewa Ofisi Ndogo ya CCM, Lumumba, Dar es Salaam jana. (Picha...

READ MORE

JPM Awasili Dar Akitokea Mwanza Kwenye Ziara

Rais Dkt. John Pombe Magufuli akiwapungia kuwasalimia wanaCCM waliofika kumlaki katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa J.K. Nyerere, jijini...

READ MORE

Shigongo Aongoza Waombolezaji Kuaga Mwili wa Mama wa Mhasibu wa Global

Jeneza lenye mwili wa marehemu, Bi. Halima Mohamed Mshana ambaye ni mama mzazi wa mhasibu wa Kampuni ya Global Publishers,...

READ MORE

Yanga kupigwa faini ya Sh 28m

  Omary Mdose, Dar es Salaam IMEFAHAMIKA kuwa, baada ya Yanga kuchelewesha kuwasilisha majina ya wachezaji wao watakaowatumia kwa msimu ujao...

READ MORE

Jumia Travel Announces Its New Country Manager

Fatema Dharsee, New Country Manager of Jumia Travel addressing the media.  Fast Growing booking Industry Company Strengthens Resources Dar es Salaam,...

READ MORE

Nmb Yazindua Tawi Jipya Katika Jengo la Rock City Mwanza

Mkuu wa Mkoa wa Mwanza John Mongela (katikati) akikata utepe kuzindua tawi la Rock City Mall la benki ya NMB...

READ MORE

Etihad Yaanzisha Huduma za Ndege ya Kisasa Shanghai

Wateja watashuhudua huduma za ubora wa hali ya juu kutoka kwa watoa huduma Itaongeza asilimia 27 ya ongezeko la ukuaji...

READ MORE

JPM Aweka Jiwe la Msingi Daraja la Waenda kwa Miguu la Furahisha

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Dkt. John Pombe Magufuli ameitaka Wizara ya Ujenzi,Uchukuzi na Mawasiliano kuhakikisha kuwa...

READ MORE

Waliokifilisi Chama Kikuu cha Ushirika cha Nyanza… Yametimia!

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli ameviagiza vyombo vya dola kuchunguza na kuchukua hatua za...

READ MORE

Uamuzi wa Kufuta Kesi ya Kitilya na Wenzake Watenguliwa

Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam imetengua uamuzi uliotolewa na Hakimu Mkazi Mkuu Emmilius Mchauru wa kufuta shtaka la...

READ MORE

Umeipata hii ya Makonda, Walimu Kusafiri Bure Kwenye Treni Dar?

Dar es Salaam, Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda amewatangazia walimu wa mkoa huo, kuanza kusafiri bure...

READ MORE

Amani Latinga Msasani, Wasomaji Walichangamkia

Wasomaji wa Gazeti la Amani wakiongozwa na Haji Juma (katikati) wakilisoma gazeti hilo. GAZETI la Amani leo lilitinga maeneo ya...

READ MORE

Ngariba Aliyekeketa Watoto wa Kike Zaidi ya 5,000 kwa Miaka 13 Aokoka

Serengeti, Mara Ngariba Nguli wa ukoo wa Wanyabasi ambaye amekeketa watoto wa kike zaidi 5, 000 kwa kipindi cha miaka...

READ MORE

Serikali Yalifungia Gazeti La Mseto Kwa Miezi 36

Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe.Nape Moses Nnauye  akizungumza na waandishi wa Habari kuhusu kulifungia gazeti la Mseto...

READ MORE

Makala afagilia vipaji Airtel Rising Stars

Wachezaji kutoka timu sita zinazo shiriki Michuano ya Airtel Rising Star chini ya miaka 17 wakimsikiliza Mkuu wa Mkoa wa...

READ MORE

JPM Kujenga Daraja Kama la Kigamboni la Kuunganisha Busisi na Kigongo

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli  tarehe 10 Agosti, 2016 ameanza ziara ya siku mbili...

READ MORE

Mtuhumiwa Auawa Akiwa Mahabusu Ndani ya Kituo cha Polisi

MKAZI wa Kwere wilayani Babati Mkoa wa Manyara, Mohamedy Pagweje (29), amepigwa na kufa na mtu anayedaiwa kuwa hana akili...

READ MORE

Ziara ya Rais Magufuli Mkoani Mwanza

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana na Mkuu wa Mkoa wa Mwanza John Mongella...

READ MORE

Makonda: Nataka Kuihamisha Stendi ya Ubungo…

MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda amewapiga marufuku mawakala wanaotoza faini za kuegesha magari vibaya katika Kituo...

READ MORE

Kitwanga, JPM Wakutana Uso kwa Uso

Rais John Magufuli jana alikutana ana kwa ana na rafiki yake, Charles Kitwanga ikiwa ni siku 80 baada ya kumvua...

READ MORE