×

Kitaifa

Hizi Ndizo Ruti za Mabasi 50 Yalioanza Kazi Mradi wa DART

Mabasi 50 yaliyoanza kazi rasmi leo Ijumaa April 22,2016. Ratiba ndefu imetangazwa. Lakini Lakini Kiwango cha nauli bado hakijawekwa wazi....

READ MORE

Jipatie nakala yako ya Championi IJumaa leo

KUFAHAMU YOTE HAYA NA MENGINE, NUNUA GAZETI LA IJUMAA, LEO April 22, 2016 KUNUNUA NA KUSOMA MAGAZETI YA GLOBAL PUBLISHERS...

READ MORE

Magufuli: Wanaotetea majipu tutawatumbua

Rais John Pombe Magufuli WAKATI baadhi ya taasisi za haki za binadamu, wasomi na wanasiasa wakikosoa mfumo wa Rais John...

READ MORE

Waya wa Umeme Ulioning’inia Barabarani Wazua Taharuki

Magari yakipita huku waya wa umeme ukiwa umening’inia.Hali ilivyokuwa huku madereva wakijitahidi kuukwepa waya huo.Foleni kubwa huku magari yakilazimika kutumia...

READ MORE

Mabasi yaendayo kasi katika majaribio Dar

Kamera za tovuti hii leo zimenasa taswira saba za mabasi yaendayo kasi yakiwa katika majaribio kwenye maeneo mbalimbali ya Jiji la...

READ MORE

Photoz: Waziri Mkuu katika mazishi ya Askofu Isuja

  Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akimpa pole Askofu Mkuu wa Jimbo la Dodoma , Beatus Kinyaiya katika mazishi ya Askofu...

READ MORE

NMB yazindua Business Club Ifakara

Mkuu wa Wilaya ya Kilombelo Mhe. Leph Benjamini Gembe akifungua pazia kuashiria uzinduzi rasmi wa NMB Business Club ndani ya...

READ MORE

Polepole na Hapi Waapishwa Rasmi Kuwa Wakuu wa Wilaya

Mkuu wa Wilaya ya Musoma, Humphrey Polepole, kulia ni Mkuu wa Mkoa wa Mara, Magesa Mulongo. Wakuu wa wilaya za Kinondoni...

READ MORE

Madhehebu ya shia yamuunga mkono kasi ya Rais Magufuli

Shekh Hemed Jalala akifafanua jambo kwa wanahabari KASI  ya Rais, Dkt. John Pombe Magufuli inazidi kushika moto baada ya Kiongozi...

READ MORE

JK katika mazungumzo na viongozi wa CCP (Pichaz)

Rais wa awamu ya nne, Jakaya Mrisho Kikwete akiwa kwenye mazungumzo na viongozi wa Chama Cha Kikomunisti cha China (CCP)...

READ MORE

Kumi Bora ya Shindano la Airtel Trace Music Stars Wapatikana

Mmoja ya majaji wa shindano la Airtel Trace Music Stars ambaye ni mtangazaji wa TV mahiri, Mwanamuzi, Mwigizaji na mfanya...

READ MORE

Mwili wa Liyumba waagwa jijini Dar

Gari lenye mwili wa  marehemu ,Amatus Liyumba ukiwasili leo mchana Nyumbani kwake Mikocheni jijini Dar. Jeneza lenye mwili wa marehemu...

READ MORE

Picha 11: Waliofariki Baada ya Gari Kuzama Baharini Dar Wapatikana

Zoezi la uokoaji likiendelea ndani ya Bahari ya Hindi.Mwili wa marehemu Nice Mwakalago baada ya kupatikana.Mwili wa marehemu ukishushwa nchi...

READ MORE

Hatimaye Kampuni ya Lugumi Yajitokeza Live!

SURA MPYA ya Sakata lililoibuliwa na Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) kuhusu Kampuni ya Lugumi Enterprises Ltd....

READ MORE

Vodacom Tanzania Foundation Kuwezesha Wanawake 1000 Kutibiwa Saratani

Wakina mama wanaotibiwa ugonjwa wa kansa ya kizazi katika hospitali ya Ocean road wakifurahia jambo na Mkuu wa Vodacom Foundation,...

READ MORE

Watuhumiwa wa ujambazi, wala kichapo hevi Kariakoo

WATU wawili wanaodaiwa kuwa majambazi wamenaswa leo Kariakoo jijini Dar es Salaam na kupewa kichapo ‘hevi’ kutoka kwa wananchi wenye...

READ MORE

Wawili wafariki baada ya gari kuzama baharini

Kikosi cha Uokoaji kikiopoa mwili wa mmoja wa watu waliokuwa kwenye gari hilo. WATU wawili wanasadikiwa kufariki dunia baada ya...

READ MORE

Diamond Anunua Mjengo Mwingine Mpya!

Diamond Platnumz akiwa na mwanaye ‘Tifaah’. STAA wa wa Bongo fleva, Diamond Platnumz ‘Baba Tifaah’ ameendelea kujiimarisha kiuchumi na kuonyesha...

READ MORE

Wenje Alivyoanika Ufisadi Uliofanywa na Wilson Kabwe, Mwanza

Aliyekuwa Mkurugenzi wa Jiji la Dar es Salaam, Bw. Wilson Kabwe. ALIYEKUWA mbunge wa Nyamagana jijini Mwanza, Ezekiel Wenje aliwahi...

READ MORE

Cheki Video: Hali ya Chid Benz Yazidi Kuimarika

BAADA ya kumaliza mwezi mmoja akipata matibabu, afya ya rapa Chid Benz imeendelea kuimarika kila kukicha kufuatia tiba anayoendelea kuipata...

READ MORE

Waziri Kitwanga Naye Aikana Kampuni ya Lugumi

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Charles Kitwanga. WAKATI Sakata lililoibuliwa na Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali...

READ MORE

Bunge lajadili taarifa ya Mkataba wa Lugumi

Makamu Mwenyekiti wa Kamati hiyo, Aeshi Hilaly. HATIMAYE taarifa ya utekelezaji wa mkataba tata wa Kampuni ya Lugumi Enterprises, iliyoshinda...

READ MORE

Baada ya Wiki 2, Watumishi Hewa Shinyanga Wafikia 226

  Rais John Pombe Magufuli akihutubia umati uliofurika kwenye uzinduzi wa daraja la Kigamboni. IKIWA ni wiki mbili tu tangu...

READ MORE

Picha 21: Rais Magufuli Azindua Rasmi Daraja la Kigamboni

Rais John Magufuli na Viongozi wengine wakiimba wimbo wa Taifa. Muonekano wa lango la Kigamboni Rais Magufuli akihutubia umati uliofurika...

READ MORE

Ndugai awaapisha wabunge wapya mjini Dodoma

  Spika wa Bunge, Job Ndugai akiongozwa na Mpambe wa Bunge kuingia kwenye ukumbi wa Bunge mjini Dodoma  kuongoza kikao cha...

READ MORE

JPM Amuapisha Balozi Chikawe, Ikulu-Dar

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimuapisha Mathias Meinrad Chikawe kuwa Balozi mpya wa Tanzania...

READ MORE

Yaliyojili Bungeni Dodoma Leo

Spika wa Bunge, Job Ndugai akiongozwa na Mpambe wa Bunge kuingia kwenye ukumbi wa Bunge mjini Dodoma  kuongoza kikao cha...

READ MORE

Rais Magufuli Amtumbua Mkurugenzi Jiji la Dar

Mkurugenzi wa Jiji la Dar es Salaam Wilson Kabwe AKIHUTUBIA kwenye uzinduzi wa darala la Kigamboni jijini Dar es Salaam...

READ MORE

Rais Magufuli Amtumbua Mkurugenzi Jiji la Dar

Rais John Pombe Magufuli AKIHUTUBIA kwenye uzinduzi wa darala la Kigamboni jijini Dar es Salaam mchana huu, Rais John Pombe...

READ MORE

Waziri Nape Afuta Mchakato wa Vazi la Taifa

Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Nape Nnauye. WAZIRI wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Nape Nnauye amesema...

READ MORE

Rais Magufuli awasili Daraja la Kigamboni kwa uzinduzi

Rais Dk. Magufuli. RAIS Dk. John Pombe Magufuli amewasili katika daraja la kisasa la Kigamboni tayari kwa uzinduzi wa daraja...

READ MORE

Muonekano wa Daraja la Kisasa la Kigamboni, Dar

Daraja la kisasa la Kigamboni linalounganisha eneo la Kigambonina upande wa Kurasini likikatisha bahari ya Hindi. Rais Dkt. John Pombe...

READ MORE

Picha: Daraja la Kigamboni Litakalozinduliwa Leo na Rais Magufuli

Daraja la ksiasa la Kigamboni linalounganisha eneo la Kigambonina upande wa Kurasini likikatisha bahari ya Hindi. Rais Dkt. John Pombe...

READ MORE

Kesi ya Halima Mdee, Kubenea yapigwa Kalenda

Mbunge wa Jimbo la Kawe, Halima Mdee (katikati) akitoka katika chumba cha kusikiliza shauri lake leo. Saed Kubenea (katikati) akitoka...

READ MORE

Amatus Liyumba afariki dunia

Amatus Liyumba enzi za uhai wake. Mkurugenzi wa zamani wa Utawala na Utumishi wa Benki Kuu ya Tanzania ( BOT), Amatus Liyumba...

READ MORE

Omba omba wambipu Makonda!

   Mmoja wa vijana wanaoosha vioo vya magari katika sehemu za mataa ya kuongozea magari maeneo ya Kisutu akisafisha kioo...

READ MORE

Rais Magufuli amteua Chikawe kuwa balozi Japan

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. John Magufuli amemteua Mathias Chikawe kuwa balozi wa Tanzania nchini Japan. Taarifa...

READ MORE