×

Kitaifa

DC Geita: Wananchi mrudieni mungu acheni mauaji ya albino, vikongwe‏

Mmoja wa Mashabiki wa Tamasha la Pasaka pamoja na mashabiki wengine waliohudhuria katika Tamasha la Pasaka lililofanyika mjini Geita Mkoani...

READ MORE

Majambazi Yaua Wawili Mwanza, Saba Wajeruhiwa

Kamanda wa Polisi Mkoani Mwanza, SACP Justus Mamugisha, akitoa taarifa kwa wanahabari. Wanahabari wakifuatilia habari ya Kamanda Kamugisha. Mwanza WATU...

READ MORE

Mwanasheria Mkuu Zanzibar Aapishwa Rasmi

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein akimuapisha Bwana Said Hassan Said kuwa...

READ MORE

Wasanii Bongo Muvi wachangia damu Palestina

Mkongwe wa filamu, Ahmed Olotu ‘Mzee Chilo’akishiriki zoezi la kuchangia damu. Anayemuhudumia ni muuguzi wa Hospitali ya Palestina. Mzee Chilo...

READ MORE

Dai Risiti Popote Utakapotoa Fedha Kupata Huduma

TUPO hapa kwa ajili ya kuiendeleza nchi yetu, kama tusipoiendeleza Tanzania, basi jua hakuna mtu atakayeweza kufanya hivyo, kama leo hautolia...

READ MORE

Wanakijiji Wala Nyama ya Ng’ombe Aliyegongwa na Nyoka

Mwandishi Wetu, Risasi Jumamosi DODOMA: Hatari! Baadhi ya wakazi wa Kijiji cha Saji kilichopo wilayani Bahi, Dodoma wamejikuta wakila nyama ya...

READ MORE

Mutfi wa Tanzania Amuombea Dua RC Paul Makonda‏

 Mufti wa Tanzania, Abubakar Zubery (wa pili kushoto), akimuombea dua Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda (katikati),...

READ MORE

Zebedayo Mafuru kuzikwa Kibamba, Dar leo

Zebedayo Maingu Mafuru enzi za uhai wake. Ndugu Asheri Mafuru, anasikitika kutangaza kifo cha ZEBEDAYO MAINGU MAFURU wa KIBAMBA DAR...

READ MORE

Wasomaji Wasubiri kwa hamu droo ya 3

BAADA ya kufanyika kwa kishindo kwa droo ya kwanza na ya pili, wasomaji wengi wameonesha kuingojea kwa hamu droo nyingine...

READ MORE

Tumekopi, tumepesti ‘Ngada’ inatunyoosha!

MOJA kati ya janga kubwa la vijana kwa sasa ni madawa ya kulevya (ngada). Kwa kipindi kirefu tumekuwa tukishuhudia vijana...

READ MORE

Magufuli okoa hiki kizazi

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli. John Joseph, Dar es Salaam SIJAWAHI kuwa muumini wa...

READ MORE

Sarah Dumba azikwa jijini Dar

    Ndugu wa marehemu Sarah Dumba akishikilia picha ya marehemu enzi za  uhai wake.Waombolezaji wakiwa katika makaburi ya Magogoni, Kigamboni...

READ MORE

Aliyekuwa Mhasibu Mkuu Jeshi la Kuzima Moto Wahukumiwa

Aliyekuwa Mhasibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Ndani katika jeshi la kuzima moto na uokozi na Bw. Naamini Hendry Sangiwa...

READ MORE

NEC Yateua Wabunge Watatu wa Viti Maalumu

Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Jaji Damian Lubuva (kushoto) akitoa taarifa ya uteuzi huo kwa waandishi wa...

READ MORE

Waholanzi Wawili Wakamatwa KIA na Tumbili 61

Waziri wa Maliasili na Utalii Pro. Jumanne Maghembe. WAZIRI wa Maliasili na Utalii Prof. Jumanne Maghembe leo amemsimamisha kazi Mkurugenzi...

READ MORE

Dkt. Shein Aapishwa Kuwa Rais wa Zanzibar

Jaji Mkuu wa Zanzibar, Jaji Omary Othman Makungu (kulia) akimuapisha Dkt. Ali Mohamed Shein kuwa Rais Serikali ya Mapinduzi Zanzibar...

READ MORE

Tanzania Yasaini Mkataba wa Ushirikiano na Saudi Arabia

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. John Pombe Joseph Magufuli (kulia) akisalimiana na Waziri wa Mambo ya...

READ MORE

Vodacom na Samsung Zawaletea Galax S7 Na S7 Edge Zisizoingiza Maji‏

Meneja Uhusiano wa Vodacom Tanzania,Matina Nkurlu(wapili kushoto)akionesha simu ya kisasa aina ya Galax S7 kwa waandishi wa habari(hawapo pichani)wakati wa...

READ MORE

Basata laonya kumbi, lapiga marufuku Disko Toto‏

Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) ambalo ni msimamizi wa sekta ya Sanaa na burudani nchini linawakumbusha wamiliki na waendeshaji...

READ MORE

British Council yakabidhi mpango wa kufundisha Kiingereza

Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu, Dk. Leonard Akwilapo, akizungumza jambo katika hafla hiyo. Shughuli zikiendelea. Kutoka kushoto ni...

READ MORE

Dk. Shein kuapishwa leo

Dk. Mohammed Shein ZANZIBAR: Rais Mteule wa Zanzibar Dk. Mohammed Shein aliyeshinda uchaguzi wa marudio uliofanyika Jumapili iliyopita, ataapishwa leo...

READ MORE

Taarifa ya Spika Kufuatia Mabadiliko ya Wajumbe Kamati za Bunge

Press Release – Ufafanuzi Wa Spika

READ MORE

Basi la Super Sami Lapata Ajali Tabora

Aajali ilivyotokea. Ng’ombe wakiwa wamkufa baada ya kugongwa na basi hilo. Basi lapinduka na kujeruhi watu Igunga WATU kadhaa wajeruhiwa...

READ MORE

Meja Jenerali Mstaafu January Kisanko afariki

Meja Jenerali January Claudio Kisanko (mstaafu) enzi za uhai wake. Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) linasikitika kutangaza...

READ MORE

Ratiba ya mazishi ya baba mzazi wa Mbunge John Mnyika

Baba mzazi wa Mbunge John Mnyika, Mzee John Michael Dalali enzi za uhai wake. Leo Jumatano 23/03/2016 Mwili unapokelewa nyumbani,...

READ MORE

FPCT,ERIKS wahuisha sauti za watoto wenye ulemavu

Baadhi ya watoto wenye ulemavu wakiwa kwenye picha ya pamoja na aliyekuwa Waziri wa Sheria na Katiba, Dokta Asha-Rose Migiro...

READ MORE

Tuhuma za Ufisadi, Zitto, Bashe Wajiuzulu Ujumbe Kamati ya Bunge

Mbunge wa Kigoma Mjini na Kiongozi wa chama cha ACT-Wazalendo, ameishutumu Kamati ya Bunge yaHuduma za Jamii anayohudumu kuwa kuna...

READ MORE

Isaya Mwita wa Chadema ndiye Meya wa Dar

Meya Mteule wa jiji la Dar es salaam  Issaya Mwita Chalres kutoka kata ya vijimbwweni (UKAWA) Fomu ya uthibitisho wa...

READ MORE

Bharti, Airtel na American Tower zakubaliana kuuza minara ya mawasiliano

New Delhi, India na Johannesburg, South Africa – March 21, 2016 Kampuni ya Bharti Airtel (Airtel) leo imetangaza kuingia makubaliano...

READ MORE

Updates: Uchaguzi wa Meya Jiji la Dar

Mh. Edward Lowassa na Godbless Lema wakiwasili Ukumbi wa Karimjee kunakofanyika uchaguzi wa Meya wa Jiji la Dar es salaam...

READ MORE

Diwani Aanguka Kwenye Mti, Afariki Dunia

Diwani pekee wa kutoka Chama Cha Mapinzuzi (CCM) katika Jimbo la Arumeru Mashariki, Kata ya Ngarenanyuki, Naftali Mbise amefariki dunia...

READ MORE