×

Kitaifa

Shinda Nyumba, Mshindi wa Pikipiki Akabidhiwa

Afisa Masoko Msaidizi wa Global Publishers, David Mwaipaja (kulia) akimkabidhi Lucy Swai ufunguo wa pikipiki aliyoshinda kwenye droo ya pili...

READ MORE

Mawaziri watakiwa kurejesha fomu za maadili leo

Waziri Mkuu Mh. Majaliwa Kassim Majaliwa akizungumza na waandishi wa habari katika ukumbi wa  ofisi ya Waziri Mkuu wakati alipotoa maagizo...

READ MORE

Makontena ya bilioni 6/- ya wakwepa kodi kuuzwa

MALI zenye thamani ya Sh bilioni sita za baadhi ya wadaiwa 16, waliokwepa kulipa kodi ya Mamlaka ya Mapato Tanzania...

READ MORE

Basi la Mashimba Express limepata ajali jana

Muonekano wa ajali baada ya basi la Mashimba Express lililokuwa linasafiri kutoka Kahama kwenda jijini Mwanza kugongana na gari dogo...

READ MORE

Vigogo watatu wanusuru hekalu la Dk. Slaa

Aliyekuwa Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasi na Maendeleo (Chadema), Dk. Willbrod Slaa. Vigogo watatu nchini wamejitosa kunusuru nyumba ya...

READ MORE

Wakazi wa Dar wajitokeza kuchangia damu leo

Pichani juu wakazi mbalimbali wa Jiji la Dar wakichangia damu leo katika Uwanja wa Karume. Maofisa wa Damu Salama wakisimamia...

READ MORE

Benki ya NMB Yazindua Promosheni ya Pata Patia

• Zaidi ya shilling milioni 300 kushindaniwa Benki ya NMB imezindua mchezo wa bahati nasibu kwa wateja wake ambapo watakuwa...

READ MORE

Twiga Stars watembelea duka la kisasa la Airtel Expo Dar‏

Afisa huduma kwa wateja wa Airtel , Juma Hassan akitoa maelezo ya jinsi ya kupata huduma mbalimbali za kisasa kwa...

READ MORE

DC Iramba awanyoosha vigogo wa afya

Mkuu wa Wilaya ya Iramba Mkoani Singida, Christopher Ngubiagai amewasimamisha kazi watumishi sita wa idara afya na kuagiza wakamatwe na...

READ MORE

Steven Wasira atembeza ‘kichapo’

ALIYEKUWA Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika katika Serikali ya awamu ya nne, Steven Wasira, jana nusura atembeze mkong’oto mahakamani....

READ MORE

Naibu Spika anusurika kifo baada ya kupata ajali jana

Naibu Spika Dk. Tulia Mwansasu. NAIBU Spika Dk. Tulia Mwansasu, amepata ajali mkoani Mbeya alikokwenda kwa ajili ya mapumziko. Kwa...

READ MORE

Ticha mbaroni kwa kutupa mtoto chooni kwa Mchungaji

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Singida, Thobias Sedoyeka Singida: Jeshi la Polisi mkoani Singida limemtia mbaroni Monica Munishi (22), mkazi...

READ MORE

Vigogo waliotorosha makontena kuanza kufilisiwa leo

WADAIWA 16 waliokwepa kulipa kodi ya Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), baada ya kutorosha kontena za mizigo yao kwenye Bandari...

READ MORE

NMB yawafikia wakazi wa Kakonko

Benki ya NMB imefungua rasmi tawi lake jipya wilayani Kakonko. Tawi hili limefunguliwa na mkuu wa mkoa wa Kigoma Kanali...

READ MORE

Mama Samia Kuongoza Tamasha la Pamoja Tunafanikisha

Na Daria Erasto Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mama Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kuongoza Tamasha la...

READ MORE

Picha 5: Sanamu ya Askari Inavyolipamba Jiji la Dar

PICHA NA DENIS MTIMA/GPL

READ MORE

Chuo Kikuu cha St. Joseph Tawi la Arusha chafungwa

Uongozi wa Chuo Kikuu cha St. Joseph Tawi la Arusha umeamua kukifunga chuo hicho baada ya kuwepo kwa vurugu za...

READ MORE

Malalamiko ya Mikopo Elimu ya Juu Yapatiwa Ufumbuzi

Kutoka kushoto ni Ofisa Habari Mkuu wa Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu, Veneranda Malima,Meneja Habari Elimu...

READ MORE

Donald Trump ashinda Nevada

Mgombea wa urais wa Chama cha Republican, Donald Trump ameshinda katika Jimbo la Nevada nchini Marekani, na kuzidi kuimarisha uongozi...

READ MORE

BASATA yaonya wasanii dhidi ya matapeli

Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) linawataka wasanii wote kuwa makini na wakuzaji Sanaa (Mapromota) au baadhi ya wanaojiita wadau...

READ MORE

Waziri Mkuu akutana na wadau wa sukari

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na wadau wa sukari nchini, ofisini kwake jijini Dar es salaam Februari 23, 2016. (Picha...

READ MORE

Mchepuko Ambwagia Mtoto Hawala!

Mtoto huyo baada ya kuokolewa na wasamalia wema. Shekidele, Risasi  MOROGORO: Mwanamke aliyefahamika kama Mama Gladnes, ambaye ni mchepuko wa...

READ MORE

Nilichogundua kwa waendesha bodaboda

Wakati watu walipokuwa wakiendelea kudanga-nyana kimapenzi kwa kisingizio cha Valentain, mimi nilikuwa nafanya utafiti kuhusu ishu moja veri siriaz. Utafiti...

READ MORE

Shinda Nyumba yachangamkiwa Vikindu

Sadick Muhidin (kushoto) akielekezwa na Ofisa Masoko wa Global,Yohana Mkanda (katikati) namna ya kujaza kuponi yake kushiriki Bahati Nasibu ya...

READ MORE

Waziri Mkuu Akutana na Mabalozi Ofisini Kwake Leo

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa  akisalimiana na  Mratibu Mkazi wa Umoja wa Mataifa nchini, Mhe. Alvaro Rodriguez kabla  ya mazungumzo yao...

READ MORE

Airtel kubuni Zaidi Kupitia Huduma za Kifedha Nchini

Mkuu wa Kitengo cha Airtel Money akielezea huduma ya kisasa ya Airtel Money Tap tap kupitia kadi ya kugusisha na...

READ MORE

TRA Yatoa Tamko ya Kuhusu Matumizi ya EFD Kwenye vituo vya Mafuta

TANGAZO KWA UMMA MATUMIZI YA MASHINE ZA EFD KATIKA VITUO VYOTE VYA MAFUTA NCHINI: Kufuatia Tangazo kwa Umma lilitolewa kwenye...

READ MORE

Rais Magufuli Apokea Hati za Utambulisho wa Mabalozi

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na Balozi wa Uingereza hapa nchini Bi....

READ MORE

Barabara ya Kilwa, Ukarabati Usiomalizika!

Barabara hiyo imekuwa ikifanyiwa ukarabati karibu kila siku jambo la kusikitisha hata pale palipofanyiwa ukarabati napo panaharibika baada ya mudamfupi. Ikumbukwe ya kwamba...

READ MORE

Muhimbili hii ndiyo tuliyokuwa tunaitarajia

HAKIKA Mungu ni mwema kwetu. Nasema hivyo huku nikikumbuka hali ilivyokuwa katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili miaka ya nyuma...

READ MORE

Watanzania zingatieni sharia za mtandao – Kitwanga

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhe. Charles Kitwanga (pichani) amewataka Watanzania kuzingatia sheria za mtandao ambazo zilitungwa mwaka...

READ MORE

Mungy awataka Watanzania kuzingatia sheria za mitandao (Audio & Video)

Mkuu wa Mawasiliano wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), Innocent Mungy. Ili kuhakikisha kunapungua kwa makosa ya uvunjifu wa sheria...

READ MORE

Kairuki amsimamisha kazi mkuu wa chuo

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. Angellah Kairuki. Na Lilian Lundo...

READ MORE

Airtel Fursa yamwaga milioni 10 kwa mjasiliamali kuokoa Mazingira

Mjasiliamali Amina Iddi (20) (kulia ) akijaribu moja ya vifaa alivyokabidhiwa na Airtel kupitia mpango wake wa Airtel Fursa wa...

READ MORE

Kizza Besigye akamatwa tena Uganda

Kiongozi wa chama cha upinzani cha Forum for Democratic Change (FDC). Kiongozi wa chama cha upinzani cha Forum for Democratic...

READ MORE

A-Z Mchungaji Msigwa alivyotaka kuzichapa na DC

  Mbunge wa Iringa Mjini (Chadema), Mchungaji Peter Msigwa (mwenye koti katikati) akizozana na mkuu wake wa wilaya ‘DC’, Richard...

READ MORE

Airtel Fursa yamwaga milioni 10 kwa mjasiliamali kuokoa Mazingira

Mjasiliamali Amina Iddi (20) (kulia ) akijaribu moja ya vifaa alivyokabidhiwa na Airtel kupitia mpango wake wa Airtel Fursa wa...

READ MORE

Rais JPM amteua Hebart Mrango Mwenyekiti Bodi mpya TBC

Mwenyekiti mpya wa Bodi ya Shirika la Utangazaji (TBC), Balozi Hebart Mrango. Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dokta John...

READ MORE