×

Kitaifa

Wateja wa Fastjet kununua tiketi za usafiri kupitia Airtel Money

Kulia ni Mkurugenzi wa Mawasiliano wa Airtel, Beatrice Singano Mallya akipongezana na Meneja Mkuu wa Fastjet Tanzania, John Corse (kushoto) baada ya...

READ MORE

Rais JPM amtumia salamu za Rambirambi JK kwa kifo cha kaka yake

Kaka wa Rais Mstaafu Dk. Jakaya Kikwete, Mzee Selemani Mrisho Kikwete enzi za uhai wake.

READ MORE

Mama mzazi wa Banza, mtoto wa dada yake wazikwa Dar

Majeneza yenye miili ya marehemu yakiwa yanasaliwa. Mwanamuziki wa Twanga Pepeta, Ally Chocky (kushoto) akiwa msibani hapo. Mkurugenzi wa Twanga...

READ MORE

NIDA kutoa vitambulisho vyenye saini

Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa nchini Tanzania (NIDA) imekiri kwamba vitambulisho vya taifa vilivyogawiwa havina saini pande zote za nje...

READ MORE

Shinda Nyumba yawa kivutio Goba, Dar

Mwanahamisi Kasimu (kulia), mkazi wa maeneo ya Goba Dar akijaza kuponi yake ili kushiriki Bahati Nasibu ya Shinda Nyumba. Yohana...

READ MORE

Serikali yalitaka Dira ya Mtanzania kukanusha tuhuma dhidi ya Balozi Ombeni Sefue

Mkurugenzi wa Idara ya Habari (MAELEZO) Bw. Assah Mwambene (katikati) akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) leo jijini Dar...

READ MORE

Polisi Dar watua Freemason

Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, CP Simon Sirro. Stori: Issa Mnally na Makongoro Oging’,  UWAZI DAR...

READ MORE

Waliopata divisheni 0 hawapo kwenu tu hata kwetu wapo

Waziri wa Elimu, Sayansi, Teknolojia na Mafunzo ya Ufundi, Profesa Joyce Ndalichako. MATOKEO ya Kidato cha Nne yametangazwa, shule zilizoaibika...

READ MORE

Polisi Yaua Majambazi Watatu Arusha….Yakutwa na Ujumbe wa Kamanda Kova

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Arusha, Liberatus Sabas WATU watatu wanaosadikiwa kujihusisha na vitendo vya kigaidi na ujambazi wameuawa katika...

READ MORE

Polisi waua majambazi 3 Arusha

WATU watatu wanaosadikiwa kuwa majambazi, wakiwa na bunduki aina ya AK 47 na milipuko, wameuawa na polisi eneo la Engosheraton-Sinoni...

READ MORE

Benki ya NMB Yazidua Rasmi Tawi la Sumbwanga

Waziri mkuu mstaafu, Mh. Mizengo Pinda akikata utepe kuashiria uzinduzi rasmi wa tawi la NMB Sumbawanga. Hafla hiyo ilifanyika mwishoni...

READ MORE

Shy-Rose Bhanji awapongeza Magufuli, Ndugai

Mbunge wa Bunge la Afrika Mashariki, Shy-Rose Bhanji akizungumza jambo katika ofisi ndogo za Bunge jijini Dar es Salaam. Taswira...

READ MORE

Halima Mdee na Said Kubenea wanashikiliwa na Polisi

  Mbunge wa Kawe Halima Mdee. Mbunge wa Ubungo, Said Kubenea. Wabunge wa Chadema, Halima Mdee na Said Kubenea wanashikiliwa...

READ MORE

Albino atoweka kimaajabu Mkuranga

Kaimu Katibu Mkuu wa Chama cha Albino Tanzania, Josephat Torner (watatu kutoka kulia) akizungumza na wanahabari juu ya ukatili dhidi...

READ MORE

Pigo: Mama mzazi, mtoto wa dada yake Banza wafariki

  Mama Salma Kikwete (kulia) akimfariji mama mzazi wa Banza Stone, Bi. Khadija Masanja (kushoto) enzi za uhai wake. (Picha na...

READ MORE

Airtel Fursa msimu huu yawapa wajaliamili milioni 100

Meneja wa Huduma kwa Jamii wa Airtel, Hawa Bayumi (watatu kushoto), akimkabidhi Upendo Litimba, msaada wa vifaa mbali mbali vya...

READ MORE

Taarifa ya Serikali Kuhusu Ugonjwa wa Kipindupindu

Kigwangala akisoma taarifa yake.Naibu Waiziri wa Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii,Wazee na Watoto,Dk.Hamis Kigwangala akitoa ufafanuzi kwa wanahabari...

READ MORE

Waziri Mkuu Apokea Misaada kwa Waathirika wa Mvua Ruangwa

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizindua ujenzi wa zahanati ya Kijiji cha Nandagala wilayani Ruangwa ambao unafanywa kwa ufadhili wa kampuni...

READ MORE

Picha: Mabweni ya Iyunga Sekondari Yateketea kwa moto

Askari wa Kikosi cha Zimamoto Jijini Mbeya, akiendelea na jitihada za kuuzima moto unaoendelea kuwaka na kuteketeza Mabweni ya shule...

READ MORE

FFU Yatawanya Wanachuo Waliokuwa Wakiandamana Dar

Mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha St. Joseph Kampasi ya Dar es Salaam akitapatapa wakati polisi wakiwatawanya wanafunzi hao leo Jijini...

READ MORE

Kinara Uporaji Benki Mbagala Atiwa Mbaroni

Kamanda wa Polisi mkoa wa Dar es Salaam, CP Simon Simon Siro akionesha kwa waandishi wa habari bunduki aina ya...

READ MORE

Tyga ajitetea kutoka na Kylie mapema

Staa wa Hip Hop Marekani, Tyga. LOS ANGELES, Marekani BAADA ya maswali mengi kwa staa wa Hip Hop Marekani, Tyga...

READ MORE

Tambwe aipigia hesabu tuzo ya Samatta

Mshambuliaji wa Yanga, Mrundi, Amissi Tambwe. Said Ally, Dar es Salaam BAADA ya kufungua akaunti yake ya mabao katika michuano...

READ MORE

Madudu tena bandarini

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akikagua bandari ya Mtwara na kunusa harufu ya ufisadi katika utoaji wa zabuni ya ujenzi wa...

READ MORE

Nape aitaka TSN kuwa vinara wa ufichuaji maovu

  Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Bw. Nape Nnauye akiwa anakazia jambo kwa wafanyakazi wa kampuni ya magazeti ya...

READ MORE

Walimu Dar kusafiri bure – DC Makonda

Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani). Mwenyekiti wa Darcoboa, Sabri Mabrouk akifafanua...

READ MORE

Rais JPM awasili jijini Arusha

Rais Dkt John Pombe Joseph Magufuli akisalimiana na Mbunge wa Arumeru Mashariki Mhe. Joshua Nassari aliyekuwa mmoja wa viongozi na...

READ MORE

Tanzia: Ofisa Uhusiano TTCL afariki dunia‏

Ofisa Uhusiano wa Kampuni ya Simu Tanzania (TTCL), Bi. Amanda Fredrick Luhanga. OFISA Uhusiano wa Kampuni ya Simu Tanzania (TTCL),...

READ MORE

Sinema ujambazi wa kivita jijini Dar

UJAMBAZI wa kutumia vifaa vya kivita umeibuka jijini Dar es Salaam, ukiwemo uliofanyika katika uporaji wa Benki ya Access juzi,...

READ MORE

Mwanamuziki Kassim Mapili azikwa Kisutu

Mwili wa marehemu  Mzee Kassim Mapili ukiwa umebebwa kuelekea makaburi ya Kisutu, Dar. Safari ya kuelekea makaburi ya Kisutu ikianza....

READ MORE

Uchaguzi wa Meya Jiji la Dar Waahirishwa

Baadhi ya Wafuasi wa Ukawa wakifuatilia taarifa iliyokuwa ikitolewa na Mwenyekiti wa Madiwani na wabunge wa jiji la Dar mda...

READ MORE

Miliki Nyumba kwa shilingi 500 Tu

WASHINDI WA DROO ZILIZOPITA Washindi wa Droo ya Kwanza =>bit.ly/1Tq5PTu Washindi wa Droo ya Pili ==>bit.ly/1TucKMv Mshindi wa Pikipiki Akabidhiwa...

READ MORE

Wanne wauawa na polisi kwa kuvamia benki Mbagala

Polisi wakiimarisha ulinzi kwenye benki hiyo iliyovamia na wanaosadikiwa kuwa majambazi Mbagala, Dar. WATU wanaosadikiwa kuwa majambazi na ambao  idadi ...

READ MORE

Gari la Nay wa Mitego Lapigwa Mawe, Kuvunjwa Kioo

STAA wa muziki wa Hip Hop nchini Nay wa Mitego jana Ijumaa usiku alikumbwa na tukio baada ya gari lake...

READ MORE

Promosheni Shinda Nyumba Yatikisa Mbagala, Dar

Wasomaji waliokutwa maeneo ya Stendi ya Daladala ya Chamazi wakichangamkia kununua magazeti kwa muuzaji wa Global, (mwenye fulana nyeupe kushoto)....

READ MORE

Njemba anasa kwenye dari akidaiwa kuiba

Njemba huyo akiwa juu ya paa. Na Francis Godwin, Risasi Jumamosi IRINGA: NJEMBA mmoja ambaye jina lake limehifadhiwa kwa sababu...

READ MORE

Taswira ya Msiba wa Mapili

Waombolezaji wakiwa msibani. Mtangazaji na Mdau wa Muziki wa Dansi, Rajab Zomboko akizungumza na waandishi wa habari (Hawapo pichani). Msanii...

READ MORE

Tamasha la Changia Damu Salama Lafikia Kilele Chake

Zoezi la kujitolea kuchangia damu likiendelea.Watu wakishuhudia tamasha hilo na kusikiliza maelekezo mbalimbali. Wasanii wakitumbuiza. Mmoja wa watu waliojitolea kutoa...

READ MORE

Airtel Fursa Yainua Kikundi cha Vijana Wajasiriamali Lindi

Meneja wa Huduma kwa Jamii wa Airtel, Hawa Bayumi (wa pili kushoto), akiwapongeza kikundi cha vijana watano wajasiriamali kijulikanacho kwa...

READ MORE