×

Kitaifa

Maadhimisho ya Miaka 39 ya CCM Kitaifa

Katibu Mku wa CCM,Ndugu Abdulrahman Kinana akimkaribisha Mwenyekiti wa CCM,Rais Mstaafu wa awamu ya nne,Dkt Jakaya Kikwete mapema leo asubuhi...

READ MORE

Ujenzi barabara ya Ali Hassan Mwinyi wafikia Makumbusho Dar

Mafundi ujenzi wakiwa kazini. Kifusi cha udongo kikiwa pembeni katika ujenzi huo. Zege likimwagwa kutumia ‘kijiko’ cha ujenzi. UJENZI wa...

READ MORE

Rais Magufuli Aongea na Wakazi wa Morogoro, Akielekea Dodoma

Msafara wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli ukipita katika eneo la Msamvu mjini...

READ MORE

Wizi Ofisi ya Kamishna Mkuu TRA… Magari 2 Yakamatwa

Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Naibu Kamishna Simon Sirro. Jeshi la Polisi kanda maalum ya Dar...

READ MORE

Nisha awa Balozi wa New Hope Family Group

Msanii wa maigizo hapa nchini, Salma Jabu ‘Nisha’ (kushoto) akiwa na Mwenyekiti wa Kikundi hicho cha New Hope Family Group...

READ MORE

Wengine Wanne Mbaroni kwa Kumdhalilisha Mtanzania, India

Washukiwa zaidi wamekamatwa na maafisa wa polisi nchini India kuhusiana na kisa ambapo mwanafunzi Mtanzania alipigwa na kuvuliwa nguo mjini...

READ MORE

Serikali yatoa ufafanuzi udhalilishwaji wa Mtanzania India

Waziri wa Mambo ya Nje, Ushirikiano wa Afrika Mashiriki, Kikanda na Kimataifa, Mhe. Dkt. Augustine Mahiga. Waziri wa Mambo ya...

READ MORE

Mbowe atangaza Baraza la Mawaziri Vivuli Bungeni

Kiongozi wa kambi rasmi bungeni (KUB) Freeman Mbowe. Ofisi ya Rais – TAMISEMI Waziri – Jafarry Michael – Utumishi Waziri...

READ MORE

Uzalilishaji wa Mtanzania India, serikali yatoa tamko

  Waziri wa Mambo ya Nchi za Nje na Ushirikiano wa Kimataifa na Afrika Mashariki Mhe. Balozi Dkt. Agustino Mahiga....

READ MORE

Magufuli ‘awaka’ Siku ya Sheria Dar

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk.John Pombe Magufuli akihutubia mbele ya majaji waliohudhuria hafla ya Siku ya Sheria.Jaji...

READ MORE

Baa za Uwanjani Legho Zavunjwa

Mwanadada akiwa anaangalia vitu alivyofanikiwa kuviokoa.Katapila likiendelea na kazi yake ya kubomoa .Watu mbalimbali wakiwa kwenye vikundi wakijadili tukio hilo.Eneo...

READ MORE

Ester Kiama anaswa na ‘Serengeti Boy’

MSANII wa filamu Bongo, Ester Kiama. Imelda mtema MSANII wa filamu Bongo, Ester Kiama hivi karibuni alinaswa pande za Bahari...

READ MORE

Mwanafunzi Mtanzania Avamiwa, Adhalilishwa India

Gari la mwanafunzi raia wa Sudan likiteketezwa kwa moto. Bangalore, India MWANAFUNZI raia Mtanzania ameshambuliwa na kuvuliwa nguo na umati uliokuwa na hamaki...

READ MORE

Mahakama Yawaachia Huru Watoto wa Vigogo

Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, imewaachia huru watoto wanane wa vigogo waliokuwa wameshitakiwa wakidaiwa kupatiwa ajira katika Benki Kuu ya...

READ MORE

Jaji Mkuu Kenya ashauri hali ya kisiasa Zanzibar

Jaji Mkuu wa Kenya, Dk Willy Mutunga. JAJI Mkuu wa Kenya, Dk Willy Mutunga amesema hali ya kisiasa inayoendelea Zanzibar...

READ MORE

Shehe Ponda amkumbusha Magufuli mgogoro wa Zanzibar

Katibu wa Jumuiya na Taasisi za Kiislamu Tanzania, Shehe Issa Ponda akizungumza na wanahabari. Wanahabari wakiendelea kupata ufafanuzi kutoka kwake....

READ MORE

Wanafunzi IFM watembelea duka jipya la Airtel Expo

Afisa mauzo wa Airtel Juma Hassan (katikati) ,akifafanua jambo kwa baadhi ya wanafunzi wa chuo cha usimamizi wa fedha kitengo...

READ MORE

Global yawamwagia zawadi wasomaji Kibaha

Wanafunzi wa chuo cha uuguzi kilichopo eneo la Kibamba Dar wakisoma Gazeti la Uwazi kabla ya kujaza kuponi zao ili...

READ MORE

Mazishi ya Abel yawatoa machozi mamia waliohudhuria

Mwili wa kijana Mtanzania, Abel Machanga, mkazi wa Mombasa-Ukonga aliyefariki dunia akipatiwa matibabu nchini India ukiwa kanisani. Wazazi wa Abel...

READ MORE

Mazishi ya Dawood, kaka wa Meneja Mkuu Global huko Bukene

Wanafamilia, akiwemo baba mzazi (aliyevaa kanzu kushoto) wakiweka mchanga katika kaburi la mpendwa wao. Mwili ukipumzishwa kaburini. …Likipelekwa makaburini kwa...

READ MORE

Uchaguzi Marekani, Ted Cruz Ambuluza Trump

Seneta wa Texas Ted Cruz. IOWA, MAREKANI Seneta wa Texas Ted Cruz ameshinda mchujo wa mgombea wa uchaguzi kupitia Chama...

READ MORE

Tundu Lissu Asema Upinzani Hawatashiriki Kuteua Wenyeviti PAC, LAAC

Mbunge wa Singida Mashariki (Chadema), Tundu Lissu Mbunge wa Singida Mashariki (Chadema), Tundu Lissu amesema kutokana na Spika wa Bunge...

READ MORE

Jengo Ghorofa 16 Laanza Kuvunjwa Indra Gandhi, Dar

Jengo la Ghorofa 16 linaloandaliwa kwaajili ya kubomoa. Alama zinazotoa tahadhali kwa watumiaji wa barabara hii wakiwa wakiwa wamewekewa tahadhali...

READ MORE

Rais Magufuli Amhamisha Mlawi Kwenda Wizara ya Ofisi ya Rais

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli amemhamisha Bi. Suzan Paul Mlawi aliyekuwa Naibu Katibu Mkuu...

READ MORE

Rais Magufuli Afanya Mazungumzo Na Mwenyekiti wa NEC

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akimkaribisha Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi...

READ MORE

Zitto Ataka Bunge Liachwe Huru

Zitto Kabwe Mbunge wa Kigoma Mjini Mhe. Zitto Kabwe ameiomba serikali kupitia Bunge lake la Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania...

READ MORE

Mwandishi Global Apata Pigo

  Waombolezaji wakisaidia kubeba mwili wa marehemu kwa ajili ya maziko. Taswira ya msibani. Waandishi, Denis Mtima na Hamida Hassan...

READ MORE

Bunge Laanza Kujadili Mpango wa Serikali wa Maendeleo

Waziri wa Fedha na Mipango Dkt. Philip Mpango Hatimaye leo Bunge limeanza kujadili mpango wa maendeleo ya mwaka 2016/2017, baada...

READ MORE

Bunge Latengua Kanuni Kujadili Mpango wa Serikali

Akitengua kanuni Waziri wa Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Walemavu katika Serikali ya Awamu ya Tano, Jenista Mhagama amesema...

READ MORE

AU wamteua JK kuwa Mwakilishi katika mgogoro wa Libya

Rais Mstaafu Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akiongea na Mwenyekiti wa Umoja wa Afrika Dkt. Nkosazana Dlamini Zuma mara tu baada...

READ MORE

Picha: Bi. Samia Suluhu Akutana na Rais Uhuru Kenyatta

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akizungumza na Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya...

READ MORE

Wavamizi Wavunja Vibanda vya Biashara na Msikiti – Zanzibar

Hali ilivyokuwa baada ya vibanda hivyo kuvunjwa. Watu  wasiojulikana wamevamia katika makazi ya watu eneo la Msumbiji mjini Unguja na...

READ MORE

Sasa Mkoa wa Dar Kuwa na Wilaya Tano

Rais Dk. John Magufuli ameidhinisha kuwepo kwa wilaya tano katika jiji la Dar es Salaam, badala ya tatu zilizokuwepo awali,...

READ MORE

Hivi Ndivyo Majangili Walivyomuua Rubani Rodgers

Siku moja baada ya kifo cha rubani Rodgers Gower (37) aliyekuwa anaendesha helikopta inayomilikiwa na Mwiba Holdings, baadhi vyombo vya...

READ MORE

Mwili wa Mtanzania uliozuiliwa India kuwasili leo

Marehemu Abel Machanga enzi za uhai wake. Hatimaye mwili wa Mtanzania Abel Machanga aliyefia nchini India akipata matibabu unatarajiwa kuwasili...

READ MORE

Homa ya Zika bado Haijaingia nchini – Ummy

Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu. Kumekuwepo na taarifa kupitia vyombo vya habari vya kitaifa...

READ MORE

Ongezeko la bajeti katika sekta ya utalii

Waziri wa Maliasili na Utalii, Prof. Jumanne Maghembe. Katika mipango ya kukuza uchumi,  sekta ya utalii chini ya Prof Jumanne...

READ MORE

Vodacom yaja na simu mpya ya bei nafuu

Meneja Uhusiano wa Vodacom Tanzania, Matina Nkurlu (kushoto) akiongea na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam (hawapo pichani) wakati...

READ MORE