×

Kitaifa

Fahamu Taratibu za Kubadilisha Umiliki wa Gari – Video

  MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA) imesema kumekuwepo na changamoto kubwa ya baadhi ya watu wanakuwa wamesajili vyombo vya moto...

READ MORE

Kigogo Chadema Afikishwa Kortini kwa Tuhuma za Kumchafua IGP Sirro

Mwenyekiti wa Baraza la wazee wa Chama  cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Hashim Issa (63), amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu...

READ MORE

Mtanzania Ashinda Tuzo ya Nobel

Abdulrazak Gurnah huwenda likawa ni jina jipya kabisa masikioni mwako ila huyu ni Mtanzania aliyezaliwa Zanzibar mwaka 1948 ni Profesa...

READ MORE

Tamisemi Yafafanua Wanafunzi Wanaotumia Mtumbwi Kwenda Shule

OFISI ya Rais TAMISEMI imekiri kuona video fupi inayosambaa kwenye mitandao ikionesha wanafunzi wakitumia mitumbwi kwenda na kutoka shuleni.  ...

READ MORE

Nmb Yaanza Kutoa Mikopo Ya Riba Nafuu Kwa Wavuvi, Wafugaji..

    Benki ya NMB inapenda kuwatangazia wateja wake wote walioko kwenye mnyororo mzima wa sekta ya kilimo, ufugaji na...

READ MORE

EWURA Yatangaza Bei Mpya ya Mafuta

EWURA imetangaza bei mpya za mafuta ya petroli yaliyopita Bandari Dar ambapo yamepanda kwa TZS 12/lita,badala ya TZS 145/lita ambayo...

READ MORE

Prof. Assad: Niliondolewa Ofisini Kinyume cha Taratibu – Video

ALIYEKUWA Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Prof. Mussa Assad amesema hapendi kuitwa mstaafu na neno hilo...

READ MORE

Shehena Nyingine ya Chanjo Kutua Nchini Soon

    Serikali ya Tanzania inatarajia kupokea Shehena ya pili ya chanjo ya Ugonjwa wa Virusi vya Korona (UVIKO 19)...

READ MORE

Hukumu Kesi Ya Aveva, Kaburu Ngoma Nzito..

Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imeshindwa kutoa hukumu ya kesi inayomkabili Rais wa zamani wa Klabu ya Simba, Evans Aveva...

READ MORE

Rais Samia Asisitiza Haki kwa Wananchi – Video

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania amewataka majaji na mahakimu kuhakikisha wanasimamia haki ili wananchi wanyonge waliodhulumiwa haki zao...

READ MORE

Rais Samia: Umeacha Mtoto Wajibika – Video

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania amewataka waliotelekeza watoto kuhakikisha wanawalea kwani ni wajibu wao na ni haki ya...

READ MORE

Atupwa Jela kwa Kulawiti Mtoto

Octavian Kaijage (26) mkazi wa Kambarage Manispaa ya Shinyanga, amehukumiwa kifungo cha miaka 30 jela, kwa kosa la kumlawiti mwanafunzi...

READ MORE

Jaji Mkuu: Awataka Watanzania Kubadili Mitazamo Kuhusu Katiba

JAJI Mkuu wa Tanzania, Prof. Ibrahim Hamis Juma ametoa wito kwa Watanzania kubadili mtazamo kwanza badala ya kutaka mabadiliko ya...

READ MORE

Chadema Wafungua Kesi Kudai Dhamana

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimefungua kesi kudai kuachiliwa kwa dhamana kwa kiongozi wa Baraza la Wazee la chama...

READ MORE

Majambazi Watano Wauawa Wakijaribu Kuteka Gari la Polisi – Video.

Watu watano wameuawa na Jeshi la Polisi mkoani Kigoma kwa tuhuma za ujambazi katika Kijiji cha Kitahana Wilayani Kibondo mkoani...

READ MORE

Membe Amuunga Mkono Rais Samia

ALIYEKUWA mgombea urais kwa tiketi ACT Wazalendo katika uchaguzi mkuu wa 2020, Benard Membe amesema yuko njiani kurudi mahali fulani...

READ MORE

Mume aMuua Mke kwa Panga Akimtuhumu Kumsaliti

MWANAUME anayejulikana kwa jina la Heneriko John (53) mkazi wa Manispaa ya Shinyanga, amedaiwa kumuuwa mke wake Regina Jiyenze (45)...

READ MORE

Wanne Washikiliwa Na Polisi kwa Mauaji Na Kutelekeza Mwili Wa Marehemu-Video

JESHI la Polisi mkoani Kilimanjaro linawashikilia watu wanne kwa tuhuma za kumuua mwanamke mmoja aliyefahamika kwa jina la Elizabeth Bernard...

READ MORE

Rais Samia Aagiza Tozo za Mafuta Kupunguzwa

Rais Samia Suluhu Hassan ameelekeza kupunguzwa kwa tozo zinazotozwa na taasisi mbalimbali katika bidhaa za mafuta nchini zenye thamani ya...

READ MORE

Itilima: Waganga Wamiminika Kuchanjwa

WILAYA ya Itilima iliyopo mkoani Simiyu inatajwa kuongoza kwa idadi ya watu wanaojitokeza kupata chanjo dhidi ya ugonjwa wa uviko19...

READ MORE

Ajali Mbaya Coco Beach

Gari aina ya Toyota  Prado lenye namba za usajili T872CHR limetumbukia baharini jana saa saba katika eneo la Ufukwe wa...

READ MORE

Mbunge Aliyechomewa Gari Adaiwa Kumpiga Katibu UVCCM

JESHI la Polisi Mkoa wa Songwe, limemhoji Mbunge wa Mbozi, George Mwenisongole kwa tuhuma za kumpiga na kumjeruhi, Katibu wa...

READ MORE

RC Mtaka Ashuhudia NMB Ikizindua Hati ya Kiapo Cha Huduma Kwa Mteja

  Benki ya NMB imezindua maadhimisho ya wiki ya huduma kwa wateja kwa kuahidi kuendelea kuwahudumia wateja wake kwa viwango...

READ MORE

Jiko la Mkaa Laua Mama na Wanae Wawili, Baba Hoi – Video

Watu watatu wa Familia Moja akiwemo mama na watoto wake wawili wakazi wa Kitongoji cha Nyambale, Kijiji cha Busanda na...

READ MORE

Ajali Mbaya Dar, Wananchi Waiba Saruji – Video

AJALI imetokea maeneo ya Mbagala jijini Dar es Salaam leo baada ya lori ambalo kuacha njia na kugonga daladala na...

READ MORE

Benki ya NBC Yaja Na Kampeni ‘Nguvu ya Huduma, Zege Halilali’

MAADHIMISHO WIKI YA HUDUMA KWA WATEJA: Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) hii leo imezindua wiki ya Huduma kwa Wateja  sambamba...

READ MORE

🔴#LIVE: Waziri Mkuu Ashiriki Kongamano la Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi

WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa, leo Jumatatu, Oktoba 04, 2021 ameshiriki kongamano la tano la taifa la uwezeshaji wananchi kiuchumi lililofanyika...

READ MORE

Wanawake Wacharuka Tabia za Waume Zao Kulala na Suruali

WANAWAEKE katika kata ya Shilela halmashauri ya wilaya ya Msalala mkoani Shinyanga wamewaomba wanaume kubadilika na kuacha kuwafanyia ukatili wa...

READ MORE

Masalia Mapya ya Mijusi Mikubwa Yagundulika Lindi

WATAFITI Watafiti kutoka Makumbusho ya Taifa, Chuo Kikuu cha Dar es Salaam pamoja na wa nchini Ujerumani, wamegundua masalia mapya...

READ MORE

NMB Bonge la Mpango Yaja Kivingine, Yamwaga Mil 246

  BENKI ya NMB imerejea na promosheni ya Bonge la Mpango awamu ya pili ambapo kwa sasa imewatengea washindi zawadi...

READ MORE

RC Homera: Wazee Jiepusheni na Vibinti

MKUU wa Mkoa wa Mbeya, Juma Homera jana Oktoba 1, 2021 akiwa katika Kijiji cha Ihahi Mbarali amewatahadharisha wazee kujiepusha...

READ MORE

Bilioni 1.6 za Tozo Zapelekwa Morogoro – Video

SERIKALI imesema Mkoa wa Morogoro umepata Shilingi Bilioni 1.637 za Tozo ya Miamala ya Simu kwa ajili ya kujenga vituo...

READ MORE

Dereva Yamkuta Barabarani

KAIMU Mkuu wa Kikosi cha Usalama Barabarani mkoa wa Arusha ASP Sunday Ibrahim, amemzuia dereva wa basi la Arusha Express,...

READ MORE

Breaking: Basi la Emigrace Lapata Ajali – Video

Basi la Kampuni ya Emigrace lenye namba za usajili T 703 DLG linalofanya safari zake kati ya Babati na Dar...

READ MORE

Rais Samia Alia na Ukosefu wa Maadili kwa Vijana

RAIS Samia Suluhu Hassan amehoji sababu ya ukosefu wa maadili kwa vijana licha kuwapo Chama cha Skauti, Girl Guides na...

READ MORE

Mbinu za Kisayansi Zilizotumika Kusambaza Mabango ya Imani, Upendo na Miujiza

Ni wazi kuwa kwa asilimia kubwa ya wakazi wa Dar es Salaam ama wameona mitaani au kwenye mitandao ya kijamii...

READ MORE

Skauti Waomba Kurudishwa Kwenye Bajeti ya Serikali

Chama cha Skauti Tanzania, kimemuomba Rais Samia Suluhu Hassan, kukirudisha chama hicho katika bajeti ya Serikali ili kiweze kujiendesha.  ...

READ MORE

Zee la Miaka 49 Labaka Kitoto cha Miaka 6 – Video

Jeshi la Polisi mkoa wa Simiyu, linamshikilia mwanaume mmoja mwenye umri wa miaka 49, kwa tuhuma za kumbaka mtoto wake...

READ MORE