×

Kitaifa

IGP Sirro Afanya Mabadiliko Makamanda wa Polisi

Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini, IGP Simon Sirro leo Oktoba 12, 2021 amefanya mabadiliko ya makamanda watatu wa jeshi...

READ MORE

Madiwani Watakiwa Kuachana na Migogoro

Buchosa, Sengerema. Madiwani wa Halmashauri ya Buchosa Wilayani Sengerema, Mkoa wa Mwanza wametakiwa kuachana na migogoro ambayo inadidimiza maendeleo ya...

READ MORE

Watatu Wakamatwa kwa Mauji ya Mtendaji Dar – Video

Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, linawashikilia watu watatu kwa tuhuma za mauaji ya mtendaji wa mtaa...

READ MORE

Waziri Ummy Apiga Marufuku Safari za Wakuu wa Mikoa – Video

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais TAMISEMI, Mhe. Ummy Mwalimu ametoa taarifa kuhusu Mpango wa Matumizi ya fedha za Mapambano...

READ MORE

Kilichojiri Hukumu Kesi ya Membe vs Musiba – Video

HUKUMU ya kesi ya madai ya kashfa iliyofunguliwa na aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Nje katika Serikali ya Awamu ya...

READ MORE

Mchungaji Amuua Mkewe Aliyechepuka na Kumwambukiza Ukimwi

MCHUNGAJI George Abisa kutoka katika Kaunti ya Nyamira, huko nchini Kenya anadaiwa kumuua mkewe kwa kisu baada ya kugundua alimuambukiza...

READ MORE

Mwanafunzi Kidato cha Nne Auawa Akigombania Mwanamke Baa

Mwanafunzi wa kidato cha nne katika shule ya upili ya Kapsinendet kaunti ya Bomet nchini Kenya amefariki dunia baada ya...

READ MORE

Afariki Kwa Kuanguka na Pikipiki Mtaroni

KIJANA Joseph Mushi mkazi wa Ndembezi Manispaa ya Shinyanga, amefariki dunia mara baada ya kuanguka na pikipiki kwenye Mtaro uliopo...

READ MORE

Miaka 6 ya Halotel Yatua MOI, Wagonjwa Wapata Msaada

    Kampuni ya simu ya Halotel na wafanyakazi wake leo wamewatembelea watoto wenye changamoto ya kiafya ya vichwa vikubwa...

READ MORE

GGML Yakabidhi Jengo Jipya la Ofisi kwa Kamanda wa Polisi Geita

Katikajitihada za kuboresha mazingira bora ya kufanyia kazi kwa taasisi mbalimbali zaSerikali, Kampuni ya Geita Gold Mining Limited (GGML) imekabidhi...

READ MORE

Benki ya Exim Yaandaa Chakula cha Jioni kwa Wateja Wake Iringa

Iringa; Oktoba 11, 2021: Benki ya Exim Tanzania, mwishoni mwa wiki iliandaa hafla ya chakula maalum kwa ajili ya wateja...

READ MORE

Mawaziri wa Elimu Bara, Zanzibar na Bodi Tume ya Taifa ya UNESCO Wakutana

  Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof. Joyce Ndalichako amezitaka Taasisi zilizo chini ya Wizara kufanyia kazi kikamilifu yale...

READ MORE

Wasiojulikana Wavamia Ofisi ya Mtendaji Dar, Wamuua kwa Mapanga

Mauaji ya kutisha yametokea eneo la Mbezi Msumi mkoani Dar es Salaam baada ya watu wasiofahamika kudaiwa kuvamia ofisi za...

READ MORE

Rais Samia Awaonya Wanaotaka Kujua Rangi Yake Halisi

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan amewaonya viongozi wa ngazi mbalimbali kuanzia Mawaziri hadi Wakurugenzi...

READ MORE

Ukilikoroga Nakutumbua Bila Kutazama Kabila – Video

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan amesema amewataka viongozi mbalimbali  wa serikali kwenda kutumikia wananchi...

READ MORE

Afisa Mtendaji Mkuu wa NMB Atoa Msaada Kilakala Sekondari

    Afisa Mtendaji Mkuu wa Benki ya NMB, Ruth Zaipuna amefichua siri ya mafanikio yaliyopelekea kuongoza taasisi kubwa ya...

READ MORE

CCM Yawaonya Askari Kunyanyasa Wananchi

KATIBU wa Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Shaka Hamdu Shaka, ameagiza kukomeshwa mara moja vitendo vya unyanyasaji...

READ MORE

Mahakama Yaamuru Wadeni Watatu wa Exim Kukamatwa

MAHAKAMA Kuu ya Tanzania (Idara ya Biashara) jijini Dar es Salaam imeagiza kukamatwa kwa wadeni watatu wa benki ya Exim...

READ MORE

Fahamu Kuhusu Fimbo ya Mwalimu Nyerere

WATU wengi waliobahatika kumuona aliyekuwa Rais wa Kwanza wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere walikuwa wanamuona...

READ MORE

Ndege ya Uswisi Yatua Tanzania Kuanza Safari Zake

Ndege aina ya Airbus A343 ya Shirika la Ndege la Uswisi EDELWEISS, imetua katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa...

READ MORE

Polisi Waliofukuzwa Kazi Walikuwa Wakikimbiza Magendo ya Sh 30,000

Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini (IGP), Simon Sirro amesema tukio la polisi saba waliovuka mpaka na kuingia nchini Malawi...

READ MORE

Mwanamke Auawa kwa Mapanga

Serengeti. Watu watatu ambao hawajajulikana wamemuua Sikujua Maghembe (51) mkazi wa Kitongoji cha Nyakitono Kijiji cha Makundusi Kata ya Natta...

READ MORE

Rais Mwinyi Apokea Ndege Mpya 2 – Video

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi la Zanzibar, Dkt Hussein Mwinyi amezipokea ndege mpya 2 za Serikali...

READ MORE

Dozi Nyingine 576,558 za Chanjo Zatua Nchini – Video

SERIKALI ya Tanzania imepokea dozi nyingine 576,558 za chanjo dhidi ya Uviko-19 aina ya Sinopharm kutoka China. Dozi hizi zimeletwa...

READ MORE

Uingereza Yaiondolea Zuio Tanzania

SERIKALI ya Uingereza imeondoa zuio la kusafiri kwa abiria kutoka Tanzania na nchi zingine 46 zilizokuwa zimepigwa marufuku mapema mwaka...

READ MORE

Waziri Mkuu Amsimamisha Kazi Afisa Mipango Liwale

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amemsimamisha kazi Afisa Mipango wa Halmashauri ya Wilaya ya Liwale, Bw. Omary Chingwile ili kupisha uchunguzi...

READ MORE

Aliyekatwa Mkono 2015 Aomba Msaada

LEMI Luchumi mwenye ulemavu wa ngozi, ambaye alikuwa mkazi wa Mamba, Mlele mkoani Katavi na kuhama kijijini hapo baada ya...

READ MORE

Fahamu Taratibu za Kubadilisha Umiliki wa Gari – Video

  MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA) imesema kumekuwepo na changamoto kubwa ya baadhi ya watu wanakuwa wamesajili vyombo vya moto...

READ MORE

Kigogo Chadema Afikishwa Kortini kwa Tuhuma za Kumchafua IGP Sirro

Mwenyekiti wa Baraza la wazee wa Chama  cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Hashim Issa (63), amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu...

READ MORE

Mtanzania Ashinda Tuzo ya Nobel

Abdulrazak Gurnah huwenda likawa ni jina jipya kabisa masikioni mwako ila huyu ni Mtanzania aliyezaliwa Zanzibar mwaka 1948 ni Profesa...

READ MORE

Tamisemi Yafafanua Wanafunzi Wanaotumia Mtumbwi Kwenda Shule

OFISI ya Rais TAMISEMI imekiri kuona video fupi inayosambaa kwenye mitandao ikionesha wanafunzi wakitumia mitumbwi kwenda na kutoka shuleni.  ...

READ MORE

Nmb Yaanza Kutoa Mikopo Ya Riba Nafuu Kwa Wavuvi, Wafugaji..

    Benki ya NMB inapenda kuwatangazia wateja wake wote walioko kwenye mnyororo mzima wa sekta ya kilimo, ufugaji na...

READ MORE

EWURA Yatangaza Bei Mpya ya Mafuta

EWURA imetangaza bei mpya za mafuta ya petroli yaliyopita Bandari Dar ambapo yamepanda kwa TZS 12/lita,badala ya TZS 145/lita ambayo...

READ MORE

Prof. Assad: Niliondolewa Ofisini Kinyume cha Taratibu – Video

ALIYEKUWA Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Prof. Mussa Assad amesema hapendi kuitwa mstaafu na neno hilo...

READ MORE

Shehena Nyingine ya Chanjo Kutua Nchini Soon

    Serikali ya Tanzania inatarajia kupokea Shehena ya pili ya chanjo ya Ugonjwa wa Virusi vya Korona (UVIKO 19)...

READ MORE

Hukumu Kesi Ya Aveva, Kaburu Ngoma Nzito..

Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imeshindwa kutoa hukumu ya kesi inayomkabili Rais wa zamani wa Klabu ya Simba, Evans Aveva...

READ MORE

Rais Samia Asisitiza Haki kwa Wananchi – Video

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania amewataka majaji na mahakimu kuhakikisha wanasimamia haki ili wananchi wanyonge waliodhulumiwa haki zao...

READ MORE

Rais Samia: Umeacha Mtoto Wajibika – Video

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania amewataka waliotelekeza watoto kuhakikisha wanawalea kwani ni wajibu wao na ni haki ya...

READ MORE

Atupwa Jela kwa Kulawiti Mtoto

Octavian Kaijage (26) mkazi wa Kambarage Manispaa ya Shinyanga, amehukumiwa kifungo cha miaka 30 jela, kwa kosa la kumlawiti mwanafunzi...

READ MORE

Jaji Mkuu: Awataka Watanzania Kubadili Mitazamo Kuhusu Katiba

JAJI Mkuu wa Tanzania, Prof. Ibrahim Hamis Juma ametoa wito kwa Watanzania kubadili mtazamo kwanza badala ya kutaka mabadiliko ya...

READ MORE