×

Kitaifa

Wastaafu Watembelea SGR Morogoro

Viongozi wastaafu wakiongozwa na marais wastaafu wa awamu ya pili na ya nne, Ali Hassan Mwinyi na Jakaya Mrisho Kikwete,...

READ MORE

Simanzi Mazishi ya Eng. Mfugale

Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Tulia Ackson amewaongoza Viongozi mbalimbali na Waombolezaji kutoa salamu...

READ MORE

Simba Yaifanyia Umafia Yanga, Yaondoka na Nyota Wawili

KLABU ya Simba inasemekana baada ya kufungwa na Yanga, Julai 3, 2021 imeanza kuifanyia umafia timu ya Yanga, kwa kuwasainisha...

READ MORE

Ukatiri: Amuua Mpenzi Wake na Mtoto Kisa Elfu 80

Mkoani Geita, Mwanamume aliyemuua mpenzi wake baada ya familia kushindwa kumlipa pesa alizotumia kumtunza baada ya kuwekeana nadhiri ya ndoa...

READ MORE

Wawili Wafariki, 16 Wanusurika Hifo kwa Kula Chakula Harusini

  WATOTO wawili wamefariki dunia na wengine 15 wamenusurika kifo baada ya kula chakula ambacho kinadhaniwa kuwa na sumu katika...

READ MORE

Mbaroni kwa Kumiliki Karakana ya Silaha

JESHI la Polisi Mkoa wa Dodoma linawashikilia watu wawili kwa tuhuma za kumiliki karakana ya kutengeneza silaha za kienyeji aina...

READ MORE

Aliyejijengea Kaburi la Bilioni 1 Afariki

MGANGA wa jadi, Dk. Anthony Mwandulami, mkazi wa Kijiji cha Wangama, Kata ya Mtwango wilayani Njombe mkoani Njombe, aliyekuwa anajijengea...

READ MORE

Makamu wa Rais Atoa Maagizo 8 Sabasaba

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Philip Isdory Mpango ameagiza Wizara za Viwanda na biashara Bara...

READ MORE

Dkt. Mpango Aipongeza Global Publishers

MAKAMU wa Rais wa Tanzania, Dkt. Philip Mpango ameipongeza Kampuni ya Global Publishers & Enterprises Ltd wachapishaji wa magazeti ya...

READ MORE

Rais Samia Afanya Uteuzi Mpya

Rais Samia Suluhu Hassan, leo Julai 5, 2021 amemteua Bi Fatma Ayoub Mwinyimvua Simba kuwa Kamishna wa Kitengo cha Kudhibiti...

READ MORE

Baba Mbaroni kwa Tuhuma za Kumbaka Mwanaye

JESHI la Polisi wilayani Geita linamshikilia Vicent Said (27) mkazi wa Kata ya Magenge kwa tuhuma za kumbaka mwanaye wa...

READ MORE

Wanaodai Katiba Mpya Walikimbia Bunge la Katiba

MBUNGE wa Ngega Vijijini, Dkt. Hamisi ameamua kuvunja ukimya na kufunguka kuhusu baadhi ya wanasiasa wanaodai mchakato wa katiba mpya...

READ MORE

Injinia Mfugale kuzikwa leo

Maziko ya aliyekuwa Mkuu wa TANROADS (WAKALA WA BARABARA TANZANIA), Mhandisi Patrick Mfugale yatafanyika leo Julai 5, 2021 nyumbani kwao...

READ MORE

Aliyemsifia Mama Yake Kuliko Mkewe Afunguka

Kutoka mitandaoni kuna ‘video clip’ ili-trend ikimuonesha Michael Jackson akimsifia mama yake mzazi kwenye harusi kuliko mkewe ambapo baadhi ya...

READ MORE

Kiwanda cha Chanjo ya Corona Kutengenezwa Nchini

SERIKALI imeanza mchakato wa kutengeneza chanjo ya Virusi vya Corona hapa nchini ili kupunguza gharama ya kuagiza nje ya nchi...

READ MORE

Bashe: Wakulima Milioni Mbili Wasajiliwa Kupitia Mfumo Wa Digitali

  Naibu Waziri wa Kilimo Hussein Bashe amesema wizara imefanikiwa kutekeleza agizo la Rais Samia Suluhu Hassan kuhusu utambuzi wa...

READ MORE

NMB Yawa ya Kwanza Kutekeleza Rasmi Mpango wa Ushirika Afya

  Benki ya NMB imekuwa taasisi ya kwanza kutekeleza rasmi mpango wa bima ya afya kwa wakulima nchini baada ya...

READ MORE

IFC Yataja Mkurugenzi Wa Mawasiliano Vodacom Kinara Sekta ya Huduma za Kifedha

Taasisi ya kifedha IFC imemtaja Mkurugenzi wa Mawasiliano na Uhusiano wa Vodacom Tanzania PLC,Rosalynn Mworia kuwa ni miongoni mwa wanawake...

READ MORE

Manispaa Ya Kigamboni Yakabidhiwa Mradi wa Viwanja

  Wizara ya Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi kupitia ofisi ya Kamishna wa Ardhi mkoa wa Dar es Salaam...

READ MORE

Mahakama Yatupilia Mbali Maombi ya Kusimamisha Mchakato wa Uchaguzi wa TFF

Maombi ya kuzuia mchakato wa Uchaguzi wa Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) kuendelea ikiwemo maandalizi na...

READ MORE

IFC Yataja Mkurugenzi wa Mawasiliano Vodacom Kinara Sekta ya Huduma za Kifedha

Taasisi ya kifedha IFC imemtaja Mkurugenzi wa Mawasiliano na Uhusiano wa Vodacom Tanzania PLC,Rosalynn Mworia kuwa ni miongoni mwa wanawake...

READ MORE

Serikali Yaagiza Wamiliki wa Kumbi za Burudani Kuzingatia Sheria

Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Selemani Jafo amewaagiza wamiliki wa kumbi za starehe...

READ MORE

Baraza la Taifa la Mashirika  yasiyo ya kiserikali Latangaza Ratiba Ya Uchaguzi Mkuu

  BARAZA la Taifa la Mashirika  yasiyo ya kiserikali (NaCoNGO) linatarajia  kufanyaka uchaguzi wake  kitaifa Julai 8, Mwaka huu jijini Dodoma kuweza kupata  safu  mpya...

READ MORE

Waziri Biteko Azindua ‘NMB Mining Club’

Benki ya NMB imeendelea kuweka historia nyingine tena kwa kuzindua jukwaa la kwanza nchini mahsusi la kuwahudumia wadau wa Sekta...

READ MORE

NMB Yazidi Kuwa Karibu na Wateja Wao

Benki ya NMB imeendelea kuwa karibu na wateja wake zaidi ya 700 wa mikoa ya Dodoma, Singida na Manyara kupitia...

READ MORE

Kamati ya Bunge Ya Kudumu Viwanda, Biashara na Mazingira Yaagiza WMA na WRRM Kuboresha Utendaji Kazi

  Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Viwanda, Biashara na Mazingira imeagiza Wakala wa Vipimo (WMA) na Bodi ya Usimamizi...

READ MORE

Baraza la Taifa la Uratibu wa Mashirika yasiyo ya Kiserikali Kufanya Uchaguzi Julai

    Katika kuelekea kufanyika uchaguzi Mkuu wa BARAZA la Taifa la Uratibu wa Mashirika yasiyo ya Kiserikali (NaCoNGO), unaotarajiwa...

READ MORE

Baraza la wazee Mkoa wa Dar Wambariki Katibu Wa CCM

BARAZA la Wazee la Mkoa wa Dar es Salaam, limembariki Katibu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wa mkoa huo, Shaibu...

READ MORE

DPP Awafutia Shtaka la Utakatishaji Fedha Wakurugenzi wa Bevco

Mkurugenzi wa mashtaka nchini (DPP) amewafutia shtaka la utakatishaji fedha  wakurugenzi wa kampuni ya kuagiza vinywaji vikali nchini, Bevco Limited...

READ MORE

RC Makalla; Nmb ni Mkombozi wa Maisha ya Wafanyakazi Wastaafu

  WATUMISHI wa umma nchini, hususani walimu, wamekumbushwa umuhimu wa kukopa kwa malengo, sambamba na kuepuka mikopo kandamizi, huku wakielezwa...

READ MORE

Wafanyakazi Watatu wa Letshego Wapandishwa Kisutu

Wafanyakazi watatu wa Taasisi ya fedha ya Letshego maarufu kama Faidika Limited, wamefikishwa katika Mahakama Hakimu Mkazi Kisutu wakikabiliwa na...

READ MORE

Raia 14 Wa Kigeni Wahukumiwa Jela Kwa Kuishi Nchini Bila kufuata Sheria

Mahakama ya Hakimu mkazi Kisutu imewahukumu raia kumi na wanne kutoka nchini Malawi kulipa faini ya shilingi milioni moja kwa...

READ MORE

RC Makalla Atembelea Soko la Machinga Complex, Atoa Agizo

MKUU wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Amos Makalla amewaelekeza Mkuu wa Wilaya ya Ilala na Mkurugenzi wa Jiji...

READ MORE

DPP Awafutia Mashtaka Waliodaiwa Kuwatumikisha Walemavu Kuwa Ombaomba

Mkurugenzi wa Mashtaka nchini Tanzania (DPP) amewafutia mashtaka na kuwaachia huru washtakiwa 14 waliokuwa wanakabiliwa na mashtaka 41 yakiwemo ya...

READ MORE

Serikali Yakusanya TZS Trilioni 5.9 Kupitia Mifumo ya Kidijitali ya NMB

Ubora wa Benki ya NMB kiutendaji miaka ya hivikaribuni na mafanikio yake makubwa kifedha mwakajana ni miongoni mwa matokea ya...

READ MORE

Mkazi wa Morogoro Ajishindia Toyota Fortuner Kutoka Nmb

Abdallah Mohamed Abdallah, mfanyabiashara na mkazi wa Morogoro vijijini ameshida zawadi ya gari mpya aina ya Toyota Fortuner yenye thamani...

READ MORE

RC Makalla Awaapisha Fatma Nyangasa na Kheri James-Picha

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam  Amos Makallaleo June 21 amewaapisha Wakuu wapya wa Wilaya za Kigamboni na Ubungo...

READ MORE

Mahakama Inayotembea Yamaliza Mashauri 1,208

Jumla ya mashauri 1,208 yamesikilizwa na kumalizwa na Mahakama inayotembea ‘mobile court’ huku watu 13,668 wakiwa wamenufaika na huduma zinazotolewa...

READ MORE

Waziri Ummy Amsimamisha Kazi Mhandisi Mradi wa Ujenzi Mabasi Mwenge

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OR TAMISEMI) Mhe.Ummy Mwalimu amemsimamisha kazi mhandisi...

READ MORE

Prof. Ndalichako “Tupo Tayari Kupokea Maoni Ya Wadau Kuhusu Bodi ya Kitaalamu Ya Walimu”

Serikali iko tayari kupokea maoni na mapendekezo yanayotolewa na wadau juu ya nini kifanyike ili kuboresha sheria na kanuni zinazounda...

READ MORE