×

Kitaifa

Kauli ya Dkt. Mpango Baada ya Kupendekezwa Kuwa Makamu wa Rais

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan amempendekeza Waziri wa Fedha na Mipango, Mhe. Dkt. Philip...

READ MORE

Breaking: Rais Samia Ampendekeza Dkt. Mpango Kuwa Makamu wa Rais

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na na Amiri Jeshi Mkuu, Mhe. Samia Suluhu Hassan amempendekeza Dkt. Phillip Mpango...

READ MORE

Mchungaji Amlaumu Rais Kenyatta kwa Kusambaa kwa Corona

Siku kadhaa baada ya serikali ya Kenya kuweka vikwazo vikali dhidi ya biashara na usafiri katika majimbo matano ili kuzua...

READ MORE

Breaking: Mkurugenzi TPA Akamtwa na TAKUKURU

TAKUKURU inamshikilia kwa mahojiano Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA), Mhandisi Deusdedit Kakoko aliyesimamishwa kazi na Rais Samia...

READ MORE

Mkulima na Dereva Kortini Meno ya Tembo ya Mil 173

WATU wawili wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu mkazi Kisutu, Dar es Salaam wakikabiliwa na mashitaka ya kukutwa na kujihusisha na...

READ MORE

Bunge la Bajeti Kuanza Leo Dodoma

Mkutano wa Tatu wa Bunge la 12 la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania unaanza leo jijini Dodoma. Pamoja na mambo.mengine,...

READ MORE

Wabishi Hawa Sasa ‘Uso kwa Uso’

  Rais wa Marekani, Joe Biden na wapinzani wake Rais Vladimir Putin wa Urusi na Xi Jinping wa China watakutana...

READ MORE

NEC Yatangaza Uchaguzi wa Ubunge Jimbo la Nditiye

TUME ya Taifa ya Uchaguzi imetangaza Ratiba ya uchaguzi mdogo wa Ubunge wa Jimbo la Muhambwe, mkoani Kigoma baada ya...

READ MORE

Magufuli Alimuaga Mama Yake Kabla ya Kifo – Video

IMEELEZWA kuwa aliyekuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli alimuaga mama yake mzazi, Bi Suzana...

READ MORE

Maombi Matatu Aliyofanya Magufuli Kabla ya Kukata Roho – Video

Dakika chache kabla ya umauti kumkuta Hayati John Magufuli, aliomba maombi matatu. Msikilize msemaji wa familia Ngusa Samike.

READ MORE

Mangula: Tusikate Tamaa, Mambo Yatakuwa Kama Ilivyopangwa – Video

MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Philip Mangula ameeleza mafanikio wakati wa utawala wa Dk John Magufuli...

READ MORE

Mzee Mwinyi: Kijana Wetu Magufuli Ametutendea Makubwa

RAIS Mstaafu, Ali Hassan Mwinyi amewataka Watanzania kumuenzi Dk John Magufuli kwa vitendo katika mambo aliyokuwa akisisitiza kuondoa umasikini na...

READ MORE

Mzee Mwinyi: Magufuli Amefanya Yaliyoshindikana – Video

Rais Mstaafu wa awamu ya Pili Mzee Ally Hassan Mwinyi amesema katika kipindi cha uongozi wa aliyekuwa Rais wa Tanzania...

READ MORE

TID Amuomba Msamaha Magufuli – Video

WASANII mbalimbali wa muziki wa kizazi kipya wameandika ujumbe mzito kumuaga Rais wa Awamu ya Tano, Dk John Magufuli aliyemaliza...

READ MORE

Mzee Mwinyi Awavunja Watu Mbavu – Video

Ni zaidi ya wiki moja sasa tangu Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan alipotangaza kuwa Hayati Rais John Pombe Magufuli...

READ MORE

Mzee Aliyempa Kuku Magufuli Atua Chato Kumzika – Video

HATIMAYE Mwili wa Hayati Magufuli, umezikwa jana Ijumaa, Machi 26, 2021, katika makaburi ya familia yake yaliyopo wilayani Chato mkoani...

READ MORE

Kikwete: Magufuli Alichapa Kazi… Wizara ya Ardhi Wagumu Mno – Video

Rais mstaafu, Dkt. Jakaya Kikwete amesema alimuamini zaidi rais wa awamu ya tano Hayati Dkt. John Magufuli na ndio maana...

READ MORE

Hivi Ndivyo Ilivyokuwa Safari ya Mwisho ya Hayati Magufuli

MWILI wa aliyekuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Hayati Dkt. John Magufuli, Ijumaa, Machi 26, 2021, umepumzishwa katika...

READ MORE

Rais Kenyatta, Mkewe, Wapata Chanjo ya Corona

Rais Uhuru Kenyatta leo ameongoza maafisa wakuu wa serikali kupokea chanjo ya corona katika Ikulu ya Nairobi.     Baada...

READ MORE

Hayati Magufuli Azikwa Nyumbani Kwake Chato – Video

Mwili wa aliyekuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Hayati Dkt. John Magufuli, leo Ijumaa, Machi 26, 2021, umepumzishwa...

READ MORE

Rais Samia Atoa Maagizo Mchakato wa Mkoa wa Chato – Video

Rais wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan ameagiza mchakato wa kuifanya wilaya ya Chato kuwa mkoa, ambao tayari umeshaanza, uendelee...

READ MORE

CDF Mabeyo: Magufuli Aliniachia Dokezo, Nitakuja Ofisini Kwako

Mkuu wa Majeshi nchini Tanzania (CDF), Venance Mabeyo ameomba kuonana na Rais Samia Suluhu Hassan ofisini kwake akibainisha kuwa kuna...

READ MORE

Kikwete: Waliosema Sikumkata JPM ni Waganga Njaa – Video

RAIS Mstaafu wa awamu ya nne wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Jakaya Kikwete amesema kuwa waliomsema kuwa hakukata...

READ MORE

Kikwete: Sina Shaka na Rais Samia, Ataendeleza Kazi ya Magufuli – Video

  RAIS mstaafu wa awamu ya nne wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania, Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete amesema ana imani...

READ MORE

Majaliwa: Mama Magufuli ni Mgonjwa, Yupo Kitandani Miaka Miwili – Video

  WAZIRI Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kassim Majaliwa amesema mama mzazi wa Hayati Rais Dkt.John Joseph Magufuli...

READ MORE

CDF Mabeyo: Nchi na Mipaka Vipo Salama, Tutamlinda Rais Samia – Video

Mkuu wa Majeshi Tanzania Jenerali Venance Mabeyo amesema hadi sasa nchi na mipaka yake ni salama na wataendelea kumlinda Rais...

READ MORE

Kikwete: Magufuli Alikuwa Jembe Langu – Video

  Rais mstaafu, Jakaya Kikwete amesema alimuamini zaidi Rais wa awamu ya tano Hayati Dkt. John Pombe Magufuli na ndiyo...

READ MORE

Spika Ndugai Amkaribisha Rais Samia Bungeni – Video

  Spika wa Bunge la Tanzania, Job Ndugai amemhakikishia Rais wa sita wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan ushirikiano wa chombo...

READ MORE

Mchungaji Msigwa: Nitamkumbuka Magufuli kwa Mambo Haya

Mbunge wa zamani wa Iringa Mjini (Chadema), Mchungaji Peter Msigwa amesema atamkumbuka Rais wa Awamu ya Tano Hayati John Magufuli...

READ MORE

TEC: Tutashirikiana na Rais Samia – Video

Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC) limemuahidi ushirikiano Rais Samia Suluhu Hassan katika kutekeleza majukumu ya kuliongoza Taifa.    ...

READ MORE

Askofu Nkwande: Bungeni Sio Pa Kuzunguzia Utoaji Mimba, Uzazi wa Mpango

ASKOFU Mkuu wa Jimbo Kuu la Mwanza, Renatus Nkwande amesema bungeni ni mahali patakatifu na si pa kwenda kufanya mzaha...

READ MORE

Diamond, Zuchu Watua Chato Kumzika Magufuli – Video

WANAMUZIKI wanaounda kundi la ‘Tanzania All Stars’ walioimba wimbo wa ‘LALA SALAMA’ wamefika wilayani Chato mkoani Geita kwa ajili ya...

READ MORE

Halima Mdee: Magufuli Ana Mazuri Yake, Tumuamini Samia – Video

MBUNGE wa Viti Maalum (Chadema) Halima Mdee, amefika wilayani Chato mkoani Geita kwa ajili ya kuhudhuria mazishi ya Hayati Magufuli.

READ MORE

Mdee, Matiko Wahudhuria Mazishi ya Magufuli Chato – Video

WABUNGE wa Viti Maalum kupitia Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Halima Mdee pamoja na swahiba wake, Esther Matiko wamefika...

READ MORE

Uongozi wa NMB Washiriki Ibada ya Mazishi ya Hayati Dkt. John Pombe Magufuli-Chato

Akiwakilisha Bodi, Menejimenti na Wafanyakazi wa Benki ya NMB, Afisa Mtendaji Mkuu wa NMB, Ruth Zaipuna na baadhi ya viongozi...

READ MORE

New Zealand Yaruhusu Mapumziko kwa Wanaopoteza Watoto

Bunge la New Zealand limepitisha Sheria inayowapa Wanawake pamoja na wenza wao Haki ya kupewa mapumziko yenye malipo pale ujauzito...

READ MORE

Mke wa Tatu wa Mfalme Zwelithini Achaguliwa Kuwa Kiongozi wa Wazulu

Familia ya Kifalme ya Zulu nchini Afrika Kusini imemteua Mke wa tatu wa Mfalme Goodwill Zwelithini kushikilia nafasi ya Uongozi...

READ MORE

Dar: Jela Miaka 30 kwa Kuiba Simu

Mahakama ya Wilaya ya Temeke imewahukumu Hemed Salum na Musa Musuni kifungo cha miaka 30 jela kutokana na kosa la...

READ MORE

Kauli ya Rais Samia Saa Chache Kabla ya Maziko ya Hayati Magufuli

Leo tunapompumzisha mpendwa wetu Hayati Rais Dkt. John Pombe Joseph Magufuli kwenye nyumba yake ya milele, kwa niaba yangu binafsi...

READ MORE

Wanne Wakamatwa Wakisherehekea Kifo cha Magufuli

Jeshi la Polisi Mkoani Mbeya linawashikilia watu wanne kwa tuhuma za kukejeli kifo cha Hayati Dkt. John Magufuli kwa kupika...

READ MORE