×

Kitaifa

Dkt. Biteko Azindua Mpango Mkakati Kutangaza Vivutio Vya Utalii Pangani

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dkt. Doto Biteko  amezindua mpango mkakati wa kutangaza fursa  zilizopo Sekta ya Utalii...

READ MORE

Naibu Waziri wa Uchukuzi: Mchakato wa Kutafuta Mfumo Bora wa Namna ya Kupeleka Mifugo nje Umeanza

Naibu Waziri wa Uchukuzi Mhe. David Kihenzile amesema Wizara ya Uchukuzi imeanza mchakato wa kutafuta mfumo bora wa namna ya...

READ MORE

Watanzania Waaswa Kujitokeza Monesho ya Dar Constructions EXPOctions

Hayo Yamesemwa leo na Mkurugenzi na Muandaaji wa Maonesho hayo Bw. Deogratius John Kilawe , alipokuwa akiongea na Waandishi wa...

READ MORE

Elimu ya Matumizi Huduma ya PSSSF Kiganjani Yatua “Waajiri Health Bonanza”

WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Mhe. Profesa Joyce Ndalichako, ameshiriki katika michezo...

READ MORE

Maadhimisho ya Siku ya Walimu Duniani, Rais Samia Aahidi Kutatua Changamoto Kuleta Ufanisi

*️Maadhimisho yafanyika kitaifa wilayani Bukombe* Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe Dkt.Samia Suluhu Hassan amesema kuwa, Serikali itaendelea...

READ MORE

Jerry Silaa: Mipango ya Kupima Viwanja Iendane na Miundombinu

  Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Jerry Silaa amewaelekeza wataalamu wa sekta ya ardhi nchini kuhakikisha mipango...

READ MORE

Waziri Silaa Akerwa Mfanyabiashara Kusumbuliwa

Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Jerry Silaa ameagiza mmiliki wa mgahawa unaojulikana kama Fresh Restaurant uliopo Manispaa...

READ MORE

NBC Yazindua Msimu wa Tatu wa Kampeni ya “Wekeza NBC Shambani Ushinde’’, Kuchochea Kasi ya Kilimo cha Korosho Mtwara, Lindi

 Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) imezindua msimu wa tatu wa kampeni yake  maalum kwa wakulima wa zao la korosho katika mikoa ya Mtwara na Lindi...

READ MORE

Mkakati Bandari ya Mtwara Waanza Rasmi

Serikali imeanza rasmi kutekeleza mkakati wa kuhakikisha bandari ya Mtwara inatumika katika kusafirisha zao la korosho na bidhaa nyingine za...

READ MORE

Hamza Johari: Anga la Tanzania Liko Salama

MKURUGENZI Mkuu wa Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA), Hamza Johari amesema hakuna mlipuko wowote wa volcano utakaosababisha viwanja...

READ MORE

Waziri Silaa Ataka Mpango Uendelezaji Eneo la Viwanda Kibaha

Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Jerry Silaa ameta kuwepo mpango wa uendelezaji katika eneo la Kongani ya...

READ MORE

Nmb Yazindua Huduma za Kibenki Kwa Wana Diaspora

Jisikie upo nyumbani popote utakapoenda duniani na ‘NMB Kwetu’ Tumezindua rasmi dirisha la huduma za kibenki kwa watanzania waishio nchi...

READ MORE

Wizara ya Ardhi Kuja na Maboresho ya Sera ya Ardhi

Wizara ya Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi iko katika maboresho ya Sera ya Ardhi ili kuwa na sera itakayoleta...

READ MORE

Wateja tupo kwa ajili yenu kwenye wiki ya huduma kwa wateja-NSSF

  Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF) umezindua kwa kishindo maadhimisho ya Wiki ya Huduma kwa Wateja 2023...

READ MORE

NBC Yazindua Mwezi wa Huduma kwa Wateja kwa kuwatembelea Mawakala, Wateja

Benki ya Taifa ya Biashara imetumia maadhimisho ya mwezi wa huduma kwa wateja kwa kuwatembelea mawakala mbalimbali na wateja wa...

READ MORE

Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Kilimo, Viwanda, Biashara na Mifugo Yaipongeza Wizaya ya Kilimo

Kamati ya kudumu ya Bunge Viwanda, Biashara, Kilimo na Mifugo imeipongeza Wizara ya Kilimo kwa utekelezaji mradi uandaaji mashamba ya...

READ MORE

Wizara ya Ardhi Yashika Nafasi ya Kwanza Kundi la Wizara Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi

  Wizara ya Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi imekabidhiwa tuzo ya ushindi wa kwanza kwa upande wa kundi la...

READ MORE

Airtel Yazindua Huduma kwa Wateja Dar, DC Azungumza

Nachukua fursa hii kumshukuru Mungu kwa kuweza kutupa afya na kuweza kumujuika hapa siku ya leo kwenye uzinduzi wa wiki...

READ MORE

Lake Energies Yadhamini Mashindano Ya NCBA Golf Series Gymkhana Kadi

Mkurugenzi Mtendaji wa Lake Energies, Abdirahman Ahmed, akimkabidhi Ayne Magome zawadi ya mtungi wa gesi pamoja na kadi ya kujaza...

READ MORE

Naibu Waziri wa Nishati Aipa Saa Mbili Tanesco Kurudisha Umeme

Naibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga Judith Kapinga amelipa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) saa mbili kurudisha uzalishaji wa umeme...

READ MORE

Mchengerwa Awatangazia Kiama Wakurugenzi Watakaoshindwa Kutekeleza Mradi wa TACTIC

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mhe. Mohamed Mchengerwa amesema Mkurugenzi wa Halmashauri...

READ MORE

GEL Yasema Waliokosa Nafasi za Vyuo Vikuu Wawahi Kutafuta Nafasi Zipo vyuo Vya Nje

WAKALA wa Elimu ya Vyuo Vikuu Nje ya Nchi, Global Education Link (GEL), imewataka wazazi ambao watoto wao wamekosa nafasi...

READ MORE

Wanafunzi Green Acres Watia Fora Kwa Vipaji

WANAFUNZI wa Shule ya Msingi Green Acres, wamewapagawisha wazazi na wageni waalikwa kwenye mahafali yao baada ya kuzungumza kwa ufasaha...

READ MORE

Wadau na Wataalam wa Kimataifa Kuipa Temeke Mbinu za Kukabiliana na Athari za Mabadiliko ya Tabia Nchi

Manispaa ya Temeke inaendelea kuchukua tahadhari dhidi ya kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi ambapo Mstahiki meya Abdallah Mtinika amekutana...

READ MORE

Mil 700 za Rais Samia Zamaliza Ujenzi wa Daraja Korofi la Kiseru Wilaya ya Kiteto- Mbunge Ole Lekaita

Daraja korofi katika barabara inayounganisha Wilaya ya Kiteto mkoani Manyara na wilaya za Mvomero na Gairo Mkoa wa Morogoro, Kongwa...

READ MORE

Benki ya Absa Yasogeza Karibu Huduma za Kibenki Kwa Watanzania Ikizindua Absa Wakala

Benki ya Absa Tanzania imezindua huduma yake ya Absa Wakala ikiwa ni mikakati ya benki hiyo katika kusogeza huduma za...

READ MORE

Wanafunzi 9 Walioanza Elimu Ya Msingi Chini ya Mti Wamkosha Mbunge Ole Lekaita

Mbunge wa Jimbo la Kiteto Mhe Edward Ole Lekaita amekoshwa na wanafunzi 9 ambao wamehitimu elimu ya msingi (Darasa la...

READ MORE

Nmb Yashinda Tena Tuzo ya Kuongoza Kuwafadhili Wajasiriamali Afrika

  Benki ya NMB imetunukiwa tena tuzo na jukwaa la kufadhili ujasiriamali duniani (SME Finance Forum) kutokana na huduma zake...

READ MORE

Prof. Mkenda Apongeza KCB Kwa Kuwezesha Vijana Kupata Mafunzo ya Amali

Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof. Adolf Mkenda ameipongeza Benki ya KCB Tanzania kwa namna inavyowezesha vijana kupata mafunzo...

READ MORE

Dirisha la Ufadhili wa Masomo NMB Nuru Yangu 2023/24 lafunguliwa

NMB Foundation imefungua rasmi dirisha la pili wa Ufadhili wa Masomo na Usimamizi mwaka 2023/24, kwa wanafunzi wanaojiunga Vyuo Vikuu...

READ MORE

Katibu Mkuu Luhemeja Awataka Madiwani Kuwa Mabalozi wa Usalama Na Afya

Katibu Mkuu – Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu) Mhandisi, Cyprian Luhemeja amewataka madiwani wa Mkoa...

READ MORE

NMB yawa benki ya tatu kwa faida Afrika Mashariki

Benki ya NMB imeshika nafasi ya tatu kwa ukubwa wa faida katika ukanda wa Afrika Mashariki, hii ni kutokana na...

READ MORE

NMB Yabainisha Mikakati ya Kuwakwamua Wakulima Wadogo

Wakulima wadogo wana mchango mkubwa katika kuhakikisha utoshelevu na uhakika wa chakula nchini jambo ambalo Benki ya NMB imeahidi kuendelea...

READ MORE

Prof.Nombo: Serikali Inafanya Uwekezaji Mkubwa Kwenye Taasisi ya Teknolojia Dar es Salaam DIT

Katibu Mkuu Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof. Carolyne Nombo amesema Serikali inafanya uwekezaji mkubwa kwenye Taasisi ya Teknolojia...

READ MORE

Waziri Silaa Ataka Siku Mia Moja Kutumika Kutatua Migogoro ya Ardhi

Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. Jerry Silaa ameelekeza  watendaji wa sekta ya ardhi nchini kuhakikisha ndani...

READ MORE

Prof. Makame mbarawa Asisitiza Ushirikiano Wizara Mpya

 Waziri wa Uchukuzi, Prof. Makame mbarawa  ametoa wito kwa menejimenti ya Wizara kushirikiana na wakuu wa taasisi  kuhakikisha kunakuwa na...

READ MORE

Waziri Silaa Ataka Ushirikiano Wizara ya Ardhi

Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. Jerry William Silaa amewasili kwa mara ya kwanza ofisi za Wizara...

READ MORE

Lake Energies Yazindua kampeni ya ‘Kumtua Mama Kuni Kichwani’

MAKUMI elfu ya akina mama na familia zao wa mikoa mitano ya Dodoma, Morogoro, Mwanza, Arusha na Geita, watanufaika na...

READ MORE

Katibu CCM Aipongeza Shule ya East Africa Dodoma

MWENYEKITI wa Wazazi (CCM) Mkoa wa Morogoro, Dk. Rose Rwakatare, ameishukuru serikali kwa kuendelea kuweka mazingira rafiki kwa wawekezaji wazawa....

READ MORE

Rais Samia Aitaka PAPU Kutumia Mashirika ya Ndege ya Afrika  

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan ameutaka Umoja wa Posta Afrika (PAPU) kutumia mashirika...

READ MORE