×

Kitaifa

Samia Atoa Maagizo Serikali za Mitaa – Video

  MAKAMU  wa Rais, Samia Suluhu, ametoa wito kwa serikali za mitaa kuhakikisha kamati zake za maji zinalinda miundombinu ya...

READ MORE

TAMISEMI Kusaka Kodi Nyumba kwa Nyumba

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Selemani Jafo amesema kuanzia tarehe 15...

READ MORE

DC Gondwe Atoa Siku 14 Mzabuni Kituo cha Afya Buza

Mkuu wa Wilaya ya Temeke, Godwin Gondwe ametoa siku 14 kwa Mzabuni wa vifaa tiba Bahari Phamacy kuhakikisha vifaa hivyo...

READ MORE

Wahamihaji Haramu Wanaswa Juu ya Dari Mwanza

KINARA wa usafirishaji wa wahamiaji haramu David Kapangala (31) na wenzake watatu wamekamatwa mkoani Mwanza na Idara ya Uhamiaji kwa...

READ MORE

Kamati ya Bunge ya Viwanda Yaipa Maagizo SIDO

KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Viwanda, Biashara na Mazingira imeliagiza Shirika la kuhudumia Viwanda Vidogo (SIDO) kuongeza juhudi na...

READ MORE

Daktari Ambandua Mrembo Gundi Kichwani

DAKTARI bingwa wa upasuaji wa kurekebisha maumbile, Michael Obeng, Mmarekani mwenye asili ya Ghana, amefanikiwa kubandua gundi iliyokuwa imegandishwa kwenye...

READ MORE

Historia Kufundishwa Darasa la Kwanza Hadi Kidato cha Sita

  WAZIRI wa Elimu Sayansi na Teknolojia, Prof Joyce Ndalichako, amesema somo la Historia ya Tanzania litaanza kufundishwa Julai mwaka...

READ MORE

Taarifa Muhimu Kuhusu Msiba wa Mukhsin Mambo

  JUMUIYA ya Watanzania waishio New York nchini Marekani inasikitika kutangaza kifo cha mwandishi wa habari na mtangazaji mkongwe, Mukhsin...

READ MORE

Babu Tale: Kuanzia Leo Mimi ni Chawa wa Magufuli – Video

MBUNGE wa Morogoro Kusini-Mashariki, Hamisi Taletale maarufu kama Babu Tale, amesema kuwa kuanzia leo yeye amekuwa ‘chawa’ wa Rais John...

READ MORE

Neymar Awakimbia Barcelona

MSHAMBULIAJI bora wa PSG Neymar Santos Junior, huenda akakosekana katika mchezo wa ligi ya mabingwa dhidi ya timu yake ya...

READ MORE

Tabu Mtingita: Kibenten Wangu Nimempata kwa Elfu 30 tu

MSHEREHESHAJI (MC) na msanii wa filamu Tabu Mtingita ameweka wazi kuhusu mahusiano yake na mpenzi wake Lexy Gitaa ambaye amemzidi...

READ MORE

Serikali: Tanzania Haijawahi Kusema Haina Virusi vya Corona

MSEMAJI  wa Serikali, Dkt. Hassan Abbas, amesema Tanzania haijawahi kusema haina virusi vya corona na kwamba Tanzania ni sehemu ya...

READ MORE

DC Zanzibar Awasaka Vijana Wenye Rasta, Panki

MKUU wa Wilaya ya Mjini (Zanzibar), Rashid Msaraka, ameanza operesheni ya kuwanyoa nywele vijana wenye umri chini ya miaka 18...

READ MORE

Ndugai: Riba Bodi ya Mikopo Inawaumiza Watoto wa Masikini

SPIKA Job Ndugai amesema mikopo kwa wanafunzi wa elimu ya juu imegeuka biashara akieleza riba inayodaiwa na Bodi ya Mikopo...

READ MORE

Sumaye, Msekwa Waeleza Walivyomfahamu Mwapachu

Spika wa Bunge mstaafu Mzee Pius Msekwa na Waziri Mkuu mstaafu Frederick Sumaye, wamesema kuwa marehemu Bakari Mwapachu alikuwa ni...

READ MORE

Tanzia: Mbunge Nditiye Afariki Dunia

ALIYEKUWA Mbunge wa Muhambwe mkoani Kigoma, Mhe. Atashasta Nditiye, amefariki dunia katika Hospitali ya Benjamin Mkapa jijini Dodoma leo Ijumaa,...

READ MORE

JPM Achafukwa, Amwambia Rostam: Gombea Ubunge Umtoe Abood – Video

RAIS John Magufuli amemwomba aliyewahi kuwa mbunge wa wa jimbo la Igunga na mfanyabiashara maarufu nchini, Rostam Abdulrasul Aziz, kugombea...

READ MORE

Bayern Mabingwa wa Dunia

Timu ya Bayern Munich ya Ujerumani, usiku wa jana ilitwaa Kombe la Dunia kwa vilabu kwa kuwafunga timu ya Tigres...

READ MORE

Tanzia: Balozi Mwapachu Afariki Dunia

    ALIYEWAHI kuwa Waziri wa Katiba na Sheria Balozi Bakari Mwapachu, amefariki dunia leo alfajiri Ijumaa February 12, 2021...

READ MORE

JPM Atoa Maagizo Mazito Moro “Uozo Huu Ukome” – Video

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt John Pombe Magufuli amemwagiza Mkuu wa Mkoa wa Morogoro na Mkuu wa...

READ MORE

Mbunge Isaay: “Matatizo ya Kupumua Serikali Iache Kigugumizi”

Mbunge wa Mbulu Mjini (CCM), Zacharia Isaay ametaka Serikali ya Tanzania kueleza wazi kuhusu alichokiita ugonjwa wa kupumua ambao anasema...

READ MORE

Mtoto Achomwa Moto kwa Tuhuma za Kuiba Karanga

Jeshi la Polisi mkoa wa Shinyanga linamshilikilia mwanamke aliyejulikana kwa jina la Christina Mwagi (29) kwa tuhuma ya kumjeruhi kwa...

READ MORE

Tanzia: Hakimu Mwambapa Afariki Dunia

MAHAKAMA ya Tanzania imetangaza kifo cha Hakimu Mkazi Mfawidhi, Mahakama ya Wilaya Nanyumbu Mtwara, Godfrey Mwambapa, kilichotokea leo asubuhi akipelekwa...

READ MORE

Majaliwa: Kutangaza Nyongeza ya Mishahara Kunaongeza Gharama za Maisha

WAZIRI mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Kassim Majaliwa amesema kutangaza nyongeza ya mishahara ya wafanyakazi hadharani hakuna tija...

READ MORE

Kilio Kila Kona Ongezeko Bei ya Vifurushi vya Makampuni ya Simu

  Uamuzi wa kimyakimya wa kampuni za mawasiliano ya simu za Tigo na Vodacom Tanzania kupandisha gharama za vifurushi vya...

READ MORE

Ex wa Boateng Afariki Dunia

Mwanamitindo Kasia Lenhardt (25) ambaye alikuwa mpenzi wa mchezaji wa FC Bayen Munich Jerome Boateng amekutwa kafariki katika apartment yake...

READ MORE

Kiba Aweka Kambi Nigeria

MFALME wa muziki wa Bongo Fleva, Alikiba maarufu kama King Kiba, ambaye anafanya vizuri kwa sasa na ngoma yake “Infidèle”...

READ MORE

DC Gondwe Awa MBOGO kwa Wakandarasi Mwendokasi – Video

MKUU wa Wilaya ya Temeke Godwin Gondwe amemtaka Mkandarasi wa Kampuni ya SINOHYDRO inayotengeneza Barabara ya Mwendokasi awamu ya pili...

READ MORE

Sakata la Mitandao ya Simu Kupunguza Bando Lazua Mjadara Bungeni – Video

Mbunge wa Viti Maalum, Judith Kapinga ameomba Serikali kuangalia upya suala la kampuni za simu kupandisha vifurushi vya ‘internet’ bila...

READ MORE

Waraka wa Corona Wamuweka Pabaya Prof. Chuo Kikuu

BARAZA la Chuo Kikuu Huria, limekaa kikao cha dharura na kuagiza Makamu Mkuu wa Chuo, Prof. Elifas Tozo Bisanda, aombe...

READ MORE

Waliomteka Mfanyabiashara, Kuomba Rushwa Wakiri Mashtaka

  WALIOKUWA askari wa Jeshi la Polisi na wenzao watano wanaokabiliwa na mashtaka ya kumteka mfanyabiashara wa madini, Sammy Mollel...

READ MORE

Serikali Kuajiri Watumishi 12,000 Afya

WIZARA ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto imesema kuwa inakusudia kuajiri watumishi wa afya 12,476 katika mwaka...

READ MORE

Mapya Yaibuka Madaktari Wanaoikimbia Serikali

NAIBU Waziri wa Afya Dkt. Godwin Mollel, amesema kuwa kwa sasa wanao mpango wa kudhibiti watumishi wa sekta ya afya...

READ MORE

Awachoma Visu Watoto, Kisa Mkewe Kuolewa

JACKSON BAHATI (27), mkazi wa kijiji cha Buhangizi, Kata ya Kagu, mkoani Geita, anadaiwa kuwajeruhi watoto wake wawili kwa kuwachoma...

READ MORE

Mzazi Aliyegoma Kuwapeleka Watoto Shule Kisa Dini Akamatwa

Merchades Mugishagwe anashikiliwa na Polisi kwa Amri ya Mkuu wa Wilaya ya Bukoba akidaiwa kukaidi agizo la kuwaandikisha Watoto wake...

READ MORE

Tanzia: Chadema Yapata Pigo, Ntagazwa Afariki Dunia

ALIYEKUWA Mwenyekiti wa Bodi ya Wadhamini wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dennis Arcado Ntagazwa, amefariki dunia asubuhi ya...

READ MORE

Waombolezaji wa Kulipwa Wazua Sekeseke Msibani, Mfiwa Ajifungia Chooni

  TAHARUKI imeibuka katika maeneo la Lugari, Kakamega nchini Kenya baada ya vijana wanaolipwa ili kuomboleza msiba, kuzua sekeseke kwa...

READ MORE

Aliyemkata Mikono Mkewe kwa Utasa Afungwa Jela Miaka 30

MAHAKAMA moja mjini Machakos nchini Kenya, imepitisha hukumu ya kifungo cha miaka 30 gerezani dhidi ya mwnamme baada ya kupatikana...

READ MORE

Buku Yataka Kumtoa Roho, Kisa Msichana

  Mgusuhi Sabayi anasakwa na polisi wilayani Serengeti kwa madai ya kumjeruhi, Silikale Mwita akipinga kutolewa katika sherehe ya harusi...

READ MORE