Rais John Magufuli amesema Serikali haijazuia matumizi ya barakoa na amewataka wananchi kuchukua tahadhari dhidi ya COVID19 kama wanavyoshauri wataalamu...
READ MOREWakati wimbi jipya la maambukizi ya virusi vya Corona yakizidi kuwa tishio duniani kote, utafiti wa Kisayansi umeendelea kuonesha kwamba...
READ MOREWaziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Kassim Majaliwa amewashukuru viongozi wa dini kwa kuendelea na maombi ya...
READ MOREJeshi la polisi mkoani Kagera linamshikilia Fredius Philibart Kibengo mkazi wa Omurushaka wilayani Karagwe kwa tuhuma za kumuua mama...
READ MOREALIYEKUWA kuwa mbunge wa Viti Maalum, Vicky Kamata, ameandika kuwa alidhani yeye ni jasiri, baada ya kumpoteza mume wake Dkt.Servacius...
READ MORESerikali imeweka wazi chanzo cha kifo cha aliyekuwa Katibu Mkuu Kiongozi Balozi John Kijazi, na kusema kuwa amefariki kutokana...
READ MOREMahakama ya Mwanzo ya Buguruni imemhukumu kifungo cha nje cha miezi minne mkazi wa Tabata Segerea, Baraka Athuman (33)...
READ MOREWANAFUNZI wa shule ya wasichana ya Moi nchini Kenya, watalazimika kubaki nyumbani kwa muda usiojulikana baada ya shule hiyo kufungwa...
READ MOREGLOBAL Publishers tumekuandalia makala ya maisha na enzi ya Hayati Maalim Seif Sharif toka alipozaliwa, maisha ya kisiasa mpaka alipokutwa...
READ MOREBenki ya NMB imekabidhi mabati 200 na vifaa vingine vya ujenzi kwa ajili ya ukarabati wa vyumba vya madarasa...
READ MORETAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) mkoani Kagera imewafikisha mahakamani watumishi wanne wa kampuni ya uchimbaji madini ya...
READ MOREShirika la Marekani la Utafiti wa Anga (NASA) limefanikiwa kukifikisha chombo chake katika Sayari ya Mirihi (Mars) na kimefanikiwa kutuma...
READ MOREProf. Vincent Kihiyo, Makamu Mkuu wa Chuo cha Kumbukumbu ya Sebastian Kolowa (SEKOMU) aliyefariki dunia Februari 18 atazikwa kesho, Februari...
READ MORERais wa Tanzania, John Magufuli amesema baada ya kufanya mazungumzo na aliyekuwa Makamu wa Kwanza wa Rais Zanzibar, Maalim...
READ MOREIKIWA ni wiki moja baada ya kuzinduliwa kwa Chemshabongo na Gazeti la Ijumaa ambap msomaji wa gazeti hilo hujibu maswali...
READ MORERais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. John Pombe Magufuli amewataka Watanzania kuendelea kumuomba Mwenyezi Mungu kuliepusha Taifa la...
READ MORERais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. John Pombe Magufuli amekanusha taarifa za uzushi zilizosambazwa mtandaoni kuwa Waziri...
READ MORERais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Magufuli amewaongoza waombolezaji na Watanzania wote kuaga mwili wa aliyekuwa...
READ MORERAIS John Magufuli amesema alikosa mtu wa kumteua kuwa katibu mkuu kiongozi baada ya aliyekuwa akishika nafasi hiyo, Balozi John...
READ MOREChuma cha ajabu kilichoonekana katika eneo la makutano ya barabara jijini Kinshasa nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo kimeteketezwa na...
READ MOREWaziri wa Katiba na Sheria, Dkt. Mwigulu Nchemba ameagiza Vyombo vya Ulinzi na Usalama kuwachukulia hatua Watu wanaosambaza taarifa...
READ MOREBODI ya Usajili wa Wabunifu na Wakadiriaji Majenzi (AQRB) leo imefanya ziara katika baadhi ya shule za Sekondari jijini Dar es...
READ MOREMwili wa Katibu Mkuu Kiongozi Balozi John Kijazi umesafirishwa leo Februari 18, kutoka Dodoma kwenda Dar es Salaam ambapo umepelekwa...
READ MOREJaji Mkuu wa Tanzania, Mhe. Prof. Ibrahim Hamis Juma amewaapisha Mahakimu Wakazi wapya 71 huku akimshukuru Rais wa Jamhuri ya...
READ MOREMTANGAZAJI wa televisheni wa kampuni ya DIRECTTV, Diego Ordinhola, nchini Ecuador, alijikuta akikingiwa bastola na mtu nje ya Uwanja wa...
READ MORENaibu waziri wa ofisi ya Rais TAMISEMI David Silinde amewaagiza kuandika maelezo ndani ya siku tatu mkuu wa shule ya...
READ MOREMWILI wa aliyekuwa makamu wa kwanza wa Rais Zanzibar, Maalim Seif Sharif, tayari umewasili Pemba kwa ajili ya mazishi.
READ MOREPOLISI Kanda Maalum ya Dar es Salaam kwa kushirikiana na jeshi la polisi mkoa wa Mbeya, imefanikisha kuipata bastola ya...
READ MOREVIONGOZI mbalimbali nchini Tanzania wakiwemo wastaafu wamejitokeza katika uwanja wa Mnazi Mmoja mjini Unguja kumswalia aliyekuwa Makamu wa Kwanza wa...
READ MOREMWILI wa Makamu wa Kwanza wa Rais Maalim Seif Sharrif Hamad ukiwasili Zanzibar kisha kupelekwa katika viwanja vya Mnazi Mmoja...
READ MOREMWILI wa aliyekuwa Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Eng. John Kijazi, aliyefariki dunia jana Jumatano saa 3:10 usiku katika Hospitali ya...
READ MORETUME ya Utangazaji Zanzibar imekifungia kituo cha televisheni cha Tifu kwa muda wa siku saba baada ya kudaiwa kurusha vipindi...
READ MOREWaziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Ummy Mwalimu amesema iko haja ya kuweka tozo...
READ MOREMwili wa Makamu wa Kwanza wa Rais Zanzibar, Maalim Seif Sharif Hamad utazikwa leo Alhamisi Februari 18, 2021 mjini Pemba,...
READ MOREMWILI waaliyekuwa Makamu wa Kwanza wa Rais wa Serikali ya Mpindunzi Zanzibar, Maalim Seif Sharif Hammad, leo Februari 18,...
READ MOREMbunge wa zamani wa Morogoro Kusini Mashariki, Semindu Pawa amefariki dunia Februari 17. Pawa amewahi kushika nafasi mbalimbali ndani ya CCM...
READ MORE#TANZIA: Rais Dkt. John Pombe Magufuli ametangaza kifo cha Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Eng. Dkt. John Kijazi kilichotokea leo Februari...
READ MOREBARAZA la Maaskofu wa Kanisa Katoliki nchini Tanzania (TEC), limewataka Watanzania kuacha siasa za upendeleo na ubinafsi, kwa kuwa zinasababisha...
READ MOREMwandishi wa Habari Mwandamizi wa ITV na Radio One Stereo aliyebobea katika habari za Mazingira, Vedasto Msungu amefariki dunia leo...
READ MORE