×

Magazeti

Sakina lyoka Mtangazaji mwenye kipaji cha kipekee

Mtangazaji Sakina Lyoka Leo katika Mpaka Home tunaye mtangazaji mwenye kipaji pekee ambaye anatangaza katika Kipindi cha Ng’aring’ari katika Kituo...

READ MORE

Mastaa Hawa na Mchezo Huu Vepeee?

Wema Sepetu na Aunt Ezekiel Miongoni mwa mastaa wa filamu na muziki Bongo wamekuwa na viashiria vya vitendo visivyofaa hasa...

READ MORE

Lulu: Mama amenistiri sana!

Staa wa filamu Bongo, Elizabeth Michael ‘Lulu’. STAA wa filamu Bongo, Elizabeth Michael ‘Lulu’ amefunguka kuwa hakuna wa kumthamini na...

READ MORE

Wastara ampa masharti magumu Bond

Wastara Juma na Bond Staa wa filamu Bongo, Wastara Juma amempa wakati mgumu aliyekuwa mwandani wake ambaye pia ni meneja...

READ MORE

Pablo Masai kuvuta jiko soon

Na Issa Mnally, Risasi DAR ES SALAAM. Mwanamuziki nyota wa FM Academia, Pablo Masai wakati wowote kuanzia sasa ataoa baada...

READ MORE

Rose Ndauka Hajali Nyumba Yao Kuvunjwa

Na Gladness Mallya WAKATI mamia ya wakazi wa Dar es Salaam waishio mabondeni na pembezoni mwa bahari na mito wakihaha...

READ MORE

Sabby: Mapenzi Kwangu No

Na IMELDA MTEMA  MSANII wa Bongo movies Sabrina Omary ‘Sabby Angel’ amesema katika kipindi hiki cha kasi ya Rais John...

READ MORE

Tiko Adai Huu Mwaka Wa Kutoka

Na Gladness Mallya MSANII wa filamu Bongo, Tiko Hassan ameibuka na kudai baada ya mwaka jana kuwa mgumu kuliko kawaida...

READ MORE

Ray C, kama ni kweli unamuaibisha JK kwa makusudi

Rehema Chalamila Ray C. MIONGONI mwa wasanii ambao wanabeba nembo ya Muziki wa Kizazi Kipya upande wa wanawake, huwezi kuacha...

READ MORE

Kidoa amtangazia vita Zari

Video Queen maarufu Bongo, Asha Salum ‘Kidoa’. Musa mateja Video Queen maarufu Bongo, Asha Salum ‘Kidoa’ amemtangazia vita mpenzi wa...

READ MORE

Odama: Hakuna wa kuniondolea heshima yangu

Staa wa Bongo Movies, Jennifer Kyaka ‘Odama’. Imelda mtema Staa wa Bongo Movies, Jennifer Kyaka ‘Odama’ amesema kuwa tangu alipoingia...

READ MORE

Amanda atumika kwa utapeli

Staa wa Bongo Movies, Tamrina Posh ‘Amanda’. Mwandishi wetu Kaa chonjo! Staa wa Bongo Movies, Tamrina Posh ‘Amanda’ amejikuta kwenye...

READ MORE

Mzungu Simba ampiga changa la macho Julio

Na Mohammed Mdose SIMBA leo inacheza na Mwadui FC kwenye Uwanja wa Kambarage Shinyanga, lakini kocha wake Dylan Kerr amesema...

READ MORE

Pluijm eti anataka soka la Wenger Yanga

Arsene Wenger Na Sweetbert Lukonge KOCHA wa Arsenal, Arsene Wenger amekubali yaishe kwa kusema sasa anataka mabao tu na haina...

READ MORE

Katumbi aweka Sh bil 5 kwa Samatta

Ibrahim Mussa na Hans Mloli MBWANA Samatta anaelekea kuweka rekodi nyingine ya kuwa mchezaji wa Tanzania mwenye thamani kubwa zaidi...

READ MORE

Diamond Funga Mwaka Concert…. Acha Kabisa! 

Mfalme wa muziki wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ akifanya yake usiku huu Dar Live. Mashabiki wakifurahia. Diamond akiendelea...

READ MORE

Kidoa aibuka kidedea Ijumaa Sexiest Girl 2015

Video Queen anayefanya pia filamu, Asha Salum ‘Kidoa’ akiwa na tuzo yake ya Ijumaa Sexiest Girl 2015 baada ya kuwafunika...

READ MORE

Jerome kula bata jukwaani Yanga

Na Nicodemus Jonas KIUNGO Jerome Sina anayefanya majaribio Yanga, ataendelea kubaki katika klabu hiyo pengine hadi katika usajili wa Juni...

READ MORE

Mastaa: Magufuli ametuua kwa njaa

GLADNESS MALLYA Jambo limezua jambo! Kufuatia tumbuatumbua inayoendeshwa na Rais Dk. John Pombe Magufuli kwa vigogo waliokuwa wanawapa jeuri mastaa...

READ MORE

Davina aanika ‘mazagazaga’…

Staa wa filamu Bongo, Halima Yahaya ‘Davina’. Imelda mtema Staa wa filamu Bongo, Halima Yahaya ‘Davina’ hivi karibuni alianika ‘mazagazaga’...

READ MORE

Shamsa achekelea mpenzi mpya

Staa wa filamu Bongo, Shamsa Ford Na Gladness Mallya STAA wa filamu Bongo, Shamsa Ford ameonesha furaha yake ya kuumaliza...

READ MORE

Kilichomponza Dk. Mwaka chafichuka!

Mmiliki wa Kliniki ya Tiba Asilia ya Fore Plan iliyopo Ilala Bungoni, Dar, Dk. Juma Mwaka ‘JJ Mwaka’. Stori: Deogratius...

READ MORE

Shinda Nyumba Ilivyozinduliwa Kwa Kishindo Mwanza

Mwandishi wetu, Mwanza Ile Bahati Nasibu ya Shinda Nyumba iliyozinduliwa wiki iliyopita katika ofizi za Global Publishers zilizopo Bamaga Mwenge...

READ MORE

Wema ampigia saluti Diamond

Wema Sepetu ‘Madam’ Stori: Imelda Mtema MTOTO mzuri Bongo Movies, Wema Sepetu ‘Madam’ ameonesha kumpigia saluti mpenzi wake wa zamani,...

READ MORE

Kichupa cha ‘Utanipenda’ cha Diamond nyuma ya pazia

Nyota wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’ akiwa  kasimama mbele ya magari aliyoyatumia katika video yake mpya ya Utanipenda. Staa...

READ MORE

Tuzo ya Clayton yamponza Ester

Na Deogratius Mongela KIHEREHERE! Msanii wa filamu Bongo, Ester Kiama hivi karibuni alijiponza baada ya kushambuliwa mtandaoni kisa kikiwa ni...

READ MORE

Wema, JB wamuigiza Diamond

Wema Isaac Sepetu. Deogratius Mongela na Mayasa Mariwata  Wamerudi! Mastaa wawili wa Bongo Movies, Wema Isaac Sepetu na Jacob Steven...

READ MORE

Mama atia ngumu Lulu kuondoka nyumbani

IMELDA MTEMA Marufuku! Mama mzazi wa staa wa Bongo Movies, Elizabeth Michael ‘Lulu’, Lucresia Karugila ametia ngumu mwanaye huyo kuondoka...

READ MORE

Asipofunga Zipu…Nay kufa kwa ngoma

Staa wa Bongo Fleva, Emmanuel Eribaliki ‘Nay wa Mitego’  akijiachia na mrembo mpya mwenye umbo dogo kwenye bwawa la kuogelea...

READ MORE

Stan Bakora ‘ajimilikisha’ video Queen

Komedian matata Bongo, Stanley Yusuph ‘Stan Bakora’ akiwa na  video Queen Tunda. Musa mateja KOMEDIAN matata Bongo, Stanley Yusuph ‘Stan Bakora’,...

READ MORE

Viporo vya Magufuli Baraza la Mawaziri siri yafichuka

Rais John Pombe Magufuli. Mwandishi wetu Nyuma ya viporo vinne vilivyoachwa kwenye Baraza la Mawaziri la Rais John Pombe Magufuli...

READ MORE