×

Makala

UNA UHAKIKA ANAKUPENDA KWA DHATI?-2

KATIKA mada hii ambayo imeanza wiki iliyopita, tunajifunza namna ya kumtambua mwenzi ambaye amepoteza uwezo wa kupenda.  Tayari tumeshaona dalili...

READ MORE

TATIZO LA KUKOSA HEDHI WAKATI SI MJAMZITO (AMENORRHEA)

KWA kawaida, mtoto wa kike akishafikia umri wa kuvunja ungo, anaanza kuona siku zake za hedhi. Huendelea kuona siku zake...

READ MORE

TUI LA NAZI HALITENGENEZI CHAI!

HEYAHEYA, acha nicheke miye kwani sidaiwi na mtu, navuta hewa ya bure ya nini kujibana, najiachia nitakavyo. Kama hewa ingekuwa...

READ MORE

UKIPARAMIA PENZI LA USIYEMJUA, ANDIKA MAUMIVU!

NI wiki nyingine tulivu kabisa tunakutana kupitia uwanja huu wa mahaba. Ni eneo pekee ambalo unaweza kujifunza mambo ambayo yanaweza...

READ MORE

JINSI YA KUEPUKA MIMBA ZISIZOTARAJIWA !

WANAWAKE wengi hawajui kuhesabu mzunguko wao wa hedhi na namna unavyoweza kutumika katika kuleta au kutoleta ujauzito.  Hata hivyo, ili...

READ MORE

NJIA ZA KUEPUKA KISUKARI (DIABETES)

UGONJWA wa kisukari (diabetes) unaongezeka haraka sana na umekuwa janga ulimwenguni pote. Kuna aina kuu mbili za kisukari;  Aina ya...

READ MORE

UNAMALIZAJE MOGOGORO NA MPENZI WAKO ?

LEO tunaangalia mada muhimu sana katika mapenzi, nachambua juu ya migogoro ambayo inaweza kutokea kati yako na mwenzio, je, unaimalizaje?...

READ MORE

UNAUHAKIKA ANAKUPENDA KWA DHATI

ALHAMISI nyingine imewadia ambapo tumekutana katika uwanja huu, ambao tunajifunza mambo mbalimbali kuhusu uhusiano. Naamini ukurasa huu unakusaidia kukuza ufahamu...

READ MORE

FAHAMU MADHARA YA PUMU KWA WAJAWAZITO

TAFITI kadhaa zimeonesha kuwa takribani theluthi moja ya wajawazito wenye pumu hupata nafuu kipindi cha ujauzito, theluthi nyingine hupata matatizo...

READ MORE

SABABU WANAWAKE WAZURI KUTOOLEWA ZAANIKWA

WANAWAKE wengi warembo au wazuri husalia peke yao na kufa katika hali hiyo kutokana na sababu mbalimbali, Risasi Mchanganyiko limedokezwa. ...

READ MORE

SHOGA USIWE JUU JUU KAMA NYAMA YA BUCHANI

 UNANISHA-NGAA wakati umeshindwa kuyalinda maboga utaweza wapi matikiti maji weyeee! Haloooo eeeehhh wanakwambia kuvimba kwa mchele hakushtui mwiko shoga na...

READ MORE

OMBA, SALI UMPATE MUME MWENYE TABIA HIZI 6!

WIKI hii nitazu-ngumzia sifa 6 za mwanaume ambaye anastahili kuwa mumeo. Nafanya hivi ikiwa ni msaada kwa wale ambao wamefikia...

READ MORE

CHUO CHA KILIMANJARO CHAENDELEA KUPOKEA WANAFUNZI

Chuo cha Kilimanjaro Institute of Technology and Management (KITM) kilichopo katika jengo la Mama Ngoma, Mwenge na Afrikasana, Sinza jijini...

READ MORE

KILA SIKU UNAKIMBIWA NA WANAWAKE, UMEGUNDUA SABABU?-2

TUNAZU-NGUMZA kuhusu mapenzi, kama ilivyo kawaida ya ukurasa huu. Leo namalizia mada yangu niliyoanza wiki iliyopita. Ni kuhusu mambo ambayo...

READ MORE

UTAWEZAJE KUKAMATA MWANAUME ULIYEMPENDA-3

UKWELI ni kwamba wanawake wakiwapenda wanaume hubaki na mateso mioyoni mwao. Hii ni kwa sababu ni vigumu kumtokea mwanaume moja...

READ MORE

FAHAMU MAKUNDI YA UGONJWA WA PUMU (BRONCHIAL ASTHMA)-2

Wiki hii tunaendelea mfululizo wa makala ya Fahamu makundi ya ugonjwa wa pumu, endelea kufuatilia… LAKINI pia upasuaji wakati wa...

READ MORE

MFANYE MUMEO AWAHI NYUMBANI

SIPENDI na wala sitaki kusikia kwani unamkosesha raha mtoto wa mwenzio, kuku wako mwenyewe kwa nini akushikie manati. Kwa nini...

READ MORE

DONDOO MUHIMU ZA KUNOGESHA PENZI KWA WANANDOA

KWANZA namshukuru Mungu kwa kunijaalia afya njema na pia kwa kunipa nguvu ya kuandika hiki ninachokusudia. Ungana nami ili ujifunze...

READ MORE

FAHAMU AINA ZA UGUMBA (INFERTILITY); KUJIKINGA-2

 WIKI iliyopita wakati tunaanza mada hii, tuliona maana ya ugumba na aina zake. Ambapo kama mtakumbuka pia nilieleza sababu zinazosababisha...

READ MORE

KILA SIKU UNAKIMBIWA NA WANAWAKE, UMEGUNDUA SABABU?

LET’S Talk About Love ni kwa ajili ya marafiki wote. Wanaume na wanawake, ila kiukweli mada nyingi huegemea zaidi kwa...

READ MORE

NIPE , NIKUPE NDO’ UTAMU WA PENZI!

NI IJUMAA nyingine tulivu kabisa mpenzi msomaji tunakutana tena kwenye uwanja wetu maridhawa kabisa kupeana elimu ya uhusiano baada ya...

READ MORE

PUNGUZA MAJI UGALI UIVE

NASHUKURU kwa wote mlionipongeza kwa kupata mafunzo ambayo hawakuyapata hapo awali, siyo wote wamepitia mafunzo ya utaratibu wa maisha wa...

READ MORE

VYAKULA VINAVYOSAIDIA KUPUNGUZA UZITO/UNENE !

MOJA kati ya matatizo yanayowakumba watu wengi kwa kizazi cha sasa ni tatizo la uzito. Tatizo hili limekuwa chanzo cha...

READ MORE

UBAKAJI WANAWAKE USIKU… TELEZA WA KIGOMA NI ZAIDI YA POPOBAWA!

ACHANA na habari za propaganda za popobawa kuwaingilia watu usiku na kuwanyanyasa kingono zilizokuwa zikivuma miaka ya nyuma, sasa kuna...

READ MORE

MATUMIZI HOLELA YA DAWA YANAVYOSABABISHA SARATANI

KITENDO cha mwanamke kutumia kiholela dawa za uzazi wa mpango humuweka katika hatari kiafya hasa kupata kansa ya kizazi.  Kibaiolojia...

READ MORE

UKIMPATA MTU SAHIHI, MSHIKILIE KWELI KWELI

Moja kati ya kosa kubwa ambalo watu wengi wanalifanya ni kutothamini hisia. mahusiano mengi yamevunjika kwa sababu tu ya mmoja...

READ MORE

MPENZI WAKO YUKO MBALI ? JUMUIKA NAYE SIKUKUU KWA STAILI HII

NI wiki nyingine tulivu tunakutana tena kupitia ukurasa huu nikiamini umzima bukheri wa afya na unaendelea vyema na majukumu yako...

READ MORE

FAHAMU AINA ZA UGUMBA (INFERTILITY); KUJIKINGA

UGUMBA ni hali inayotokea iwapo watu wawili, mwanaume na mwanamke wanapokutana kimwili bila kutumia njia yoyote ile ya upangaji uzazi...

READ MORE

MPENZI WAKO ANAKUOMBA SANA FEDHA ?

 HII INAKUHUSU Ipo dhana iliyojengeka kwenye vichwa vya watu wengi, wanaume kwa wanawake kwamba unapokuwa na mpenzi ambaye mara kwa...

READ MORE

MAGONJWA MAPYA YA ZINAA AMBAYO NI TISHIO

KWA SASA Magonjwa mapya huibuka kila uchao na magonjwa yaambukizwayo kwa ngono nayo ni miongoni mwao. Katika makala haya ninakuletea...

READ MORE

UTAWEZAJE KUMKAMATA MWANAUME ULIYEMPENDA

HISIA za mapenzi hutokea ndani kabisa ya moyo. Kila mmoja ana uhuru na haki ya kupenda. Huwezi kuchaguliwa wa kumpenda!...

READ MORE

 ASALI HAIONJWI KWA JIRANI

NIMEKUJA tena shangingi wa mashangingi wote wa mjini, shangingi lililopigana vita na kuwa sugu la kuwafunda wengi.   Habari zenu,...

READ MORE

MAMBO YAKUZINGATIA IWAPO UNATAKA KUSHIKA MIMBA

WanaWake wengi wanapenda kushika mimba lakini baadhi yao hawashiki. Sio kwa mapenzi yao, hivyo leo tutashauri nini cha kufanya ili...

READ MORE

UKIMCHAGUA MWENZA KWA STAILI HII, IMEKULA KWAKO!

NI wiki nyingine tulivu kabisa tunakutana kupitia safu hii nikiamini kwamba Mungu ameendelea kukupa ulinzi. Pia niwatakie kila la heri...

READ MORE

KUNA VIUMBE WA AJABU WAISHIO ANGANI -10

SASA ENDELEA… Katika kufanya utafiti inaelezwa kwamba wanasayansi waligundua kuwa kuna maisha nje ya Sayari ya Dunia katika Sayari ya...

READ MORE

MBINU ZINAZOWEZA KUKUFANYA UKAMTEKA KIHISIA MUWAPO FARAGHA

NI Ijumaa nyingine murua kabisa tunapokutana kwenye uwanja huu mzuri, mahali tunapojuzana kuhusu mambo mbalimbali yanayohusu uhusiano wa kimapenzi na...

READ MORE

MBINU ZA KUKABILIANA NA TATIZO LA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME-2

WIKI iliyopita tulianza kuangalia tatizo hili la upungufu wa nguvu za kiume ambalo linatajwa kushamiri kwa wanaume wengi.    Kwa...

READ MORE

KUKUAMBIA ANAKUPENDA TU HAITOSHI IKIWA… – 2

TUNAMALIZIA mada yetu iliyoanza wiki iliyopita. Muhimu tunaangalia kasoro unazotakiwa kuziangalia kwa mpenzi uliyenaye. Je, upo kwenye uhusiano na mpenzi...

READ MORE

NJIA YA KUEPUKA KISUKARI (DIABETES)

UGONJWA wa kisukari (diabetes) unaongezeka haraka sana hivi kwamba umekuwa janga la ulimwenguni pote. Kuna aina mbili kuu za kisukari. ...

READ MORE

HATA ‘SINGLENDI’ NI NGUO YA NDANI

HALOOOOO EEEHHHH wanakwambia raha ya tembele liwe na mafuta mengi, upo nyonyo! Mjini mjini tu kama umezoea maghorofa wenzako tumezoea...

READ MORE