×

Makala

USIJIENDEKEZE, USIPOANGALIA UTAKUFA BURE KWA WIVU

ASSALAM Alaikum! Ni furaha yangu kwa mara nyingine tena kukutana nawe kwenye safu yetu hii ya Love Zone. Tumshukuru Muumba...

READ MORE

YAJUE MAGONJWA YENYE UHUSIANO NA UKIMWI

WENGI tunajua tatizo la Ukimwi; kirefu chake ni Upungufu wa Kinga Mwilini, ni ugonjwa unaoshambulia na kuua chembe chembe nyeupe...

READ MORE

UKIONA YUKO HIVI , JUA ANAKUPENDA KWA DHATI

NI JUMATATU nyingine mpenzi msomaji Mungu ametujalia uzima tunakutana kwenye eneo letu mahsusi kwa ajili ya kupeana elimu ya masuala...

READ MORE

MBINU ZA KUKABILIANA NA TATIZO LA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME

ZAMANI matatizo ya unyumba hayakuwa hadharani, yalikuwa ni siri ya mke na mume. Matatizo ya unyumba ni mambo ya chumbani,...

READ MORE

JINSI YA KUFURAHIA FARAGHA!

U ZURI wa mapenzi ni kuridhishana. Kila mmoja ‘ainjoi’ kukutana na mwenzake, alifuarahie tendo katika hali ambayo hawezi kuwa na...

READ MORE

KUNA VIUMBE WA AJABU WAISHIO ANGANI -9

NILIPOISHIA IJUMAA ILIYOPITA; Wiki iliyopita tuliona jinsi Aliens na UFO vilivyoanza kuonekana kwenye anga la Israel, Iran na Australia kwa...

READ MORE

 KUKUAMBIA ANAKUPENDA PEKEE HAITOSHI IKIWA…

MPENZI wako anapokuambia anakupenda, inatosha kweli kukudhibitishia kuwa anakupenda kwa dhati na uendelee kumwamini? Hapa kila mmoja anaweza kuwa na...

READ MORE

SHOGA JEMBE LAKO, AKULIMIE NANI?

HE he he heeeeiya, acha nicheke miye Anti Naa mwana wa mashabiki, mjukuu wa maiki! Shoga hivi unajua kuna vitu...

READ MORE

FAHAMU TATIZO LA UVIMBE WA TEZI ZA SHINGO

UGONJWA huu ni uvimbe unaotokea shingoni hauchagui umri na hufahamika kwa kitalaamu kama cervical/neck lympadenopathy.    Tatizo la kuvimba tezi...

READ MORE

YAJUE YANAYOSABABISHA UGUMBA KWA WANAWAKE !

MOJA ya sababu kubwa inayomfanya mwanamke kuwa mgumba ni ile ya mirija ya uzazi ya mwanamke kuvimba kwa kujaa majimaji...

READ MORE

UMUHIMU WA KULA TENDE WAKATI WA MFUNGO

LEO katika makala haya, yataangazia ulaji wa tende, na kwa kuzingatia kuwa huu ni Mwezi Mtukufu wa Ramadhani, tende ndiyo...

READ MORE

KUMVUMILIA ASIYEVUMILIKA PENZINI NI HATARI, FANYA MAAMUZI!

KATIKA lugha ya Kiswahili kuna misemo mingi inayotoa muongozo wa namna tunavyoweza kuyaendesha maisha yetu. Ipo misemo ambayo unaweza kudhani...

READ MORE

KUNA WAKATI PENZI LINAGEUKA KUWA KIFO, JIEPUSHE HIVI

NIANZE kwa kuwatakiwa Waislamu wote nchini mfungo mwema wa Mwenzi Mtukufu wa Ramadhani. Ni kipindi cha kufanya ibada, kujinyima kula...

READ MORE

FAHAMU SARATANI YA MATITI NA JINSI YA KUJIPIMA

SARATANI ya matiti ni moja ya magonjwa yanayoongoza katika kusababisha vifo kwa kina mama duniani. Lakini licha ya ugonjwa huo...

READ MORE

 KAMA HUTAKI KUPATA MIMBA; FANYA HAYA

SAFU yetu wiki hii imebeba njia mbalimbali ambazo mwanamke anaweza kutumia ili asipate mimba kama hataki kuwa mjamzito.  Kutokujamiiana ndiyo...

READ MORE

KUNA VIUMBE WA AJABU WAISHIO ANGANI -8

Wiki iliyopita tulianza kupata shuhuda za mamilioni ya watu duniani waliolalamika kutokewa na aliens, lakini Serikali hazijawahi kulithibitisha hilo. Inavyosemekana,...

READ MORE

MOYO WA SHUKRANI UNA MAANA KWENYE MAPENZI!

KWA kawaida mwanzo wa uhusiano, huba na kila aina ya manjonjo kwenye mapenzi hutawala. Huwa na vitu vingi sana vya...

READ MORE

MAMBO YA KUZINGATIA KABLA YA KUINGIA KWENYE UCHUMBA-3

HUU ni uwanja wa boyfriend and girlfriend ambao hutoa mwanga kwa wasichana na wavulana walio kwenye uhusiano na ambao wanatarajia...

READ MORE

TRENI HAITEMBEI KWENYE LAMI

SHOGAA eeeeh kwanza una kifua? Nisije sema neno hapa ukadondoka kwa kukosa pumzi bureee! Heee heeeiyaa wanakwambia kigodoro hakina muziki...

READ MORE

I AM SORRY DEAR ZINAVYOZOROTESHA PENZI!

KWA wale walio katika mapenzi matamu na ya kweli watakubaliana na mimi kuwa mapenzi yenye amani na masikilizano ni kama...

READ MORE

HESHIMU SANA ULIPO, NI SALAMA KULIKO UENDAKO !

JUMATATU nyingine tunamshukuru Mungu kwa kuiona siku mpya ya leo! Kama ilivyo ada, tunakutana hapa kupaena darasa la mahusiano.  Ndugu...

READ MORE

MKE MZURI, TAJIRI ILA LIMBUKENI WA MAPENZI WA KAZI GANI ?

U HALI gani mpenzi msomaji wangu wa safu hii. Karibu tena kwenye eneo lako hili la kujidai ambalo linayaweka sawa...

READ MORE

MAMBO YA KUZINGATIA KABLA YA KUINGIA KWENYE UCHUMBA-2

KUWA na mume au mke bora ni matokeo ya kuwa katika uchumba ulio bora na sahihi. Hakuna kitu kinachokuja kwa...

READ MORE

FAHAMU TATIZO LA MAPAFU KUJAA MAJI

 MAPAFU ndio kiungo kinacho-tegemewa sana katika mwili kama utafanya mazingatio maana ubongo ukikosa oksijeni ndani ya dakika 5 kwenda juu...

READ MORE

MWENYE NYUMBA HAKAI FOLENI

HALOOOO eeehhh…vijana wa leo wanakwambia ukitaka kuona raha ya pombe povu lake na mjini hakuna mtoto mdogo ati ukikaa baa,...

READ MORE

TATIZO LA MAWE KWENYE FIGO

UGONJWA wa mawe kwenye figo siyo mgeni miongoni mwa watu hivi sasa. Hata hivyo, katika siku za hivi karibuni, ukubwa...

READ MORE

KUJIVUA NGUO KWA LUGOLA, KUCHEPUKA KWA RC GUMZO!

KAULI mbili za viongozi wa Serikali, Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Albert Chalamila na Waziri wa Mambo ya Ndani ya...

READ MORE

IFAHAMU PRESHA YA KUSHUKA (HYPOTENSION)

PRESHA ya kupanda ndio maarufu duniani lakini ipo presha ya kushuka ambayo nayo ni hatari.  Hypotension ndio jina linalotumika kuelezea...

READ MORE

KAMA NI MZINGUAJI KWA NINI USUBIRI AKUACHE?

WATAALAM wa masuala ya mapenzi wanaeleza kuwa, unapokuwa katika uhusiano na mtu uliyetokea kumpenda sana, usimkabidhi moyo wako wote kwanza. ...

READ MORE

KINACHOSABABISHA MWANAMKE KUTOKWA NA UCHAFU MWEUPE SEHEMU ZA SIRI

WANAWAKE inawabidi kujichunguza kila siku ya maisha yao maeneo yao ya uzazi na matiti, vile vile kuichunguza nguo ya ndani...

READ MORE

MBINU MAHSUSI ZA KUBORESHA MAPENZI

KUBORESHA MAPENZI! NI Jumamosi nyingine tunakutana kupeana elimu ya mahusiano. Dunia ya sasa usipokubali kujifunza utapitwa na mengi.   Ni...

READ MORE

HISTORIA HAITAKUSAIDIA KITU, ANGALIA UPENDO WA DHATI – 2

WAPENDWA wasomaji wangu, leo tunaendelea na mada yetu ambapo tunaingia katika sehemu ya mwisho. Wakati fulani unaweza kukuta watu mtaani...

READ MORE

MATESO YA FAMILIA HII TEMEA MATE CHINI!

JE! Mungu mwenye upendo anawezaje kuruhusu mateso ya namna hii kuendelea katika ulimwengu aliouumba? Ndivyo unavyoweza kujiuliza baada ya kusoma...

READ MORE

KUNA VIUMBE WA AJABU WAISHIO ANGANI -6

ILIPOISHIA IJUMAA ILIYOPITA… Wiki iliyopita nilizungumzia eneo hatari linaloaminika kuwa ni makao ya Aliens au makao makuu ya shetani hapa...

READ MORE

MABADILIKO NA ATHARI KWENYE MZUNGUKO WA HEDHI

TATIZO la mabadiliko yasiyo ya kawaida katika mzunguko wa hedhi huwapata wanawake wengi walio katika umri wa kuzaa na wale...

READ MORE

MAMBO YA KUZINGATIA KABLA YA KUINGIA KWENYE UCHUMBA

KUPATA mwenzi bora wa maisha siyo mchezo, lazima ubongo wako ufanye kazi sawasawa ili uweze kugundua kwamba mpenzi uliyenaye anafaa...

READ MORE

DIRISHA HALIFUNGWI NA KUFULI

SHOGA shangaa-shangaa mjini hapa, kama ni msimu embe subiri mwisho wa mwaka ndiyo hizooo zaja, uongo? Ukitaka kujifunza mbio wanasema...

READ MORE

FANGASI SEHEMU ZA SIRI ZA MWANAUME

IDADI kubwa ya watu inasumbuliwa na tatizo la kuwashwa sehemu za siri bila kujali jinsia na umri.  Watu wengi wanaamini...

READ MORE

UNAFANYA NINI ZAIDI YA KUMWAMBIA NAKUPENDA?

JAMBO la kufurahisha ni kwamba, ukifungua ukurasa huu, unakuwa na uhakika wa kuongeza kitu kipya katika maisha yako ya kimapenzi....

READ MORE