×

Makala

Huyu Naye…fuata Maelekezo – 02

“Naweka baba, nisamehe sana.” “Usijali, weka.” Baba alisimama kwenye mlango wa bafuni, nikachota maji na kuingiza bafuni, wakati natoka ili...

READ MORE

Mambo ya kuzingatia kabla ya kuwa mjamzito

Ujauzito ni safari ndefu inayomchukua mwanamke miezi tisa au majuma arobaini hadi kujifungua. Ni safari yenye mikikimikiki na hatari nyingi...

READ MORE

Ugumu/urahisi wa kufanikiwa na msemo wa ‘one day yes’

Ndugu zangu, maisha ya sasa yamekuwa yakitafsiriwa tofauti na kila mtu. Wapo wanaoeleza kuwa, maisha ni magumu, maisha ni yenye...

READ MORE

Kilichonitokea Baada ya Kubakwa na Kaka Yangu-33

Mpenzi msomaji, wiki iliyopita niliishia pale Dorcas alipomwambia yule bwana aliyekuwa akiendesha baiskeli kwamba alikuwa akienda Mbeya msibani ndipo jamaa...

READ MORE

Ujue ugonjwa mpya wa kisonono – 2

WIKI iliyopita tuliishia katika kuzungumzia dalili ya ugonjwa wa kisonono (gono), leo tunaendelea na sehemu yetu ya pili na ya...

READ MORE

Jamani Kaka Cheni …Ndiyo Nini Sasa?!-13

“We kaka Cheni, hebu sikiliza nje, kama kuna mtu anatembea,” nilimwambia. TEREMKA NAYO MWENYEWE…  “Hakuna mtu bwana…” aliniambia akisikilizia kama...

READ MORE

Mume Wangu Anaishi Mara ya Pili – 11

ILIPOISHIA WIKI ILIYOPITA: “Haa! Hutumii taulo shem?” “Sipendi kabisa mama Kisu, sijui kwa nini?” “Sasa wewe umesema huna mke, kanga...

READ MORE

Waheshimiwa, ‘sinema’ mjengoni hazitusaidii!

KWENU Waheshimiwa Wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Niwasalimu kwa umoja wenu kwa vile siwezi kumsalimu mmojammoja.Poleni...

READ MORE

Njia ya kutafuta na kupata mafanikio

Kila mmoja ana hofu maishani mwake lakini kinachotutofautisha ni kiwango cha hofu alichonacho kila mmoja. Bila shaka hata wewe msomaji...

READ MORE

Boris Yeltsin; Rais ‘Chapombe’ Aliyetoroka Ikulu Usiku Kusaka Msosi

Boris Yeltsin. Hebu vuta picha, ni saa nane za usiku unakimbizana na muda kuwahi kurudi nyumbani baada ya kuchelewa kwenye...

READ MORE

Namshauri rais wetu Magufuli  haya muhimu kwa taifa

Namshukuru Mungu kwa kutuweka hai leo. Leo nimeamua kumshauri Rais Dk. John Pombe Magufuli kutekeleza mambo nane ili kuweka misingi...

READ MORE

Homa ya mapafu kwa watoto (Pneumonia)-2

Stori:  Daktari wa Uwazi, UWAZI Tunamalizia kuelezea ugonjwa wa homa ya mapafu kwa watoto. Dalili mojawapo ya mtoto  kuwa na...

READ MORE

Miaka Minne Ndani ya Mapango ya Amboni-48

ILIPOISHIA Baada ya kuwaelezea ndugu zangu masaibu yaliyonikuta huko Tanga, Faiza alionekana kioja kikubwa hasa kwa vile ambavyo nilimkuta katika...

READ MORE

Shoga; ukichoka mwambie kistaarabu, usiseme hutaki!

Shoga yangu, natumai hali yako ni nzuri na unaendelea vizuri na pilika za maisha, kwa upande wangu Mungu ni mwema...

READ MORE

Jifunze Zaidi

  Natumaini mpo salama na mnaendelea vyema na masomo yenu kwa kipindi hiki cha mwanzo wa muhula wa masomo. Nafahamu...

READ MORE

Simulizi ya Christian Bella; Mambo yaanza kumwendea vizuri…

Tunazidi kusonga mbele na simulizi hii ya Maisha Halisi ya Christian Bella ‘King Of The Best Melody’, ambapo wiki iliyopita...

READ MORE

Kabla ya Kuingia Kwenye Ndoa, Tumbueni Kwanza Majipu

VITABU vya dini vinatuambia, mke mwema anatoka kwa Mungu. Vinatufundisha kwamba, akili, nguvu na maarifa yetu si kitu. Ili uweze...

READ MORE

Rigwaride Ra Afande – 17

ILIPOISHIA RISASI JUMATANO: Mwezi mmoja ulikatika bila kupata mawasiliano kutoka kwa yeyote kati yao. Lakini siku hiyo niliamka ninaumwa. Afya...

READ MORE

Nilivyoivunja Ndoa Yangu na Shetani -08

ILIPOISHIA: “Ina maana Bantu kitendo changu cha kumdanganya kimemuuma sana na kuona kila siku nilikuwa namdanganya? Mmh! Ni nani aliyemwambia...

READ MORE

Jinsi ya kupika chapati za maji

Natumaini hujambo mpenzi msomaji wa safu hii ya Mahanjumati na unaendelea vizuri na majukumu ya kujenga taifa. Leo kama ilivyo...

READ MORE

Maendeleo ya mtoto na ukuaji wake-2

Naendelea na mada hii ambayo nimeianza wiki iliyopita. Mtoto apewe fursa ya kucheza peke yake au na wenzake, apewe uhuru...

READ MORE

Ndoa Yako Imekuwa Adui au Rafiki wa Mafanikio?

Nimshukuru Mungu kwa kunijaalia uzima ulioniwezesha kuandaa makala haya. Ndugu zangu, leo nataka kuzungumzia suala la mafanikio na namna ndoa...

READ MORE

Simulizi ya AY: Baba yake afariki akiwa hajamuona kwa miaka 7

Alhamisi iliyopita tuliishia pale AY aliposimulia kuhusu Kundi la ECT kutokuwa na nyimbo zake na kuongeza kuwa nyimbo walizokuwa wakizitoa...

READ MORE

Kilichonitokea Baada ya Kubakwa na Kaka Yangu-32

Mpenzi msomaji, wiki iliyopita niliishia pale dada Dorcas aliposhindwa kulala kufuatia kusongwa na mawazo kutokana na vitendo alivyofanyiwa na mama...

READ MORE

Jamani Kaka Cheni …Ndiyo Nini Sasa?!-11

ILIPOISHIA WIKI ILIYOPITA: Yaliisha, usiku ukaingia. Baba alikaa sana nje siku hiyo, najua alikuwa akimlenga kaka Cheni asitoke. Ilipofika saa...

READ MORE

Jini Mweusi – 67

Hali ya sintofahamu inazuka jijini Dar es Salaam, machangudoa wengi wanaanza kuuawa katika mazingira ya kutatanisha. Hakuna anayemjua muuaji, kila...

READ MORE

Nape; Hili la Kuwalipa Wasanii Liangalie kwa Jicho la Tatu

Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Nape Nnauye. KWAKO Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Nape Nnauye. Habari...

READ MORE

Chongo!-20

Ilipoishia wiki iliyopita Alimpiga pigo moja tu shingoni na Bonviek, akaanguka bila hata mwenye duka kujua kama kulikuwa na mtu...

READ MORE

Homa ya mapafu kwa watoto (Pneumonia)

Leo tutajadili ugonjwa wa homa ya mapafu kwa watoto maarufu kama Pneumonia (Nimonia), ni aina ya maambukizi yanayoathiri mapafu. Inakadiriwa...

READ MORE

Nilivyoteseka Kwenye Mianzi ya Kichawi – 5

ILIPOISHIA  Wakati yote hayo yanafanyika mimi nilikuwa bado nimepigishwa magoni na kwa hakika magoti yalianza kuniuma kwa sababu pale chini...

READ MORE

Ushindani wa Masomo Una Faida Zake

Ni vigumu kwa sehemu yoyote kufanya jambo kwa bidii bila kupoteza lengo ikiwa hakuna ushindani. Ushindani baina ya watu wawili...

READ MORE

Ya Zanzibar; ni Jecha au mawazo ya wakubwa?

YANAYOENDELEA visiwani Zanzibar kuhusu kufutwa na kutangazwa upya kwa tarehe ya uchaguzi mkuu yanafahamika. Nyongeza ya tafakuri yangu ni: Kwa...

READ MORE

Wabunge; hatutarajii zile ‘sinema’ zenu

TUMSHUKURU Mungu kwa kutuweka hai leo, hakika hana budi kuabudiwa milele duniani kote. Baada ya kusema hayo nianze kwa kusema...

READ MORE

Shoga; mpe mumeo vyakula hivi akufurahishe

Shoga yangu, natumaini hali yako ni nzuri na unapambana na maisha, leo  nitazungumza nawe kuhusu vyakula unavyopaswa kumwandalia mumeo vitakavyomfanya...

READ MORE

Miaka Minne Ndani ya Mapango ya Amboni-47

ILIPOISHIA Nikamueleza jinsi nilivyokutana na Faiza akiwa ameshakaa kwa miaka minne ndani ya mapango hayo. Nikamueleza na yale yaliyotokea hadi...

READ MORE

Ugomvi wa Aboud Jumbe na Nyerere ulivyotetemesha nchi-13

Tunaendelea kuchambua mgogoro wa Mwalimu Julius Nyerere na Rais wa Pili wa Zanzibar, Aboud Jumbe: Uteuzi wa mtu atakayemridhi Mwalimu...

READ MORE

Unamsomesha mwanao kwa gharama kubwa ili iweje?

Ni safu yako wewe mwenye uchu wa mafanikio, inakuhusu wewe uliyeathirika kisaikolojia unayeshindwa kufanya mambo ya kimaendeleo kutokana na kuwa...

READ MORE

Wasichana mnaohamia  kwa mabwana tuwaeleweje?

Asalam alaikum wapenzi wasomaji wangu, bila shaka wazima na mnaendelea vema na ujenzi wa taifa letu, kwa wagonjwa poleni Mungu...

READ MORE

Jamani Kaka Cheni …Ndiyo Nini Sasa?!-11

ILIPOISHIA WIKI ILIYOPITA: “Hapana mama, niko macho.” “Mbona kama hujatoka kuamka sasa hivi wewe, isijekuwa ulitoka ndiyo umerudi?” “Hapana mama,...

READ MORE

Jini Mweusi – 66

Hali ya sintofahamu inazuka jijini Dar es Salaam, machangudoa wengi wanaanza kuuawa katika mazingira ya kutatanisha. Hakuna anayemjua muuaji, kila...

READ MORE