×

Michezo

De Gea: Ninahisi Man U Tumerogwa

Kipa David De Gea sasa anadai kuwa klabu yake ya Mancheseter United huenda imerogwa. Man United imekuwa katika mahangaiko tangu...

READ MORE

Pointi 5 zaipa Kiburi Yanga Kusepa na Ubingwa

MABINGWA mara 27 wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Yanga wameweka wazi kuwa pointi 5 ambazo wamewapita wapinzani wao Simba ni...

READ MORE

Simba kuwaweka kikao Bwalya, Chama

SELEMAN Matola, Kocha Msaidizi wa Simba, amesema kuwa watafanya kazi kubwa kwa wapigaji mipira iliyokufa ambayo wanaipata katika mechi ambazo...

READ MORE

Lusajo: Nitampoteza Mayele

KINARA wa wafungaji kwenye Ligi Kuu Bara mpaka sasa, Reliants Lusajo, amemtangazia vita mpinzani wake mkubwa katika vita ya ufungaji...

READ MORE

Nabi aja na mbadala wa Mayele

KOCHA Mkuu wa Yanga, Nasreddine Nabi, amemuangalia mshambuliaji wake Fiston Mayele akipaniwa na kutolewa macho na mabeki wa timu pinzani,...

READ MORE

Kocha Yanga Awasifu Makipa Wake “Wote Wako Vizuri

KOCHA wa Makipa wa Yanga, Mikton Nienov amewasifu makipa wake, Djigui Diarra, Aboutwaleb Mshery na Erick Johora wotw kwa pamoja...

READ MORE

Biashara Kufa na Kupona kwa Yanga

KOCHA Mkuu wa Biashara United ya Mara, Vibier Bahati ameweka wazi kuwa watacheza kwa kufa na kupona kwenye mechi yao...

READ MORE

Nunua na Soma Gazeti la Championi na Ijumaa Wikienda kirahisi zaidi hapa

Jipatie nakala ya Gazeti la Championi na Gazet la Ijumaa Wikienda kirahisi zaidi popote ulipo, ndani na nje ya Tanzania...

READ MORE

Simba Yawapiga ASEC Mimosas Bao 3-0

WAWAKILISHI wa Tanzania kwenye Kombe la Shirikisho, Simba leo Februari 13 wameibuka na ushindi wa mabao 3-1 dhidi ya ASEC...

READ MORE

Mastaa Simba Watengewa Bil 1.4

SIMBA SC, imepania kweli kufika mbali kwenye michuano ya Kombe la Shirikisho Afrika ambapo mabosi wa klabu hiyo, wametenga dola...

READ MORE

Simba Fanyeni Kweli Uwanja wa Mkapa Leo

SIMBA SC, leo Jumapili inatarajiwa kuvaana na ASEC Mimosas katika mchezo wa hatua ya makundi wa Kombe la Shirikisho Afrika...

READ MORE

Nabi Aongeza Dozi Nzito Yanga

UNAAMBIWA huko mazoezini Yanga ni mwendo wa dozi tu kwani benchi la ufundi la timu hiyo chini ya KochaMkuu, Nasreddine...

READ MORE

Nabi Ahaha Kupata Pacha wa Mayele

UNAAMBIWA huko kwenye mazoezi ya Yanga, kocha wao mkuu raia wa Tunisia, Nasreddine Nabi, ameonekana kuhangaika usiku na mchana kutengeneza...

READ MORE

Asec Mimosas: Tupo Tayari Kuwakabili Simba

Kocha wa Asec Mimosas amesema wamejiandaa vizuri kukabiliana na Simba SC kwenye mchezo wa kwanza hatua ya makundi kombe la...

READ MORE

Pablo: Asec Mimosas Tunawapiga Nyingi

Kocha wa Timu ya Simba, Pablo Franco akizungumza kuelekea mchezo wa Shirikisho barani Afrika dhidi ya Asec Mimosas ya Ivory...

READ MORE

Simba Yaanika Siri za Kuwaua Asec Mimosas

UONGOZI wa Simba umesema kuwa hauna hofu kuelekea mchezo wa Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya Asec Mimosas ya Ivory...

READ MORE

Mwakinyo Kupanda Ulingoni Februari Hii

Bondia anaefanya vizuri sasa hivi Tanzania Hassan Mwakinyo anatarajia kurejea ulingoni Februari 25 mwaka huu katika pambano lililopewa jina ‘MABINGWA...

READ MORE

Yanga Washtukia, Wamuonya Mayele

MABOSI wa Yanga ni kama wameshtukia vile, unaambiwa juzi walimuita straika wao Fiston Mayele kufanya naye kikao na kumuonya kuhusu...

READ MORE

Waamuzi Waliochezesha Simba, Yanga Walimwa Adhabu

Mwamuzi Ahmada Simba aliyechezesha mchezo wa Simba SC na Tanzania Prisons na Mwamuzi Hussein Athumani aliyechezesha mchezo wa Yanga dhidi...

READ MORE

Manara, Bumbuli Wapigwa Rungu la TFF

Viongozi wa idara ya habari Yanga SC, Haji Manara na Hassan Bumbuli wamepigwa faini ya Tsh 500,000 kila mmoja kwa...

READ MORE

Mo Awawekea Sh 200Mil Mastaa Wakiifunga Asec

KATIKA kuhakikisha wanapata ushindi wa kwanza nyumbani dhidi ya Asec Mimosas ya nchini Ivory Coast katika mchezo wa kwanza wa...

READ MORE

Breaking: Ally Sonso Afariki Dunia

ALIYEKUWA mchezaji wa Ruvu Shooting, Ally Mtoni “Sonso” (29) amefariki Dunia katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili alipokuwa anapatiwa Matibabu...

READ MORE

Tanzania Yaporomoka Tena Viwango vya FIFA

Tanzania imeporomoka kwa nafasi moja katika viwango vya ubora wa soka vya Shirikisho la Mpira wa Miguu Dunia (FIFA) kwa...

READ MORE

Kigogo Yanga Auweka Mezani Mkataba wa Morrison

IMEELEZWA kuwa, kigogo mwenye ushawishi wa fedha na usajili ndani ya Yanga, amewaita Kamati ya Utendaji ya klabu hiyo kwa...

READ MORE

Bosi Simba Apiga Mkwara Mzito CAF

  MWENYEKITI wa Klabu ya Simba, Murtaza Mangungu, ametamba kuwa, malengo waliyojiwekea msimu huuni kufika nusu fainali ya Kombe la...

READ MORE

Ni Zaidi ya Umafia! ASEC Mimosas Ya Ivory Coast Wajipange

NI zaidi ya umafia! Ndivyo unavyoweza kusema kufuatia kile ambacho Benchi la Ufundi la Simba limekifanya katikamaandalizi kuelekea mchezo wa...

READ MORE

Kusah: Ruby Aangalie Sana

MSANII maarufu wa Bongo Fleva, Kusah unaambiwa hapoi, sasa ameamua kufunga ukurasa na mzazi mwenzake, Ruby ambaye amekuwa akimponda mitandaoni...

READ MORE

Spika wa Bunge Akutana na Viongozi wa TFF

Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Tulia Ackson (Mb), amekutana na kufanya mazungumzo na Viongozi...

READ MORE

Kibu Denis, Dilunga Majanga Simba

MENEJA Habari na Mawasiliano wa Simba, Ahmed Ally, amefungukia maendeleo ya wachezaji wao KibuDenis na Hassan Dilunga ambao kwa sasa...

READ MORE

Azam FC Yawapa Somo Yanga

Mkuu wa Idara ya Habari na Mawasilino ya Azam FC Thabith Chumwi Zakaria ‘Zaka Zakazi’ ameingilia kati sakata la Malalamiko...

READ MORE

Simba Wazindua Jezi ya Kombe la Shirikisho Afrika (Picha +Video)

Klabu ya Simba leo Februari 10, 2022 imezindua rasmi jezi mpya ambazo zitakuwa zinatumika kwenye michuano ya kimataifa ambayo klabu...

READ MORE

Simba Yashtukia Janja Ya Asec, Yatangaza Vita

LICHA yawapinzani waSimba, Asec Mimosas ya nchini Ivory Coast kuficha kuhusu ujio wao hapa nchinikwenye mechi ya kwanza ya hatua...

READ MORE

Simba Yamchimba Mkwara Bernard Morisson

UNAAMBIWA KIUNGO Mshambuliaji wa Simba, Bernard Morisson, mpaka Feb 8, 2022 hakuwa ameandika barua ya maelezo baada ya kutakiwa kuandika...

READ MORE

Bodi ya Ligi Kuu Bara Yafungukia Hatma ya GSM

MWENYEKITI wa Bodi ya Ligi Kuu Bara, Steven Mnguto, ameibuka na kusema licha ya wadhamini wenza Kampuni ya GSM kutangaza...

READ MORE

Nabi Atakiwa Kuwasilisha Ripoti Yanga

HATIMAYE Uongozi waYanga, umelitaka benchi la ufundi la timu hiyo, linaloongozwa na kocha raia wa Tunisia, Nasreddine Nabi, kuwasilisha mara...

READ MORE

Simba Yawaita Yanga Kuwasapoti CAF

UONGOZI wa Simba umewakaribisha mashabiki wa timu mbalimbali ikiwemo Yanga kuwaunga mkono katikamchezo wao wa hatua ya makundi ya Kombe...

READ MORE

Nunua na Soma Gazeti la SpotiXtra kirahisi zaidi hapa

Jipatie nakala ya Gazeti la spotixtra kirahisi zaidi popote ulipo, ndani na nje ya Tanzania kwa Tsh 300/= iOS :...

READ MORE

Mo Dewji Aagiza Simba Kushusha Viingilio vs Asec Mimosas

Mwekezaji kunako Klabu ya Simba Mohammed Dewji “Mo Dewji” ameiagiza Klabu ya Simba kushusha Viingilio kutoka Elfu 5000 mpaka Shilingi...

READ MORE

Simba Kuwakosa Watano Mechi ya ASEC

Kocha wa Kikosi cha Simba, Pablo Franco Martín amesema kuwa Katika mchezo wa kimataifa wa Kombe la Shirikisho Afrika (CAF)...

READ MORE

Mo Dewji: Kuwekeza Simba kwa Sasa ni Hasara

MWEKEZAJI katika Klabu ya Simba, Mohammed Dewji amesema kilicho mpeleka kambini leo ni mapenzi yake kwa Simba na amekutana na...

READ MORE