×

Michezo

Waarabu Wamfuata Saido Burundi

TAARIFA zinasema kwamba, Kiungo Mshambuliaji wa Yanga, Saidi Ntibazonkiza ‘Saido’ wamemfuata nyumbanikwao Burundi na viongozi wa timu moja kutoka Uarabuni...

READ MORE

Exclusive Video: Ahmed Ally Afunguka A-Z, Simba Walivyomtaka Awe Msemaji

 GLOBAL TV imefanya mahojiano na afisa habari mpya wa Simba, Ahmed Ally, kuhusiana na masuala mbalimbali yahuyuso klabu yao...

READ MORE

Kipyenga Kupulizwa AFCON 2021 Cameroon Leo

LEO saa 1:00 usiku, kipyenga kitapulizwa kuashiria kuanza kwa michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON 2021). Muda huo...

READ MORE

Makambo Aweka Rekodi, Mayele Ampa Tano

MSHAMBULIAJI wa Yanga, Heritier Makambo, ameweka rekodi kwenye mashindano ya Kombe la Mapinduzi baada ya kufunga kwenye mechi mbili mfululizo....

READ MORE

Morrison Akili Yote Fainali Mapinduzi

KIUNGO mshambuliaji wa Simba, Mghana, Bernard Morrison, amefunguka kwamba, kwa sasa anajipanga kuhakikisha anaisaidia timu yake kushinda mechi ya nusu...

READ MORE

Aucho, Bangala Waiwahi Azam FC

UONGOZI wa Yanga, umeweka wazi kuwa wachezaji wao Khalid Aucho, Yanick Bangala, Djuma Shabanina Mukoko Tonombe, watapatikana katika mchezo unaofuata...

READ MORE

Simba Queens Yaichakaza Vibaya Yanga Princess

SIMBA Queens imeendeleza rekodi ya ubabe mbele ya Yanga Princess kwa kuendeleza vipigo kwenye msimu wao wa nne mfululizo baada...

READ MORE

Chuji Amchambua Sure Boy

DAKIKA 90 za kwanza za kiungo Salum Abubakar ‘Sure Boy’ zilitosha kuthitibitisha kiungo huyo mpya wa Yanga bado ni yule...

READ MORE

Nkane, Sure Boy waipa kiburi Yanga Zanzibar

NYOTA wapya wa timu ya Yanga ambao wametua ndani ya dirisha dogo, wameipa jeuri timu hiyo kiasi cha kutamka kuwa...

READ MORE

Shiboub, Moukoro Wakabidhiwa kwa Pablo

OFISA Habari wa Simba, Ahmed Ally, amefunguka na kuelezea kwamba, suala la wachezaji wote wanaofanya majaribio kikosini hapo, uamuzi wa...

READ MORE

Hatimaye VAR Kutumika AFCON

HATIMAYE kwa mara ya kwanza katika historia ya michuano ya AFCON, mechi zote 52 zitatumia marefa wasaidizi wa picha za...

READ MORE

Coutinho Atua Timu ya Samatta

KIUNGO mshambuliaji wa FC Barcelona, Phillipe Coutinho amejiunga kwa mkopo kwenye klabu ya Aston Villa hii baada ya Villa kudhibitisha...

READ MORE

Trippier Atua Newcastle

Newcastle United imefanikiwa kupata sahihi ya beki wa kulia, Kieran Trippier kutoka Atletico Madrid paundi million 12 sawa na 37,501,300,080...

READ MORE

Burudani Ya Soka Inahamia Afrika, Afcon 2022 Kimeumana!!

Wikiendi hii, mzunguko wa 3 wa FA Cup unaendelea hii ikiwa ni sambamba na kuanza kwa Mashindano ya AFCON 2022...

READ MORE

Yanga v Azam, Simba v Namungo Nusu Fainali Mapinduzi

KITU pekee ambacho mashabiki wa Simba na Yanga wanakifurahia kwa sasa ni kuziona timu hizo zikiendelea kukipiga kwenye Kombe la...

READ MORE

Yanga Princess Yapanga Kuvunja Rekodi Ya Simba Queens

KOCHA Mkuu wa Yanga Princess, Edna Lema ‘Morinyo’ ameweka wazi kuwa anataka kufuta uteja mbele ya Simba Queens kwa kushinda...

READ MORE

Yanga Yabanwa Mbavu na KMKM

Yanga SC imeshindwa kufurukuta mbele ya Wazuia Magendo wa Zanzibar (KMKM) baada ya kulazimishwa sare ya bao 2-2 katika mashindano...

READ MORE

Pablo Afunguka Kuhusu Shiboub

KOCHA wa Simba, Pablo Franco amesema licha ya kiungo Sharaf Shiboub kuwahi kuichezea Simba, anapaswa kuonesha kiwango kwenye mechi za...

READ MORE

Eto’o: Afrika Tunadharauliana

NGULI wa zamani wa Soka wa Cmaeroon na Rais wa Shirikisho la Soka nchini humo, Samuel Eto’o amesema kuwa Mataifa...

READ MORE

Pogba Apewa Ofa Ya Kibabe Manchester United

Klabu ya Manchester United imempatia Ofa ya mkataba mpya kiungo wa kimataifa wa Ufaransa, Paul Pogba wenye thamani ya kitita...

READ MORE

Mastaa 17 Kuondoka Man United

Manchester United ipo katika wakati mgumu hasa kutokana na kudaiwa kuwa kuna wimbi kubwa la wachezaji wanataka kuondoka wakati huu...

READ MORE

Pablo Aanza na Majembe Mapya Simba

KOCHA Mkuu wa Simba, Pablo Franco, ameonyesha kuwa ni kweli hataki masihara, kwani mapema tu ameweka wazi kuwa atakuwa na...

READ MORE

Yanga Yatumia Sh 50Mil Kuwapora Straika Simba

IMEFAHAMIKA kuwa uongozi wa Yanga umetumia Sh 50Mil kufanikisha usajili wa mshambuliaji wa Mbeya Kwanza, Chrispin Ngushi aliyekuwa akiwindwa pia...

READ MORE

Ronaldo de Lima Anawaza Kumsajili Lionel Messi, CR7

STAA wa zamani wa Brazil, Ronaldo de Lima amefunguka kuwa kama angekuwa na fedha angewasajili Lionel Messi na Cristiano Ronaldo....

READ MORE

Simba Yaionya Yanga Princess

JOTO la mechi ya Watani wa Jadi kwa upande wa soka la wanawake limezidi kutanda ambapo Yanga Princess watakuwa wenyeji...

READ MORE

Moses Phiri Afunguka Kila Kitu

HATIMAYE Mshambuliaji wa Zanaco FC ya Zambia, Moses Phiri, amefungukia dili lake la kujiunga Yanga, hukuakiweka wazi kuwa bado hajamalizana...

READ MORE

Lusajo Mchezaji Bora Desemba

KIUNGO mshambuliaji wa timu ya Namungo FC, Reliant Lusajo amechaguliwa Mchezaji Bora wa mwezi Desemba wa Ligi Kuu Tanzania Bara....

READ MORE

Timu ya Senegal Yapata Pigo

TIMU ya Taifa ya Senegal imekumbwa na janga la wachezaji watatu kukutwa na virusi vya Corona pamoja na viongozi wao...

READ MORE

Hitimana Amwaga Wino KMC

KLABU ya Manispaa ya Kinondoni (KMC FC) imeingia mkataba wa mwaka mmoja na Kocha, Thierry Hitimana raia wa Burundi Kuwa...

READ MORE

Moukoro, Shiboub Balaa Tupu Simba

WACHEZAJI Sharaf Shiboub na Cheick Moukoro walio kwa majaribio na timu ya Simba mjini Zanzibar wameelezwa kuanza vyema majaribio yao...

READ MORE

Man United Hawamtaki Cristiano Ronaldo

MAMBO sio mazuri ndani ya Manchester United, huku ikielezwa kuwa staa wa timu hiyo, Cristiano Ronaldo awekwekando kwani anagawa timu...

READ MORE

Rasmi! Nkane Apewa Mikoba ya Ngasa Yanga

Winga kinda Denis Nkane ameanza vizuri maisha yake ndani ya kikosi cha timu ya Wananchi Yanga SC baada ya hapo...

READ MORE

 Blackberry Kuondolewa Sokoni

Kwa wale watumiaji wa simu za BlackBerry kuanzia sasa kamwe hawataweza kufanya matumizi ya kupiga simu, kutuma ujumbe ama kujiunga...

READ MORE

Wiki Moja Baada ya Kujiuzulu, Mkwasa Arejea Tena Ruvu Shooting

KLABU ya Ruvu Shooting imethibitisha kurejea kwa Kocha Mkuu Charles Boniface Mkwasa aliyekua ametangaza kujiuzulu nafasi hiyo tangu juma lililopita....

READ MORE

Pablo Aukubali Mziki wa Shiboub

TAYARI uongozi wa Simba chini ya Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi, Salim Abdallah ‘Try Again’umefikia makubaliano ya kuachana na beki...

READ MORE

Simba, Yanga Zagawa Dozi Mapinduzi

SIMBA SC na Yanga SC, zimeanza michuano ya Kombe la Mapinduzi kwa kugawa dozi ya mabao 2-0kila moja. Katika mchezo...

READ MORE

Kabwili Avunja Ukimya Yanga

PAMOJA na kuwepo na tetesi nyingi za kuachwa pale Yanga, kipa chaguo la pili Ramadhani Kabwili, amevunja ukimya kwa kusema...

READ MORE

Mechi ya Arsenal vs Liverpool Yaahirishwa

Mchezo wa kombe la EPL kati ya Arsenal na Liverpool uliopangwa kuchezwa kesho umeahirishwa kutokana na kuongezeka kwa wimbi la...

READ MORE

Baba wa KR Mullah Afariki Dunia

MSANII mkongwe wa muziki wa kizazi kipya nchini Rashid Ziada ‘KR Mullah’ amefiwa na baba yake mzazi mkoani Lindi.  ...

READ MORE

Waarabu Wamfuata Mukoko Yanga

TETESI zinasema kuwa Klabu ya El Gouna ya nchini Misri inayoshiriki ligi kuu, imetuma ofa ya kumsajili Mukoko Tonombe ambaye...

READ MORE