×

Michezo

Nabi Aliandaa Jembe la Kazi Lakumrithi Kibwana

KOCHA Mkuu wa Yanga raia wa Tunisia, Nasreddine Nabi amesema kuwa hana hofu kukosekana kwa beki wake wa pembeni, Shomari...

READ MORE

Wachezaji 11 wa Tanzanite Wakutwa na Corona

Shirikisho la Soka la Tanzania limeripoti kuwa wachezaji 11 wa Timu ya Taifa ya wanawake wenye umri wa chini ya...

READ MORE

Pablo: Simba Itautwaa Ubingwa Bara

KOCHA mkuu wa Simba, Pablo Franco raia wa Hispania ameweka wazi kuwa malengo yake katika timu hiyo ni kuona wanafanikiwa...

READ MORE

Wachezaji wa Yanga Nao Waugua

Kocha wa Yanga Nasreddine Nabi akiwa kwenye Mkutano na Waandishi wa Habari [Pre-Match Press Conference] amesema, kuna baadhi ya wachezaji...

READ MORE

Haji Manara Awaombea Simba

  Baada ya kutoka kwa taarifa ya mechi ya Kagera na Simba kuahirishwa kwa sababu ya wachezaji wa Simba kuumwa...

READ MORE

Rasmi: Mechi ya Simba vs Kagera Yaahirishwa, Wachezaji Wagonjwa

PAMBANO la Ligi Kuu Bara kati ya Kagera Sugar na Simba lililokuwa lipigwe leo Saa 10:00 jioni, kwenye Uwanja wa...

READ MORE

Polepole Agoma Kukata Rufaa

MBUNGE wa Kuteuliwa Humphrey Polepole ametangaza kupitia ukurasa wake wa Instagram kwamba hata kata rufaa ikiwa ni Masaa machache tangu...

READ MORE

Klabu 15 Zaikubali GSM

Klabu 15 kati ya 16 zinazoshiriki Ligi Kuu ya Bara zimetoka na azimio la kuunga mkono Udhamini wa Kampuni ya...

READ MORE

Kisa Yanga, Simba Wamficha Chama

UONGOZI wa Simba umetamba kuwa mipango yao ya usajili inakwenda vizuri katika dirisha dogo wakipanga kufanya kwa siri huku wakitamka...

READ MORE

Nabi Anataka Kumaliza Mwaka Kwa Kishindo

KOCHA Mkuu wa Yanga, Nasreddine Nabi amefichua kuwa anataka kuona timu yake inashinda mechi tatu za ligi ambazo ni sawa...

READ MORE

Gazeti la Spoti Xtra Latimiza Miaka Minne

Desemba 17, 2017, Gazeti la Spoti Xtra liliingia mtaani kwa mara ya kwanza. Tangu hapo, hadi leo Desemba 17, 2021,...

READ MORE

Simba Yatua Kwa Mzambia Samuel Sikaonga

KIUNGO mkata umeme wa Zesco ya nchini Zambia, Samuel Sikaonga, ameweka wazi kuwa mabingwawatetezi wa Ligi Kuu Bara, Klabu ya...

READ MORE

Mkenya wa Kagera Yuko Siriazi na Simba

KOCHA Mkuu wa Kagera Sugar, Mkenya Francis Baraza ameweka wazi kuwa wameanza maandalizi ya mechi yao na Simba itakayopigwa Jumamosi...

READ MORE

Simba Wazindua Kampeni Ya Ujenzi wa Uwanja Bunju – Video

UONGOZI wa Klabu ya Simba leo Desemba 17,2021 umezindua kampeni maalumu kwa ajili ya mashabiki,wanachama na wadau kuweza kuchanga fedha...

READ MORE

Agüero Kujengewa Sanamu Man City

Manchester City itazindua sanamu ya Sergio Leonel Agüero del Castillo, maarufu kama Kun Agüero nje ya Uwanja wa Etihad mwaka...

READ MORE

Simba Iko Siriazi na Jambo Lake, Kampeni ya Uwanja Yazinduliwa – Video

KLABU ys Simba imezindua rasmi Kampeni ya uchangiaji fedha ili kujenga uwanga wake ambao utagarimu zaidi ya Sh bilioni 30....

READ MORE

Nabi Amchimba Mkwara Makambo

KOCHA Mkuu wa Yanga, Nasreddine Nabi amewaonya wachezaji wa timu hiyo akiwemo mshambuliaji wake, Heritier Makambo kwa kumwambia kuwa asifikirie...

READ MORE

Nabi Aapa: Hatuachi Kitu Msimu Huu

KOCHA Mkuu wa Yanga, Nasreddine Nabi, amesema hakuna mchezaji yoyote ambaye ni ‘staa’ ndani ya timu hiyo na aliamua kupanga...

READ MORE

Mugalu Amshusha Presha Kocha Pablo

HATIMAYE Kocha Mkuu wa Simba raia wa Hispania, Pablo Franco ameshusha presha yake baada ya straika wake Mkongo, Chris Mugalu...

READ MORE

Al Ahly Yavunja Mkataba na Ajayi

MABINGWA wa Afrika wenye historia kubwa katika Soka Barani humo, Al Ahly Sc ya Misri imevunja rasmi mkataba na kiungo...

READ MORE

Timu Mbalimbali Kuendelea Kutifuana Wikiendi Hii, Nani Ni Nani?

Bundesliga, Serie A na EPL kunogesha wikiendi yako. Wakati baadhi ya vilabu vya EPL vikihaha na maambukizi ya Omicron Variant,...

READ MORE

Curry Aweka Rekodi NBA

STAA wa Golden State Warriors, Stephen Curry, ameweka rekodi ya kuwa mchezaji wa kwanza mwenye 3-pointi nyingi ndani ya NBA....

READ MORE

Mayele, Kibwana Majeruhi Yanga

BEKI kisiki wa Wananchi, Kibwana Shomari na straika namba moja wa timu hiyo, Fiston Mayele ni miongoni mwa nyota wanne...

READ MORE

Klopp: Pengo la Salah, Mane Halizibiki

MENEJA wa Liverpool Jurgen Klopp hana mpango wa kutafuta suluhu za dirisha la uhamisho la wachezaji Mohamed Salah, Sadio Mane...

READ MORE

Guardiola Amfananisha Aguero na Messi, Maradona

Meneja wa Manchester City Pep Guardiola amemlinganisha Sergio Aguero na wababe wa Argentina Diego Maradona na Lionel Messi baada ya...

READ MORE

Xavi Amtaka Pogba Barcelona

KOCHA wa Barcelona Xavi amefunga mlango wa kutaka kumnunua nyota wa Manchester United Paul Pogba kwa sababu Mfaransa huyo hafanani...

READ MORE

Mastaa Simba Wawekewa 70Mil Kombe la FA

UONGOZI wa Simba SC, umewatengeawachezaji wa timu hiyo bonasi ya Sh 70Mil kwa kila ushindi kwenyemichuano ya Kombe la Shirikisho...

READ MORE

Chama Atajwa Tena Yanga

MWENYEKITI wa Kamati ya Mashindano na Mjumbe wa Kamati ya Utendaji ya Young Africans, Rodgers Gumbo amesema klabu hiyo ina...

READ MORE

Aguero Atangaza Kustaafu Soka, Amwaga Machozi -Video

 MSHAMBULIAJI wa Barcelona, Sergio Aguero mwenye miaka 33 ametangaza kustaafu soka kwa wakati huu kutokana na tatizo la moyo na...

READ MORE

Idd Nado Nje Miezi Sita

Daktari wa klabu ya Azam, Mwanandi Mwankemwa, amethibitisha kuwa kiungo mshambuliaji wa klabu hiyo Idd Seleman ‘Nado’, atakuwa nje ya...

READ MORE

Nabi Akabidhiwa Faili la Chama Yanga

UONGOZI wa Klabu ya Yanga umeweka wazi kuwa uko tayari kumshusha kikosini hapo kiungo mshambuliaji wazamani wa Simba raia wa...

READ MORE

Simba Wakutana Fasta Kujadili Bil 2 za Mo

  UONGOZI wa juu wa Klabu ya Simba umepanga kukutana ndani ya siku mbili hizi ili kujadili na kupanga wapi...

READ MORE

Panga Lawapitia Watano Simba

SIMBA huenda ikaachana na wachezaji watano mwishoni mwa msimu huu mara baada ya mikataba yao kumalizika,kati ya hao yupo beki...

READ MORE

Kirusi Kipya Chasogeza Mbele Mechi ya Man U na Brentford

KLABU ya Manchester United imeomba Ligi Kuu ya Uingereza kuahirisha mchezo wa leo dhidi ya Brentford baada ya kulazimika kusitisha...

READ MORE

Utovu wa Nidhamu, Aubameyang Avuliwa Unahodha Arsenal

KLABU YA ARSENAL imemvua unahodha Pierre-Emerick Aubameyang na hatacheza kwenye mechi ya Ligi Kuu ya Uingereza dhidi ya West Ham...

READ MORE

Bundesliga Na Epl Kuendelea Wiki Hii, Jamvi Lako Linaushindi?

Baadhi ya ligi kuendelea wiki hii. Bundesliga na EPL ndio kumenoga zaidi. Miamba kadhaa kushuka viwanjani kuchuana ndani ya dakika...

READ MORE

Mchongo Upo Ndani Ya Wild Icy Fruits

Reels zinazozidisha ushindi mara 2.000! Wild Icy Fruits ni mchezo rahisi unaopatikana kwenye sloti ya mtandaoni, una reels 5, safu...

READ MORE

Kocha Azam Alia Kumkosa Nado

KOCHA msaidizi wa klabu ya Azam, Vivier Bahati ameweka wazi kuwa miongoni mwa changamoto kubwa ambayo kikosi chao kinapitia kwa...

READ MORE

Yanga Yaingia Chimbo Kutafuta Straika Mpya

UONGOZI wa Yanga umeweka wazi kuwa kwa sasa upo kwenye hesabu za kumsaka mbadala wa mshambuliaji wao Yacouba Songne ambaye...

READ MORE

Breaking: Lwandamia Atimuliwa Azam FC

Uongozi wa klabu ya Azam FC umesitisha mkataba wa Kocha kutoka nchini Zambia George Lwandamina na Msaidizi wake kutoka Burundi...

READ MORE