×

Michezo

Banda Atimkia Saudi Arabia

STAA wa Simba, Peter Banda ameitwa kwenye kikosi cha timu ya Taifa ya Malawi ‘The Flames’ kuelekea Afcon 2021 huko...

READ MORE

Yanga SC: Sure Boy Sio wa Majaribio

UONGOZI wa Klabu ya Yanga umetamba kuwa usajili wa dirisha dogo ambao wanaendelea kuufanya sio wa wachezaji wa majaribio, bali...

READ MORE

Kigogo Simba: Kibu Denis Anaenda Kucheza Ulaya

UWEZO mkubwa aliouonyesha straika wa Simba, Kibu Denis na kufanikiwa kufunga mabao mawili dhidi ya KMC, umemuibua Mjumbe wa Bodi...

READ MORE

Kiungo mpya Yanga akomba Mil 158

IMEFAHAMIKA kuwa Yanga imetumia kitita cha Sh 50Mil kwa ajili ya kununua mkataba wa kiungo mshambuliaji wa Biashara United, Denis...

READ MORE

Huyu Hapa Kuamua Hatima ya Lwanga Simba SC

KIUNGO mkabaji wa Simba raia wa Uganda, Thadeo Lwanga, hatima yake ya kuendelea kubakia katika timu ipo mikononi mwa madaktari....

READ MORE

Simba Kutua Zanzibar Januari 4

MABINGWA watetezi wa Ligi Kuu Bara, Simba wanatarajia kushuka visiwani hapa Januari 4 kwa ajili ya kuanza kushiriki michuano ya...

READ MORE

KMC hawana bahati na mechi zao za vigogo

KLABU ya KMC kwa msimu wa 2021/22 kwenye mechi zao mbili za vigogo ndani ya ligi hawajawa na bahati ya...

READ MORE

Metacha Achomolewa Yanga, Mshery Atajwa

MABOSI wa Yanga wameliondoa jina la kipa wa zamani wa timu hiyo, ambaye hivi sasa anakipiga Polisi Tanzania inayoshiriki Ligi...

READ MORE

Ruvu Nao Wataka kujipigia KMC

TIMU ya Ruvu Shooting ya Pwani imetamba kuishushia kipigo kikali wapinzani wao KMC watakayokutana nayo kesho Jumanne katika mechi ya...

READ MORE

Yanga hii weka mbali na watoto Yanga

YANGA imetoa zawadi nzuri ya Krismasi kwa mashabiki wake baada ya kutoka nyuma na kuifunga Biashara United mabao 2-1 katika...

READ MORE

Hatma ya Sakho, Wawa leo Simba SC

HATMA ya kiungo mshambuliaji, Ousmane Sakho na beki Pascal Wawa na wenzao watatu itajulikana leo, ya kuendelea au kubakia kukipiga...

READ MORE

Nahodha Biashara: Nkane Anaenda Yanga

NAHODHA wa kikosi cha Biashara United, Abdulmajid Mangalo ameweka wazi kuwa anamtakia kila la kheri winga wa kikosi hicho, Denis...

READ MORE

Pablo Atenga Saa 120 Kuimaliza Azam

BAADA ya kuwa na mapumziko mafupi ya siku moja na nusu, Kocha Mkuu wa Simba, Pablo Franco ameweka wazi kuwa...

READ MORE

Azam FC Waipigia Tizi Simba Usiku

OFISA Habari wa Azam FC, Thabiti Zakaria amefunguka na kuelezea maandalizi yao ya kuwamaliza Simba kwenye mchezo wao wa Ligi...

READ MORE

Sure Boy Apewa Jezi ya Majanga Yanga

KIUNGO Mshambuliaji, Salum Abubakar Salum ‘Sure Boy’ tayari ametambulishwa kuwa mchezaji wa Yanga baada ya hivi karibuni kuomba kuvunja mkataba...

READ MORE

Nabi Ataja Ugumu Kusepa na Taji la Simba

NASREDDINE Nabi, Kocha Mkuu wa Yanga amesema kuwa ugumu uliopo kwa timu hiyo kusepa na taji la Ligi Kuu Bara...

READ MORE

Kauli ya Wawa Baada ya Kutokea Sintofahamu na Kocha Wake

PASCAL Wawa, beki wa kati wa Simba, ameweka wazi kuwa hakuna tofauti kati yake na Kocha Mkuu wa timu hiyo...

READ MORE

Kwa Mara ya Kwanza, Sure Boy Awasalimia Wananchi – Video

Salum Abubakar ‘Sure Boy’ kwa mara ya kwanza akiwasalimia wana-Yanga kwa Mkapa. Nyota huyo amejiunga na Yanga akitokea Azam FC.

READ MORE

🔴#LIVE: Kiungo Mpya Yanga Achota Mil 158, Banda Atimkia Uarabuni | Krosi Dongo

KARIBU katika ‘KROSI DONGO’ upate stori za kuaminika za michezo ndani na nje ya nchi.. 

READ MORE

Jeraha Lamaliza Pambano la Kidunda

JERAHA alilolipata bondia Selemani Kidunda katika raundi ya tatu limesababisha kumalizwa bila mshindi (kwa sare) katika pambano la kusaka ubingwa...

READ MORE

Sure Boy Achota Mil 80 Yanga

USAJILI mpya wa kiungo mshambuliaji wa Yanga anayetoka Azam FC, Salum Aboubakar ‘Sure Boy’ umeigharimu Yanga jumla ya Sh Mil...

READ MORE

Mbeya Kwanza Wakubali Kuwapa Yanga Straika

WAKATI kukiwepo na tetesi za Yanga kumuhitaji straika Chrispin Ngushi, mabosi wa straika huyo Mbeya Kwanza wameibuka na kubainisha kuwa...

READ MORE

Hivi Ndivyo Dili la Makusu, Yanga Lilipofika

HATIMAYE dili la mshambuliaji Jean Marc Makusu kutua Yanga limeingiwa na doa mara baada ya uongozi wa timu hiyo kugundua...

READ MORE

Kocha Simba Amaliza Kila Kitu

KAZI imeanza huko Simba SC. Ndivyo unavyoweza kusema kufuatia kocha mkuu wa timu hiyo, Pablo Franco kukabidhi rasmi ripoti ya...

READ MORE

Beki Kisiki Mikononi Mwa Yanga

IMEFICHUKA kuwa, uongozi wa Klabu ya Yanga umeingilia dili la kumnasa nahodha wa Biashara United, Abulmajid Mangalo ambaye amekuwa akiwindwa...

READ MORE

Mayele, Fei Toto Wawatisha Biashara United

MASTAA wa Yanga wameweka wazi kuwa watakachowafanyia Biashara United ni kuchukua pointi zao tatu kwa ajili ya kujiweka katika nafasi...

READ MORE

Barbara: Simba Tupo Imara, Wachezaji Wanajituma

  MTENDAJI Mkuu wa Simba, Barbara Gonzalez ameweka wazi kuwa Simba ipo imara na hesabu kubwani kutimiza malengo waliyojiwekea kutokana...

READ MORE

Mashine Mpya Yaahidi Mabao Yanga

JEMBE jipya la Yanga, Chico Ushindi amefunguka kuhitaji kutengeneza nafasi nyingi za mabao ambazo pindi atakapoanza kuitumikia rasmi Yanga ambazo...

READ MORE

Kiungo Mbrazil Kukabidhiwa Mikoba ya Lwanga Simba

IMEBAINIKA kuwa mabosi wa Simba wapo katika harakati za kumrudisha kiungo mkabaji Gerson Fraga raia waBrazil kwa ajili ya kuziba...

READ MORE

Burudani Ya Soka Kuendelea Kipindi Hiki Cha Sikukuu!

Kwa wapenzi wa soka, burudani ndio kwanza inaanza, sikukuu inanoga zaidi ukiwa unautizama mkeka wako unavyokuletea faida ndani ya dakika...

READ MORE

Mchezaji Tajiri Zaidi Asaka Timu

Mchezaji wa zamani wa timu za vijana za Chelsea na Leicester City, Faiq Balkiah (23) anayejulikana zaidi kama Mwanasoka tajiri...

READ MORE

Vieira: AFCON Inastahili Heshima Zaidi

Meneja wa klabu ya Crystal Palace, Patrick Vieira amesema kuwa michuano ya AFCON inastahili heshima zaidi. Vieira anategemea kupoteza wachezaji...

READ MORE

Metacha Ampiga Chini Meneja Wake, Ahusishwa Kurejea Yanga

Golikipa namba moja wa Timu ya Polisi Tanzania, Metacha Mnata amevunja mkataba na aliekuwa meneja wake Jemedari Said.   Tamko...

READ MORE

Raila Odinga ‘Father Christmas’

Kiongozi wa Chama cha Orange Democratic Movementi ‘ODM‘ nchini Kenya, Raila Odinga amesheherekea sikukuu ya Christmas kwa kutoa misaada mbalimbali...

READ MORE

Vigogo Simba Waifanyia Umafia Yanga Kwa Chama

VIGOGO wa Kamati ya Usajili ya Simba, chini ya Mtendaji Mkuu (C.E.O.) wa timu hiyo, Barbara Gonzalez, wameona isiwe shida...

READ MORE

Rasmi: Sure Boy Mali ya Wananchi

Kiungo Salum Abubakar “Sure Boy” anmetambulishwa rasmi ndani ya Kikosi cha Yanga baada ya uvumi wa wiki kadhaa kuwa anakwenda...

READ MORE

Simba Yaipiga 4-1 KMC, Tabora

SIMBA watakula sikukuu ya Christmas wakiwa na pointi zao tatu kibindoni baada ya ushindi wa mabao 4-1 dhidi ya KMC...

READ MORE

Kapuya Aibukia Uwanjani KMC vs Simba

WAZIRI wa zamani wa Michezo na shabiki wa timu ya Simba, Profesa Juma Kapuya ametinga katika uwanja Ali Hassan Mwinyi...

READ MORE

Yondani Amfuata Nyosso Geita

GUMZO kubwa mjini Geita kwa sasa ni juu ya usajili wa nyota wa zamani wa Yanga na Polisi Tanzania, Kelvin...

READ MORE

Watatu Watimka Azam FC, Yupo Dube

JUMLA ya wachezaji watatu wanatarajiwa kuondoka katika kikosi cha Azam FC kwenda katika timu ya taifaya Zimbabwe kushiriki michuano ya...

READ MORE