×

Michezo

Mwamuzi Amaliza Utata Bao la Yacouba

WAKATI Yanga jana ikilazimishwa suluhu na Namungo katika mchezo wa Ligi Kuu Bara uliochezwa Uwanja wa Majaliwa, Ruangwa mkoani Lindi,...

READ MORE

Mo Dewji Asitisha Kununua Ferrari na Rolls-Royce

BAADA ya kipigo kizito dhidi ya Kaizer Chiefs, Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Simba SC, Mohammed Dewji leo Mei 16,...

READ MORE

Simba Queen Bingwa wa Ligi ya Wanawake

TIMU ya Simba Queens imefanikiwa kutwaa ubingwa wa ligi ya wanawake tanzania Bara baada ya kuibuka na Ushindi wa bao...

READ MORE

Fiston: Sitamani Kubaki Yanga, Naondoka

  MSHAMBULIAJI wa Yanga FC, Fiston Abdoul Razack ameibuka na kusema kuwa hatamani kubaki tena ndani ya kikosi cha timu...

READ MORE

Fiston: Sitamani Kubaki Yanga, Naondoka

MSHAMBULIAJI wa Yanga FC, Fiston Abdoul Razack ameibuka na kusema kuwa hatamani kubaki tena ndani ya kikosi cha timu hiyo...

READ MORE

Simba Wapigwa 4G Ugenini na Kaizer Chiefs

MAMBO mabaya yamewakuta wawakilishi wa nchi katika mchezo wa kwanza wa robo fainali ya Uwanja wa FNB ‘Soccer City’ uliopo...

READ MORE

Yanga Yabanwa Mbavu na Namungo Fc 0-0

TIMU ya Yanga imeshindwa kufurukuta dhidi ya Namungo Fc, kwenye mchezo wa ligi kuu Bara, baada ya kutoka suluhu ya...

READ MORE

Simba: Wasauzi Watakula za Kutosha

IKIWA na kibarua kizito leo katika Uwanja wa FNB ‘Soccer City’ uliopo Johannesburg nchini Afrika Kusini, kwenye mchezo wa kwanza...

READ MORE

Simba Kukipiga na Dhidi ya Kaizer Chiefs Leo

IKIWA na kibarua kizito leo katika Uwanja wa FNB ‘Soccer City’ uliopo Johannesburg nchini Afrika Kusini, kwenye mchezo wa kwanza...

READ MORE

Yanga Kuyakosa Majembe Manne ya Kazi

LUNYAMADZO MLYUKA NA LEEN ESSAU, Dar: NASREDDINE Nabi, Kocha Mkuu wa Yanga raia wa Tunisia leo anatarajia kuwakosa nyota wake wanne...

READ MORE

Haji Manara: Nitakuwa Rais wa Fifa

MKUU wa Idara ya Habari na Mawasiliano wa Klabu ya Simba, Haji Sunday Manara, amesema kuwa kama akiamua anaweza kuwa...

READ MORE

Yanga Kuyakosa Majembe Manne Dhidi ya Namungo Leo

NASREDDINE Nabi, Kocha Mkuu wa Yanga raia wa Tunisia leo anatarajia kuwakosa nyota wake wanne wakati akishuka Uwanja wa Majaliwa...

READ MORE

Lwandamina: Tunaipiga KMC, Tunaishusha Yanga

MANJIRO LYIMO, Dar: KOCHA Mkuu wa Azam, George Lwandamina, amesema kuwa kuelekea kwenye mchezo wa leo dhidi ya KMC FC,...

READ MORE

Guardiola Atuma Ujumbe Arsenal Fc

PEP Guardiola anaamini kuwa kocha wa Arsenal, Mikel Arteta ataimarika na kuwa bora na kikosi chake msimu ujao. Arteta kabla...

READ MORE

Asukile Njia Panda

  BAADA ya kufungiwa kucheza mechi tano na faini ya shilingi 500,000 kutoka kwa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) kwa...

READ MORE

Kante Nje Fainali ya FA

WAKATI Fainali ya Kombe la FA ikitarajiwa kupigwa leo kati ya Chelsea na Leicester City, kiungo wa Chelsea, N’Golo Kante...

READ MORE

Jesse Lingard, Mchezaji Bora EPL

  Winga wa West Ham United Jesse Lingard ameshinda tuzo ya mchezaji bora wa mwezi Aprili wa ligu kuu Egland,...

READ MORE

Baada ya Kufungiwa, Asukile Afunguka

  NAHODHA wa kikosi cha Tanzania Prisons, Benjamin Asukile amefunguka kuwa hana pingamizi na maamuzi ya kamati ya mashindano ya...

READ MORE

Kinachowatesa Carlinhos, Yassin Chatajwa

UONGOZI wa Klabu ya Yanga umefunguka kuwa sababu kubwa ya nyota wao wawili, Carlos Carlinhos na Yassin Mustapha kuendelea kukosekana...

READ MORE

Fainali ya UEFA Kupigwa Ureno

NYON, Uswisi: SHIRIKISHO la Soka la Ulaya (UEFA) limethibitisha kuwa Fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya msimu huu kati ya Chelsea...

READ MORE

Breaking: Zidane Anasepa Tena Madrid

TAARIFA zilizoripotiwa na vy9ombo vya habari vya Hispania zinaeleza kuwa Kocha Mkuu wa Klabu ya Real Madrid, Zinedine Zidane amethibitisha...

READ MORE

Nabi Hataki Sare Yanga, ni Ushindi Tu

  KATIKA kuhakikisha Yanga wanapata ushindi katika mchezo wa kesho Jumamosi dhidi ya Namungo FC, Kocha Mkuu wa Yanga, Nasreddine...

READ MORE

Simba Watamba Tunawapiga Nje, Ndani Kaizer Chiefs

SIMBA inatarajiwa kushuka uwanjani kesho Jumamosi katika mchezo ambao inawezekana ukawa ni mwendelezo wa timu hiyo kuandika historia ya kipekee...

READ MORE

Msuva Ajipa Matumaini Kibao CAF

MSHAMBULIAJIwa kimataifa wa Tanzania anayekipiga katika kikosai cha Wydad Casablanca cha Morroco, Simon Msuva amesema kuwa watafanya kila namna kuhakikisha...

READ MORE

Yanga: Namungo Wagumu Ila Watafia Kwao

BEKI wa kati wa Yanga, Dickson Job, amesema kuwa wana uhakika watapata ushindi mnono dhidi ya Namungo FC kwenye mchezo...

READ MORE

Kocha Ajiondoa Man Utd Kisa Vifaa Vibovu

KUKOSEKANA kwa vifaa muhimu kwa ajili ya mazoezi kumetajwa kuwa chanzo cha Casey Stoney kuamua kujiondoa katika majukumu ya kuinoa...

READ MORE

Marcelo Azinguana na Zidane, Atolewa Kikosini

MSUGUANO unadaiwa kuwa ni moja ya sababu ya beki wa kushoto Marcelo kuondolewa katika kikosi cha Real Madrid kilichotarajiwa kucheza...

READ MORE

Aussems: Ubora Utaibeba Simba Kwa Kaizer

KOCHA wa zamani wa Simba, Mbelgiji, Patrick Aussems, amefunguka kuwa ubora wa timu hiyo kwa sasa umekuwa mkubwa kutokana na...

READ MORE

McGregor Kinara kwa Mkwanja

Licha ya uwepo wa janga la Virusi Corona ambalo bado limeendelea kuathiri shughuli za michezo mingi duniani kote kwa kukosa...

READ MORE

Rasmi: AJ na Fury Kuzichapa Agosti 14

Sasa ni rasmi pambano la ngumi kati ya mabondia wawili waingereza Anthony Joshua na Tyson Fury litafanyika Agosti 14 mwaka...

READ MORE

Guardiola: Klopp Amenifanya Nizidi Kuwa Kocha Bora

KOCHA wa Manchester City, Pep Guardiola amesema kocha wa Liverpool Jorgen Klopp amemfanya azidi kuwa kocha bora kutokana na changamoto...

READ MORE

Simba Yanasa Siri za Kaizer

JANA Jumatano, Kaizer Chiefs ilitarajiwa kucheza mechi ya Ligi Kuu ya Afrika Kusini dhidi ya Moroka Swallows, ambapo Simba walipanga...

READ MORE

Nabi Ashikilia Hatma ya Fiston, Shikhalo Yanga

WAKATI baadhi ya mastaa wa kikosi cha Yanga wakitarajiwa kumaliza mikataba yao mwishoni mwa msimu huu, uongozi wa Yanga umesema...

READ MORE

Lwanga, Luis Wachukua Nafasi za Wazawa Simba

IMEELEZWA kuwa, maisha ya nyota wazawa wawili Miraj Athuman ambaye ni kiungo mshambuliaji na Said Ndemla ambaye ni kiungo mkabaji...

READ MORE

Niyonzima Aomba Kuondoka Yanga

TAARIFA zinaeleza kwamba, Kiungo Mshambuliaji wa Yanga, Haruna Niyonzima raia wa Rwanda, hajasafiri na kikosi hicho kuelekea Lindi kucheza na...

READ MORE

Chama: Wasauz Wanakufa Kwao

KIUNGO mshambuliaji wa Simba, Mzambia, Clatous Chama ameweka wazi kuwa wamejipanga vizuri kwa kuhakikisha wanapata matokeo ya ushindi ugenini katika...

READ MORE

Yanga Yamwacha Carlinhos Dar Wakitua Mtwara

WAKATI kikosi cha Yanga kikitarajia kuondoka leo kuelekea Mtwara kumenyana na Namungo, timu hiyo itawakosa wachezaji wawili ambao ni Carlos...

READ MORE

Yanga Yaipa Simba Faida 5 Kuiua Kaizer Chiefs

LICHA ya kwamba mabosi wa Simba wanalalamika kutocheza na Yanga kwenye mechi ya Dabi ya Kariakoo lakini uchunguzi wa Championi...

READ MORE

Hoteli Waliyofikia Simba ni Jiwe Haswa

TAYARI mabingwa wa Tanzania, timu ya Simba wameshawasili nchini Afrika Kusini kwa ajili ya kuiwakilisha nchi kwenye mashindano ya Ligi...

READ MORE