×

Michezo

Msolla Afungukia Mwambusi Kuondoka Yanga

MWENYEKITI wa Klabu ya Yanga, Dk Mshindo Msolla, amefungukia sababu ya aliyekuwa kocha msaidizi wa timu hiyo, Juma Mwambusi kujiweka...

READ MORE

Rooney: United Itatwaa Ubingwa EPL

  MSHAMBULIAJI wa zamani wa Manchester United, Wayne Rooney, amesema anategemea Mashetani Wekundu (Manchester United) watatwaa ubingwa wa ligi kuu...

READ MORE

Waziri: Yanga Ubingwa Bila Kufungwa Inawezekana

MSHAMBULIAJI wa Klabu ya Yanga, Waziri Junior, amesema kuwa anaamini kuwa upo uwezekano wa kikosi chao kuibuka na ubingwa wa...

READ MORE

Bocco, Ame Warejea Taifa Stars, Kazi Ipo Leo

LICHA ya timu ya taifa ya Tanzania (Taifa Stars)  kuanza vibaya kwenye michuano ya CHAN, lakini mkuu wa idara ya...

READ MORE

Dortmund Kuwalaza Njaa Wenyeji Wake? Chagua wa Kushinda Naye!

Mchaka mchaka wa soka unaendelea kuleta burudani kwa wapenzi wa soka, ligi zote zimepamba moto huku mashabiki wakiendelea kutambiana mtaani....

READ MORE

Simba Kumtangaza Kocha Mpya Kesho, Yawaita TP Mazembe, Al Hilal – Video

UONGOZI wa Klabu ya Simba umesema kuwa unakuja na mashindano mapya ya Simba Inter Cup ambayo yatashirikisha timu tatu ambazo...

READ MORE

Makocha Wawili Wapitishwa Simba

MAJINA mawili yamepitishwa katika kumpata kocha mkuu na kocha wa makipa ndani ya kikosi cha Simba ambacho kwa sasa kinasaka...

READ MORE

Breaking: Mkude Aomba Msamaha Simba, Tazama Video Yake Hapa

KIUNGO mkabaji wa klabu ya Simba, Jonas Mkude leo Januari 21, 2021 amejitokeza rasmi na kuomba radhi kutokana na tuhuma...

READ MORE

Sarpong Abakishwa Kwa Masharti Mazito Yanga

MEFAHAMIKA kwamba, mabosi wa Yanga wamekubaliana kumbakisha mshambuliaji Mghana, Michael Sarpong kwa masharti mazito yatakayomfanya aendelee kudumu katika kikosi hicho....

READ MORE

Metacha Afichua Jambo Yanga

METACHA Mnata, kipa namba moja ndani ya Yanga, amesema kilicho nyuma ya mafanikio yake ndani ya kikosi hicho ikiwa ni...

READ MORE

Kahata Anusurika Panga Simba, Lampitia Morrison

UPO uwezekano mkubwa wa kiungo mshambuliaji raia wa Kenya, Francis Kahata kuendelea kubaki Simba, huku Mghana, Bernard Morrison akitajwa kutemwa...

READ MORE

Kombinesheni ya Samatta, Ozil Tabu Tupu Uturuki!

HABARI njema kwa mashabiki wa Fenerbahce ya Uturuki na wafuasi wa nahodha wa Taifa Stars, ni Mbwana Samatta ‘Samagoal’kutua kwenye...

READ MORE

Kipigo cha Stars, Makocha wa Vilabu Lawamani

KUFUATIA kipigo cha mabao 2-0 walichokipa timu ya taifa ya Tanzania (Taifa Stars) kwenye michuano ya CHAN kundi D dhidi...

READ MORE

Kocha Mwambusi Ajiondoa Yanga

JUMA MWAMBUSI ameomba kukaa kando kwa sasa ndani ya kikosi cha Yanga kwenye majukumu ya kuwa kocha msaidizi.   Hatua...

READ MORE

Ligi Kuu Kurejea Februari 13, 2021

Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB) imetangaza kwamba mbilinge za VPL mzunguko wa 19, zitarejea dimbani Februari 13, 2021, huku...

READ MORE

Yanga Wazindua Kalenda Yao Ya Mwaka 2021

KLABU ya soka ya Yanga imezindua rasmi kalenda yake ya mwaka 2021. Taarifa rasmi ya Yanga imeeleza: “Kalenda ya timu...

READ MORE

Michael Sarpong Atimkia China

MSHAMBULIAJI wa Yanga, Mghana, Michael Sarpong ameondoka nchini kimyakimya kwenda kushughulikia matatizo ya familia yake nchini baada ya wachezaji wa...

READ MORE

Fiston Apigwa Mkwara Mzito…

KOCHA Mkuu wa Yanga, Cedric Kaze ameonyesha hataki mchezo ndani ya kikosi hicho kufuatia kuwataka nyota wote wa kikosi hicho...

READ MORE

Mkude Aandaliwa Faini Simba, Kurudishwa Kikosini

IMEELEZWA kuwa, kiungo wa Simba, Jonas Mkude anatarajia kupigwa faini na uongozi wa timu hiyo kutokana na kosa la kinidhamu...

READ MORE

Carlinhos Arejeshwa Yanga, Kuanza Mazoezi

KOCHA Mkuu wa Yanga, Cedric Kaze, amesema kuwa kiungo wa timu hiyo, Carlos Sténio Carlinhos anatarajia kurejea kikosini kuungana na...

READ MORE

Stars Yapambana Yachapwa 2-0 na Zambia CHAN

   HUKU Taifa Stars ikianza na wachezaji wengi ambao hawana uzoefu kwenye michuano ya kimataifa, jana ilichapwa mabao 2-0 na Zambia....

READ MORE

Fiston Awapoteza Chama, Luis Bongo

LICHA ya kwamba mtambo mpya wa mabao wa Yanga, Fiston Abdoul Razak bado haujaja Bongo kwa ajili ya kuanza majukumu...

READ MORE

Yanga Yafungukia Ishu ya Kuachana na Sarpong

UONGOZI wa Yanga, umesema kuwa bado haujaachana na mshambuliaji wao, Michael Sarpong ambaye kwa sasa ameelekea nchini China kwa ajili...

READ MORE

Taifa Stars yaivaa Zambia Kwa Tahadhari -Kikosi Kipo Hapa

TIMU ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars, leo Jumanne 19, 2021 itaikabili Zambia katika mchezo wa kwanza wa michuano ya...

READ MORE

Chikwende: Chama, Luis Wamenivuta Simba

KIUNGO mshambuliaji mpya wa Klabu ya Simba, Perfect Tatenda Chikwende amefunguka kuwa sababu kubwa iliyomfanya atue ndani ya kikosi cha...

READ MORE

Hersi Athibitisha Kuwakabidhi Mil 300 Nyota Yanga

Ni rasmi sasa ile zawadi ya Sh milioni 300 ambayo mabosi wa Yanga waliwaahidi wachezaji na benchi la ufundi la...

READ MORE

Leicester City Kukiwasha na Chelsea Leo

Ligi Soka nchini Uingereza itaendelea tena leo usiku. Baada ya London Derby, tunakutana tena kwenye wiki ya 19 – Leicester...

READ MORE

Yanga Yatamba Ubingwa Ligi Kuu, Simba Kimataifa!

DIRISHA la usajili lilifungwa rasmi Ijumaa usiku na kushuhudia timu za Simba na Yanga zikishusha wachezaji wapya na kuwatambulisha ikiwa...

READ MORE

Nyota Watatu Watemwa Simba

UONGOZI wa Simba umeamua kuachana na mpango wa kuwasajili nyota watatu waliokuwa wakifanya majaribio na timu hiyo kwenye michuano ya...

READ MORE

Video: Kocha Matola Azungumzia Sakata La Morrison, Usajili

 KOCHA Msaidizi wa Simba FC, Selemani Matola amefichua mkasa wa Mghana, Bernard Morrison kufuatia madai ya kiungo huyo kusumbuliwa...

READ MORE

Mshahara wa Chikwende Kufuru Simba

UNAWEZA kusema ni kufuru mara baada ya uongozi wa Simba kukubali kumpa staa mpya wa timu hiyo, Perfect Chikwende mshahara...

READ MORE

Sarpong Asepa Kwao Kimyakimya

MSHAMBULIAJI wa Yanga, Mghana, Michael Sarpong ameondoka nchini kimyakimya kwenda kushughulikia matatizo ya familia yake nchini baada ya wachezaji wa...

READ MORE

Mastaa Yanga Waoga Mil 300

BAADA ya Yanga kufanikiwa kutwaa ubingwa wa Kombe la Mapinduzi kwa kuifunga Simba kwa mikwaju ya penalti 4-3, imebainika kuwa...

READ MORE

Sven Afunguka Kumvuta Chama Morocco

ALIYEWAHI kuwa Kocha Mkuu wa Simba, Mbelgiji Sven Vandenbroeck amefunguka kuwa hana mpango wa kumsajili mchezaji yeyote kutoka Simba wakiwemo...

READ MORE

Taifa Stars: Tutafanya Kweli Chan

IBRAHIM Ame, beki wa kati wa timu ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars amesema kuwa wanaamini watafanya kweli kwenye michuano...

READ MORE

Lwandamina Amkataa Muivory Coast Azam

IMETHIBITISHWAkuwa Klabu ya Azam imefikia makubaliano maalum ya kuachana na mshambuliaji wake raia wa Ivory Coast, Richard Djodi kufuatia kocha...

READ MORE

Simba Yaachana na Morrison, Chikwende Atua

INAELEZWA kuwa uongozi wa Simba umepanga kuachana na nyota wa timu hiyo, Mghana, Bernard Morrison kufuatia madai ya kiungo huyo...

READ MORE

Chikwende Akomba Mil 127 Simba Kukamilisha Dili

PERFECT Chikwende tayari amesaini mkataba wa miaka miwili Simba akitokea FC Platinum ya Zimbabwe lakini taarifa ikufikie kuwa jamaa amekomba...

READ MORE

Kocha Mbelgiji: Nipeni Simba Muone Mambo

IVAN Jacky Minnaert raia wa Ubelgiji ni mmoja kati ya makocha waliofanya mazungumzo na uongozi wa Simba kwa ajili ya...

READ MORE