×

Michezo

AS Vita Waitumia Vitisho Simba

BENCHI la ufundi la AS Vita, limeweka wazi kuwa wamefurahia kupangwa tena na Simba katika makundi ya Ligi ya Mabingwa...

READ MORE

Kaze: Yanga Itabeba Kombe la Mapinduzi

KOCHA Mkuu wa Yanga, Cedric Kaze, amesema kuwa ana matumaini makubwa kuwa kikosi chake kitatwaa ubingwa wa Kombe la Mapinduzi...

READ MORE

C.E.O Simba Amtaja Mrithi wa Sven

MTENDAJI Mkuu wa Simba (C.E.O), Barbara Gonzalez, amemtaja kocha atakayekuja kumrithi Sven Vandenbrock ni yule atakayekidhi vigezo ambavyo wameviweka.  ...

READ MORE

Yanga Yamruhusu Wazir Junior Asepe

COASTAL Union ipo kwenye hatua za mwisho za kukamilisha usajili wa mshambuliaji wa Yanga, Waziri Junior kabla ya kufungwa kwa...

READ MORE

Mshahara wa Chama Simba ni Kufuru

KESI imeisha sasa! Ndiyo kauli ambayo unaweza kusema baada ya kiungo mshambuliaji wa Simba, Clatous Chama kuamua kusaini mkataba mpya...

READ MORE

Kocha wa Simba Kuibukia Gwambina Fc

BAADA ya Uongozi wa Gwambina FC kuachana na benchi la ufundi la timu hiyo lililokuwa linaongozwa na Kocha Mkuu, Fulgence...

READ MORE

Huu Hapa Mtambo wa Mabao Ndani ya Yanga

MTAMBO wa mabao ndani ya kikosi cha Yanga kwenye Kombe la Mapinduzi kwa msimu wa 2020 ni Haruna Niyonzima ambaye...

READ MORE

Fainali ya Mapinduzi Cup, Yanga vs Simba

MABINGWA mara tatu wa Kombe la Mapinduzi, Simba, wanatinga hatua ya fainali baada ya kushinda mbele ya Namungo FC kwenye...

READ MORE

FT: Nusu Fainali Mapinduzi Cup: Simba 2-1 Namungo – Video

  FT: Simba 2-1 Namungo Uwanja wa Amaan ngoma imekamilika dakika 90 kwa Simba kushinda kwa mabao 2-1 dhidi ya...

READ MORE

Yanga Yatinga Fainali Mapinduzi, Yaichapa Azam

TIMU ya Yanga imefanikiwa kutinga kwenye Fainali ya Kombe la Mapinduzi 2021, baada ya kuichapa Azam FC kwa mikwaju ya...

READ MORE

FT: Nusu Fainali Mapinduzi Cup, Yanga 1-1 Azam Fc (P 5-4)

  YANGA inatinga hatua ya fainali ya Kombe la Mapinduzi kwa ushindi wa penalti 5-4. Yanga itakutana na mshindi wa...

READ MORE

Ibenge Mguu Mmoja Simba

SI mara kwanza jina la Jean-Florent Ibengé kutajwa kwenye soka la Tanzania, safari hii anahusishwa kuinoa Simba baada ya kuondoka...

READ MORE

Serikali: Tuwe Wazalendo, Tuisapoti Stars

WAZIRI wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Innocent Bashungwa, amewataka Watanzania wote kuwa wazalendo na kutoa sapoti ya kutosha kwa...

READ MORE

Milioni 50 Zashusha Beki Yanga

KIASI cha shilingi milioni 50, ndicho kinachotajwa kuwa thamani ya beki wa kati wa Polisi Tanzania, Iddy Mobby ambaye ameonesha...

READ MORE

Kiungo Platinum: Nakuja Simba SC

NOMORE Chinyerere kiungo kiraka wa FC Platinum ya Zimbabwe amesema kuwa yuko tayari kuja kucheza Simba ambayo inaelezwa imemuwekea dau...

READ MORE

Chama Aongeza Mkataba Mpya Simba – Picha

Kiungo wa Simba, Clatous Chama ameongeza mkataba wa kuendelea kubaki Msimbazi na kumaliza kabisa tetesi zilizokuwa zikienea kwamba huenda akaondoka...

READ MORE

Kocha wa Makombe Anakuja Simba

BAADA ya uongozi wa Simba kutangaza kuachana na aliyekuwa kocha mkuu wa timu hiyo Mbelgiji Sven Vandenbroeck, imebainika kuwa uongozi...

READ MORE

Inter Milan Kuwavaa AS Roma Jumapili Hii!

Ligi Soka nchini Italia – Serie A kutupa burudani safi Jumapili hii. Inter Milan vs AS Roma sio mchezo wa...

READ MORE

Breaking: Kocha wa Simba Asaini FAR Rabat ya Morocco

Aliyekuwa Kocha wa Simba, Sven Vandenbroeck atambulishwa rasmi FAR Rabat ya Morocco siku mbili baada ya kuacha kazi kwenye nafasi...

READ MORE

Klopp Awataka Mastaa Wake Wapambane..

KOCHA wa Liverpool, Jurgen Klopp, amewataka wachezaji wake wapambane dhidi ya dunia huku akisisitiza kwamba timu yake kuwa chini ya...

READ MORE

Sarpong Anaondoka Yanga

UPO uwezekano mkubwa wa mshambuliaji wa kimataifa wa Yanga Mghana Michael Sarpong kuondoka kati ya mwanzoni au mwisho mwa msimu...

READ MORE

Man United Yasajili Mashine Mpya

WINGA mpya wa Manchester United, Amad Diallo, amewatumia ujumbe wa hisia kali mashabiki wa timu yake ya zamani, Atalanta, kufuatia...

READ MORE

Yanga Yatangulia Nusu Fainali Mapinduzi

YANGA imetinga nusu fainali ya Kombe la Mapinduzi baada ya kuifunga Namungo FC bao 1-0, mchezo uliochezwa jana Januari 8,...

READ MORE

Sven Aanika Alivyovutana na Mo Dewji, CEO Barbara Simba Sc

IKIWA ni takribani saa 24 tangu aliyekuwa Kocha Mkuu wa Klabu ya Simba, Sven Vandenbroeck kuondoka ndani ya klabu hiyo...

READ MORE

Breaking: Kaze Ampoteza Sven wa Simba

KOCHA Mkuu wa Yanga, Cedric Kaze amechaguliwa kuwa Kocha Bora wa mwezi Desemba wa Ligi Kuu ya Vodacom (VPL) msimu...

READ MORE

Breaking: Ntibanzokiza Ampoteza Chama Bongo

  MSHAMBULIAJI wa Klabu ya Yanga, Saido Ntibazonkiza amechaguliwa kuwa Mchezaji Bora wa mwezi Desemba wa Ligi Kuu ya Vodacom...

READ MORE

Namungo Yatupwa Angola Kombe la Shirikisho

TIMU  ya Namungo FC ya Lindi nchini Tanzania imepangwa kucheza na Clube Desportivo 1º de Agosto hatua ya mtoano Kombe...

READ MORE

DStv Yaikabidhi Jezi Global FC, Kucheza Januari 31

UONGOZI wa DStv Tanzania leo Januari 8, 2021,   umeikabidhi timu ya Global FC jezi za nyumbani na ugenini kwa ajili...

READ MORE

Klabu Bingwa: Simba Yapangwa Kundi la Kifo

  KLABU Simba ya Tanzania, leo Januari 8, 2021, katika droo ya makundi Ligi ya Mabingwa Afrika imepeagwa ikipangwa kundi...

READ MORE

Kaze Abadili Gia Angani Yanga, Kukipiga na Namungo Leo

BAADA ya kutoka suluhu dhidi ya Jamhuri FC, Kocha Mkuu wa Yanga, Mrundi Cedric Kaze amepanga kukifanyia maboresho kikosi chake...

READ MORE

Mwamnyeto Apata Pigo Kubwa

NAHODHA msaidizi na beki wa Timu ya Yanga na Timu ya Taifa ya Tanzania, Bakari Nondo Mwamnyeto amepata pigo kubwa...

READ MORE

Chuchu, Ray Ndo Basi Tena!

MSANII wa filamu za Kibongo, Chuchu Hans amesema kuzaa na msanii mwenzake Vincent Kigosi ‘Ray’ isiwe tabu na kuanza kumjulisha...

READ MORE

Orodha Ya Makocha 10 Waliobwaga Manyanga Bongo

MAKOCHA 10 wameishia njiani ndani ya Ligi Kuu Bara mpaka sasa kutokana na sababu mbalimbali kwa msimu wa 2020/21. Hawa...

READ MORE

Simba Kuangukia Kwa Wababe Hawa Leo Alasiri!

KLABU ya Simba inasubiri droo itakayopangwa  leo Januari 8, 2021, Cairo, Egypt saa tisa alasiri! kujua wapinzania wao baada ya...

READ MORE

Breaking: Kocha wa Simba Abwaga Manyanga

UONGOZI  wa Klabu ya Simba umetangaza rasmi kuachana na kocha wake mkuu, Sven Vandenbroeck,  kwa makubaliano ya pande mbili. Nafasi...

READ MORE

Glovu Za Manula Zawaingiza Vitani Metacha Na Mgore

KIPA namba moja wa Simba, Aishi Manula ambaye ni kipa bora kwa msimu wa 2019/20, msimu huu wa 2020/21 amewaingiza...

READ MORE

Yondani Ampa Jeuri Kocha Polisi TZ

KOCHA Mkuu wa Polisi Tanzania, Malale Hamsini, amesema uwepo wa beki mkongwe, Kelvin Yondani kwenye kikosi chake, umeongeza umakini kwenye...

READ MORE

Penati ya Simba Ilivyozua Utata FC Platinum – Video

  Katikati ya mechi ya SIMBA SC vs FC PLATINUM, kumeibuka utata uliosababisha mechi kusimama kwa zaidi ya dakika tatu,...

READ MORE

Mechi ya Simba: Championi, Spoti Xtra Yawalipia Tiketi Wasomaji Wake

  TIMU ya Masoko ya Kampuni ya Global Publishers kupitia magazeti yake ya michezo ya Championi na Spoti Xtra jana...

READ MORE

Carlinhos Apata Majanga, Arudishwa Dar

KIUNGO wa Yanga, Carlos Fernandes ‘Carlinhos’ amepata majanga akiwa na kikosi cha timu hiyo visiwani Zanzibar ambapo jana alirudishwa jijini...

READ MORE