×

Michezo

Taifa Stars Kukiwasha na Tunisia Novemba 13

Timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars), itavaana na Tunisia Novemba 13, 2020, kwenye mechi ya kufuzu AFCON, kundi “J”...

READ MORE

Kuelekea Muendelezo wa UEFA Nations League

Hispania Kupimana Nguvu na Ureno! Katika mchezo wa kirafiki, Hispania watawakaribisha Ureno ukiwa ni mchezo wa kupimana nguvu kuelekea Muendelezo...

READ MORE

Breaking: Mechi Ya Yanga V Simba Yapelekwa Mbele

BODI ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB)leo Oktoba 7, 2020 imefanya mabadiliko katika mchezo Na. 61 wa Ligi Kuu ya Vodacom...

READ MORE

Cioaba Atambulisha Mfumo Mpya Azam

KOCHA mkuu wa klabu ya Azam, Aristica Cioaba, amezikalia kooni klabu za Simba na Yanga katika vita ya kusaka ubingwa...

READ MORE

Dkt. Abbas Azindua Jezi Mpya Timu ya Taifa -Video

KATIBU Mkuu Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo na Msemaji Mkuu wa Serikali Dkt. Hassan Abbas leo Oktoba 6,...

READ MORE

TFF Yasaini Mkataba wa Miaka 3 na Serengeti

SHIRIKISHO  la Soka Tanzania, (TFF) chini ya Rais Wallace Karia, leo Oktoba 6, 2020,  limeingia makubaliano na Bia ya Serengeti...

READ MORE

Tiketi tu Kocha Anatua Yanga SC

KOCHA wa viungo wa Klabu ya Yanga, Riedoh Berdien amefunguka kuwa ni suala la tiketi tu ndiyo ambalo linaendelea kumkwamisha...

READ MORE

Wahuni wa Mjini Wampiga Carlinhos

KIUNGO mshambuliaji wa Yanga, Carlos Carlinhos, amekutana na wahuni wa mtandaoni ambao wamemliza kwa kumuibia akaunti yake ya Instagram.  ...

READ MORE

Samatta Kuwasili Nchini Kesho Kuivaa Burundi

Nahodha wa timu ya Taifa ya Tanzania, Mbwana Samatta anatarajiwa kuwasili nchini kesho kujiunga na kambi ya timu hiyo inayojiandaa...

READ MORE

Kikongwe wa Miaka 80 Astaafu Soka

  Mwanasoka mbobezi wa uingereza atastaafu soka baada ya kucheza mechi yake ya mwisho ya kimashindano siku ya ijumaa akiwa...

READ MORE

Kipigo cha Historia, Aston Villa 7 – 2 Liverpool

HISTORIA imeandikwa kwa timu ambayo ilikuwa imekaribia kabisa kushuka daraja msimu uliopita wa 2019/20 kuwafunga mabingwa watetezi wa Ligi Kuu...

READ MORE

Kipchoge Ashindwa Kutetea Taji London Marathon

Eliud Kipchoge bingwa wa mbio za marathon ameshindwa kutetea taji lake la London marathon Jumapili baada ya kuishiwa nguvu katika...

READ MORE

Zahera: Tunaleta majembe mapya, mtatukoma

MKURUGENZI wa Ufundi wa Klabu ya Gwambina, Mkongomani, Mwinyi Zahera amefunguka kuwa yupo kwenye mipango ya kukamilisha usajili wa nyota...

READ MORE

Wawa Aapa Kula Sahani Moja na Lamine

    BAADA ya kufanikiwa kufunga bao lake la kwanza na kwa mara ya kwanza kwenye Ligi Kuu Bara, beki...

READ MORE

Sven Afichua Ishu ya Kununiana na Kagere

KOCHA Mkuu wa Simba, Sven Vandenbroeck amekiri kuwa ni kweli amekuwa akitofautiana mara kadhaa na baadhi ya nyota wengi wa...

READ MORE

Man U Yapigwa Bao 6-1 na Tottenham

KOCHA wa Tottenham Hotspur, Jose Mourinho, akiwa amerudi dimbani Old Trafford kama kocha wa timu pinzani ametoa adhabu kali kwa...

READ MORE

Simba SC Yaibadilishia Mbinu Yanga SC

ZIKIWA zimebaki siku 14 kabla ya watani wa jadi Yanga na Simba kukutana Oktoba 18, Simba imesema kuwa itatumia mtindo...

READ MORE

Simba Yaipiga 4G JKT Tanzania Jamhuri, Dodoma

KIKOSI cha Simba kinachonolewa na Kocha Mkuu, Sven Vandenbroeck, leo Oktoba 4 kimeibuka na ushindi wa mabao 4-0 dhidi ya...

READ MORE

Chama, Kagere Waandaliwa Mkataba Simba

MABOSI wa Klabu ya Simba wamewaondoa hofu mashabiki wake kwa kutamka kuwa kiungo wao Mzambia, Clatous Chama na mshambuliaji Mnyarwanda...

READ MORE

Carlinhos Amfunika Jumlajumla Morrison

HUKU kukiwa na fukuto la mkataba wake likiwa limeanza upya ndani ya klabu yake ya zamani ya Yanga wakidai kuwa...

READ MORE

Yanga Yamfuta Kazi Kocha Mserbia Zlatko -Video

UONGOZI  wa Klabu ya Yanga leo Oktoba 3,2020 umefikia makubaliano ya kumfuta kazi kocha wao mkuu, Zlatko Krmpotic raia wa...

READ MORE

Yanga Kuivaa Coastal Kibabe leo

KIKOSI cha Yanga leo kinatarajiwa kujitupa uwanjani kuvaana na Coastal Union katika mchezo wa Ligi Kuu Bara huku kocha msaidizi...

READ MORE

Sarpong: Nawasubiri Simba Waone Moto Wangu

MSHAMBULIAJI wa Yanga, Mghana, Michael Sarpong amefunguka kuwa hana presha yoyote licha ya kushindwa kufunga mabao kwa kuwa anajipanga kuwaonyesha...

READ MORE

Tabiri na Ushinde! Wiki ya Kukata na Shoka Soka Barani Ulaya

Unadhani itakuwa ni wiki ya namna gani kama haitokuwa na mechi za kukata na shoka na upinzani wa hali ya...

READ MORE

Pawa Yangu Ilibadilisha Tsh100 Kuwa Nyumba Mpya

Mimi ni Isdory kutoka Mwanza. Nilitumia Pawa Yangu kushinda milioni TSh10 kuanzia tiketi ya TSh100 ya emPawa17 Jackpot Disemba, hata...

READ MORE

Fenerbahce Yamtwisha Zigo Samatta

MSIMU  wa 2018/19 haukuwa msimu mzuri kwa Klabu ya Fenerbahce, wakiwa katika hali mbaya karibu na kushuka daraja, kilichotokea ni...

READ MORE

Mashabiki Wa Yanga Waliowapiga Wale Wa Simba Wafungiwa

TAARIFA kutoka Bodi ya Ligi Tanzania leo Oktoba 2 kuhusu matukio mbalimbali ambayo yamefanyiwa maamuzi baada ya Kamati ya Kusimamia...

READ MORE

Carlinhos, Lamine Wana Jambo lao Yanga

CARLOS Carlinhos raia wa Angola, nyota mpya ndani ya Yanga, ameonekana kuivana na beki wa timu hiyo, Lamine Moro.Wawili hao...

READ MORE

Hiki Hapa Kikosi Cha Timu Ya Taifa Kuingia Kambini Oktoba 5

Kikosi cha timu ya Taifa kilichoitwa leo kwa ajili ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Burundi

READ MORE

TFF Tumepokea Malalamiko Ya Yanga Mkataba wa Morrison

Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limepokea malalamiko ya klabu ya Yanga kuhusu uhalali wa mkataba kati ya klabu...

READ MORE

Kisa Simba…GSM Yawaita Mastaa Saba…

Kisa Simba… BAADA ya Yanga kufanikiwa kumuongezea mkataba wa miaka miwili beki wao Mghana, Lamine Moro, wadhamini wa timu hiyo...

READ MORE

Sven Afungukia Benchi la Ajibu Simba

SVEN Vandenbroeck ambaye ni Kocha Mkuu wa Simba, amefunguka kwamba idadi kubwa ya wachezaji ambao wana uwezo wa kushambulia ndiyo...

READ MORE

Mbelgiji Simba Awaweka Mtegoni Mastaa Hawa!

SVEN Vandenbroeck, Kocha Mkuu wa Simba amefichua kuwa tatizo kubwa la safu yake ya ushambuliaji ni kushindwa kumalizia nafasi wanazozipata...

READ MORE

Yanga Waibuka Upya! Mkataba wa Morrison & Simba Una Mapungufu – Video

Klabu ya Yanga imeibua upya utata mwingine wa mkataba wa mshambuliaji Bernard Morrison wakidai hana mkataba halali na wekundu hao...

READ MORE

Carlinhos Ashindwe Mwenyewe Yanga

KIUNGO mshambuliaji wa Yanga raia wa Angola, Carlos Fernandes ‘Carlinhos’, sasa hivi rasmi amehamishiwa pembeni namba 11 atakayokuwa anaicheza katika...

READ MORE

Manchester City Yamalizana na Dias wa Benfica

KLABU ya Manchester City imekubali kumsajili beki Ruben Dias kwa kitita cha pauni milioni 65 zaidi ya shilingi bilioni 192,...

READ MORE

Mnao Muulizia Farid Yanga, Ishu Iko hivi

UONGOZI wa Yanga umeibuka na kusema kuwa kiungo wao mshambuliaji, Farid Mussa haonekani katika kikosi cha timu hiyo baada ya...

READ MORE

Yanga Yajipigia KMKM Bao 2-0 Azam Complex

KIKOSI cha Yanga Septemba 30, 2020 kimeibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya timu ya KMKM kwenye mchezo wa...

READ MORE

Azam Yaziundia Tume Simba, Yanga SC

AZAM FC imeziundia mikakati mizito timu za Simba na Yanga ili kuweza kuendelea kushikilia usukani wa ligi kwa kuhakikisha inafanikiwa...

READ MORE

Bosi Simba: Huu Mwendo Wa Yanga Utatwaa Ubingwa

ALIYEWAHI kuwa Mwenyekiti wa Klabu ya Simba, Ismail Aden Rage amefunguka kuwa, katu wasitokee watu wa kuicheka Yanga kutokana na...

READ MORE