×

Michezo

Mkwasa: Simba SC Hawawezi Dk 90 za Mshike Mshike

CHARLES Boniface Mkwasa, Kaimu Kocha Mkuu wa Yanga kwa sasa amegeuka kuwa shujaa baada ya kuiongoza timu yake iliyokuwa haipewi...

READ MORE

Mwamuzi Simba, Yanga Kupelekwa Kamati ya Saa 72

MWAMUZI aliyechezesha mechi ya watani wa jadi, Jonesia Rukya na beki wa Simba, Pascal Wawa wanatarajiwa kujadiliwa katika Kamati ya...

READ MORE

Yanga kumenoga, wapata dili nono Kaizer Chiefs

MABINGWA wa kihistoria Tanzania, Yanga wameanzisha ushirikiano na klabu kubwa ya Kaizer Chiefs, vinara wa Ligi Kuu ya Afrika Kusini....

READ MORE

Ratiba Ya Kombe la FA Hii Hapa, Simba vs Mwadui, Yanga na Prisons

    Mabingwa wa Ligi Kuu Bara, Simba itacheza Mwadui wakati Yanga ikitupwa kwa Tanzania Prisons katika raundi ya nne...

READ MORE

Emily Mugeta, Mtanzania Anayewasumbua Ujerumani

EMILY Mugeta safari yake ya soka ilianza akiwa kwenye Kituo cha TSC kilichopo mkoani Mwanza. Mwaka 2012, akaanza kufahamika zaidi...

READ MORE

Yanga Yatamba…na Vikosi Matata, Kucheza na Mtibwa Mapinduzi

UNAWEZA kusema hivi sasa ubingwa wa Ligi Kuu Bara hauna mwenyewe licha ya kwamba Simba ndiyo inaongoza ligi ikiwaacha wapinzani...

READ MORE

Kocha Mpya wa Yanga Atua Dar, Asepa Zenji – Video

Kocha mpya wa Klabu ya Yanga, Luc Eymael raia wa Ubelgiji tayari amewasili jijini Dar es Salaam na kuelekea Zanzibar...

READ MORE

Breaking News: Yanga Yashusha Kocha Mpya

KLABU ya Yanga imemtangaza kocha wao mpya ambaye ni raia wa Ubelgiji aitwaye Luc Eymael (60) ambaye anatarajia kutua rasmi...

READ MORE

Pasi za Miquissone Zampagawisha Mbelgiji Simba

LICHA ya kukerwa na matokeo ya sare ya mabao 2-2 dhidi ya Yanga, kocha mkuu wa timu hiyo, Mbelgiji, Sven...

READ MORE

Mkwasa: Yikpe na Niyonzima ni watu wa kazi

KAIMU Kocha Mkuu wa Yanga, Boniface Mkwassa, amesema kuwa wachezaji waliosajiliwa ndani ya Yanga ikiwa ni pamoja na Yikpe Gnamien...

READ MORE

Mwamuzi Simba vs Yanga Afunguka Hirizi ya Kagere

WAKATI mashabiki wa soka hapa nchini wakiendelea kupishana kauli juu ya mshambuliaji wa Simba, Mnyarwanda, Meddie Kagere kuwa alikuwa na...

READ MORE

Washindi Tuzo za CAF Hawa Hapa, Diamond Apiga Shoo -Video

USIKU wa kuamkia leo shirikisho la soka barani Afrika (CAF) limetoa tuzo mbalimbali za soka barani Afrika zilizofanyika Hurghurda nchini...

READ MORE

Samatta Atua England, Aifuata Norwich

INAELEZWA kuwa nahodha wa timu ya taifa ya Tanzania ambaye anakipiga katika Klabu ya KRC Genk ya nchini Ubelgiji, Mbwana...

READ MORE

Mane Ashinda Tuzo Ya Mchezaji Bora wa Afrika 2019

Mshambuliaji wa Liverpool, Sadio Mane usiku wa kuamkia leo Januari 8, 2019 ametwaa tuzo ya mchezaji bora wa Afrika 2019...

READ MORE

Januari Ngumu kwa United

  MANCHESTER United juzi walimpoteza beki wao mahiri Harry Maguire ambaye alikumbana na majeraha wakati ambapo timu hiyo inatakiwa kujidhatiti...

READ MORE

Sadio Mane Mchezaji Bora wa Soka Afrika 2019

SHIRIKISHO la soka barani Afrika limemtaja mwanasoka bora wa mwaka kuwa ni Sadio Mane ambaye anachezea timu ya Liverpool ya...

READ MORE

Msuva Asajiliwa Benfica ya Ureno

Dkt Jonas Tiboroha, Meneja wa Simon Msuva, mchezaji wa Taifa Stars, amesema Msuva amejiunga na klabu ya Benfica ya Ureno...

READ MORE

Vita ya Viungo Simba vs Yanga

Katika mchezo wa Jumamosi iliyopita  wa Ligi Kuu Bara kati ya Simba dhidi ya Yanga, kulikuwa na vita kubwa ya...

READ MORE

Simba Yaipiga Zimamoto 3-1 Kombe la Mapinduzi

NAHODHA wa Simba, John Bocco leo ameongoza kikosi chake kushinda mabao 3-1 dhidi ya Zimamoto kwenye mchezo wa Kombe la...

READ MORE

Mkwasa, Kahata Watwaa Tuzo ya Mwezi Desemba Ligi Kuu Bara

Kaimu Kocha wa Yanga, Charles Boniface Mkwasa, ametangazwa kuwa kocha bora kwa mwezi uliopita. Mkwasa ametwaa tuzo ya ukocha bora...

READ MORE

Eti Pombe Zimemzeesha Charlie Adam

UNAMKUMBUKA yule kiungo wa zamani wa Liverpool na Stoke City, Charlie Adam? Jamaa siku hizi yupo zake Reading huko Ligi...

READ MORE

Suarez, Baby Wake Wavamiwa na Vibaka Wakiwa Penzini

KIUNGO wa zamani wa Arsenal na Barcelona, Denis Suarez juzikati alivamiwa na vibaka nyumbani kwake huku yeye akiwa amefanya mtoko...

READ MORE

Bao la Banka Laua Askari

INAELEZWA bao la kusawazisha la kiungo wa Yanga, Mohammed Issa ‘Mo Banka’, limepelekea kifo cha shabiki wa timu hiyo sajenti...

READ MORE

Yanga Kukipiga na Jamhuri FC Kombe la Mapinduzi

Timu hizo leo zitashuka katika Uwanja wa Amaan visiwani hapa katika kinyang’anyiro cha Kombe la Mapinduzi kilichoanza kutimua vumbi jana...

READ MORE

Niyonzima, Balama Waogelea Minoti

JUMAMOSI iliyopita viungo wa Yanga, Mnyarwanda, Haruna Niyonzima na Mapinduzi Balama, walionekana lulu na wafalme, baada ya kutunzwa fedha huku...

READ MORE

Mwamuzi Fifa: Penalti ya Kagere Haikuwa Halali

MWAMUZI mwenye beji ya Shirikisho la Sola la Kimataifa (Fifa), Omar Abdulkadir, amesema penalti waliyopewa Simba na kuzaa bao la...

READ MORE

Balama: Siyo Mara ya Kwanza Kumfunga Manula Bao la Mita 18

HAUWEZI kuwataja wachezaji waliocheza kwenye kiwango cha juu katika mchezo wa juzi wa watani wa jadi, Simba na Yanga bila...

READ MORE

Msolla: Tungewafunga, Lile ‘Bao la Mwamuzi’

MWENYEKITI wa Yanga, Dk Mshindo Msolla ameweka wazi walikuwa na nafasi kubwa ya kuwafunga wapinzani wao Simba lakini hilo lilishindikana...

READ MORE

Msolla: Tunashusha Mashine Mbili za Kufunga Kazi

DIRISHA la usajili kueleka Ligi ya Mpira wa Kikapu Mkoa wa Dar es Salaam (RBA), limefunguliwa rasmi jana huku klabu...

READ MORE

Balama, Banka Wasepa na Mil 70 za Simba

MABAO ya kusawazisha ya Mapinduzi Balama na Mohammed Issa ‘Banka’, yamesababisha majonzi makubwa kwa wenzao Simba ambao wamejikuta wakikosa Sh...

READ MORE

JKT Wasaka Mbadala wa Adeyum

KLABU ya soka ya JKT Tanzania ipo mbioni kunasa saini ya beki wa kushoto ili kuziba nafasi iliyoachwa na mchezaji...

READ MORE

Baada Ya Sare, Manara ‘Awachana’ Wachezaji Simba

Msemaji wa Klabu ya Simba SC Haji Manara amewataka wachezaji wa timu hiyo kutambua thamani ya jezi yao na kujituma...

READ MORE

Jimmy Kindoki Alipuka ‘Tunamlilia Rais Magufuli’ -Video

 Mashabiki wa Yanga wametoka jana Januari 4, 2020 uwanjani wakiwa mashujaa baada ya timu yao kulazimisha sare 2-2 dhidi...

READ MORE

Full Time: Simba 2-2 Yanga

MECHI ya Watani wa Jadi, Simba Sc na Yanga Sc imemalizika huku timu zote zikitoshana nguvu baada ya kutoka sare...

READ MORE

Full: Kikosi cha Simba na Kikosi cha Yanga

SIMBA SC vs YANGA SC: Kikosi chaSimba SC kitakachoanza leo Jumamosi, Januari 4, 2020 kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya...

READ MORE

Simba na Yanga Kukiwasha leo Taifa, Jonesia Rukyaa Mwamuzi

KILA upande unauambia upande mwingine, wanakaa. Ndiyo, hii ni ‘bato’ ya mashabiki wa Simba na Yanga ambao leo Jumamosi timu...

READ MORE

Baba: Yondani ni Mtu wa Kazi, Simba Wazuri Ilaa….

  SAA tu kwa sasa kabla ya vita iliyokuwa mrefu kukamilika kwenye Uwanja wa Taifa ambapo wilaya ya Temeke itapokea...

READ MORE

Sibomana: Lazima Niitungue Simba Leo Taifa

MNYARWANDA Patrick Sibomana anayechezea Yanga, amesema atahakikisha anapambana kufa na kupona ili aifunge Simba, leo na kuweka rekodi. Tangu kuanza...

READ MORE