×

Michezo

Yanga: Tunawaumbua Wabotswana Kwao Leo

POTEZEA hujuma zao walizozipanga na kugonga mwamba huko Shirikisho la Soka Afrika ‘Caf’, leo mbona kazi wanayo hao Township Rollers...

READ MORE

Shiboub Apewa Nyumba Uzunguni

UWEZO wa Kiungo mshambuliaji wa Simba, Msudan, Sharaf Eldin Shiboub umempa heshima kubwa kwa wadau wa soka la Tanzania.  ...

READ MORE

VIDEO: Vodacom Yamwaga Bil 9 Kudhamini Ligi Kuu

SHIRIKISHO la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) na kampuni ya simu za mkononi ya Vodacom jana Agosti 23, 2019, wamesaini...

READ MORE

Kahata: Lazima tuwafunge UD Songo

WAKATI kikosi cha Simba, keshokutwa Jumapili kikitarajiwa kushuka uwanjani kucheza dhidi ya UD Songo ya Msumbiji, kiungo mshambuliaji wa kimataifa...

READ MORE

KMC YAONDOLEWA KOMBE LA SHIRIKISHO, YAPIGWA 2-1 NA AS KIGALI

Timu ya KMC leo Agosti 23, 2019  imekuwa ya kwanza kutoka Tanzania kutolewa katika michuano ya Kombe la Shirikisho Afrika...

READ MORE

Shiboub Apata Dawa ya UD DO SONGO

KIUNGO Msudan wa Simba, Sharaf Shiboub amefunguka kuwa dawa pekee ya kuwafunga wapinzani wao, UD do Songo kwenye mechi yao...

READ MORE

Niyonzima: Hakuna wa kuifunga Simba Taifa

KIUNGO wa zamani wa Simba na Yanga, Haruna Niyonzima amesema kuwa hakuna timu yoyote yenye uwezo wa kuifunga Simba ikiwa...

READ MORE

Zahera: Mapema tu Sibomana, Balinya wanamaliza shoo

ACHANA na presha waliyokuwa nayo wapinzani wao, Township Rollers ya Botswana, unaambiwa Kocha Mkuu wa Yanga Mkongomani, Mwinyi Zahera amepanga...

READ MORE

Mashindano ya Mbunge waMbulu Vijijini ni Mpasuano

MASHINDANO ya Mbunge wa Jimbo la Mbulu Vijijini, Flatei Massay maarufu kama Flatei Cup yameendelea kushika kasi katika Uwanja wa...

READ MORE

KMC Inahitaji Sapoti ya Watanzania Leo Uwanja wa Taifa

LEO Ijumaa, KMC itakuwa na mchezo muhimu wa Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya AS Kigali ya Rwanda. Mchezo huo...

READ MORE

KMC: AS Kigali Lazima Wakae leo Taifa

JACKSON Mayanja, Kocha Mkuu wa KMC amesema kwa sasa kikosi kipo sawa kumalizana na AS Kigali ya Rwanda kwenye mchezo...

READ MORE

Rollers Waingia Ubaridi, Waanza Visingizio

SHOO ya Yanga na Township Rollers kwenye marudiano ya Ligi ya Mabingwa Afrika itapigwa jijini hapa Jumamosi saa 10:30 jioni...

READ MORE

Shiboub Awavuruga UD Songo

MCHEZO wa Ngao ya Jamii kati ya Simba na Azam umewatibulia Ud Songo baada ya kocha wao kubadilisha aina ya...

READ MORE

Wapinzani wa Simba kutua Ijumaa

WAPINZANI wa Simba UD do Songo wanatarajia kutua nchini siku ya Ijumaa tayari kwa ajili ya mchezo wa marudiano wa...

READ MORE

Ligi inaanza, kuna mengi ya kufanyiwa kazi

LIGI Kuu Bara msimu wa 2019/20 inatarajiwa kuanza wikiendi hii kwa baadhi ya timu kupambana kwenye viwanja tofauti baada ya...

READ MORE

Rekodi yaibeba Simba CAF

ZIKIWA zimebaki takribani siku nne kabla ya Simba kuivaa UD do Songo kutoka Msumbuji, rekodi zinaonyesha kuwa Simba wana asilimia...

READ MORE

Ubaguzi dhidi ya Pogba wazua hisia kali

MKUFUNZI wa timu ya soka upande wa akina dada nchini England, Phil Neville, amesema kuwa wachezaji wanapaswa kususia mitandao ya...

READ MORE

Wawa Awekwa Kitimoto Simba

BAADA ya hivi karibuni mabeki wa kati wa Simba, Pascal Wawa na Erasto Nyoni kufanya makosa kadhaa katika mchezo wa...

READ MORE

Manara Afunguka Nafasi Yake Kuchukuliwa -Video

OFISA Habari wa Klabu ya Simba, Haji Manara, leo Agosti 20, 2019, amesema yeye ndiye msemaji wa klabu hiyo kupitia...

READ MORE

Sibomana Atengeneza Mifumo Miwili Yanga

KOCHA Mkuu wa Yanga Mkongomani, Mwinyi Zahera amepanga kutumia mifumo miwili atakayoitumia kwenye msimu ujao ambayo ni 3-4-3 na 4-5-1....

READ MORE

Msimu Mpya: Samatta Afanya Maangamizi Ubelgiji

NAHODHA wa timu ya Taifa Tanzania ‘Taifa Stars’, Mbwana Samatta amefunga mabao matatu (hat-trick), katika mchezo wa Ligi Daraja la...

READ MORE

Ninja Aigharimu Timu Yake LA Galaxy Marekani

BEKI mpya wa Klabu ya LA Galaxy inayoshiriki Ligi Kuu ya nchini Marekani MLS, Abdallah Shaibu ‘Ninja’,  amecheza mchezo wake...

READ MORE

La Galaxy Wampa Ninja Namba 51

BEKI wa zamani wa Yanga, Abdallah Shaibu ‘Ninja’ juzi Ijumaa alitambulishwa rasmi katika mtandao wa klabu ya La Galaxy II...

READ MORE

Kocha Simba: TFF wanaiangusha Yanga

KOCHA Mkuu wa simba, Mbelgiji, Patrick Aussems amefichua kuwa haoni dalili za timu Tanzania kuweza kufanya vizuri katika michuano ya...

READ MORE

Yanga Yaifunga AFC Leopards Bao 1-0 Arusha, Tshishimbi Atua

KIKOSI cha Yanga leo kimeibuka na ushindi wa bao 1-0 kwenye mchezo wa kimataifa wa kirafiki uliochezwa leo uwanja wa...

READ MORE

Zahera afumua kikosi chote Yanga

KOCHA wa Yanga, Mwinyi Zahera ameamua kufumua kikosi chote huku akisisitiza kwamba hafanyi mambo kufurahisha mashabiki. Zahera amekwenda mbali na...

READ MORE

DSJ Wtumia Umafia Kuipiga Global FC

KOCHA wa Global FC, Amran Kaima, amesisitiza kwamba walitumia uungwana kucheza na DSJ FC kuhofia vurugu za mashabiki waliokuwa wanawasubiri...

READ MORE

Simba Yaitafuna Azam, Yabeba Ngao ya Jamii

MPAKA mashabiki wa Yanga jana walilazimika kumtaja japo kimoyomoyo. Sharif Eldin Shiboub. Mnyama kwelikweli. Kiungo huyo mshambuliaji wa Simba, raia...

READ MORE

Aussems Awagomea Wabrazil Simba SC

KOCHA Mkuu wa Simba, Mbelgiji, Patrick aussems amesema haoni nafasi ya wachezaji wake watatu kutoka Brazil kupata namba za kudumu...

READ MORE

Sibomana Ampa Zahera Kiburi cha Mabao

KOCHA wa Yanga Mwinyi Zahera, ameanza jeuri kwa kutamka kuwa kwa safu bora ya ushambuliaji aliyonayo hivi sasa hakuna mabeki...

READ MORE

Mbrazili Simba Aanza Kujifunza Kiswahili

KOCHA Mkuu wa Simba, Patrick Aussems amesema kuwa beki mpya wa timu hiyo, Mbrazili, Tairone Santos Da Silva ameanza kujifunza...

READ MORE

Rage: Kwa Deo Kanda, Kahata Simba SC Imelamba Dume

ISMAIL Aden Rage ambaye ni mwenyekiti wa zamani wa Simba, ameweka wazi kuwa timu hiyo imelamba dume kwa kuwasajili mshambuliaji...

READ MORE

Hawa Watapiga Penati, Faulo, Kona

MSIMU mpya wa Ligi Kuu Bara unazinduliwa rasmi leo Jumamosi kwa mchezo wa Ngao ya Jamii ambao utazikutanisha timu za...

READ MORE

Simba Vs Azam: Mtakula za Kutosha!

ACHANA na mechi ya Man city na Spurs, ngoma leo saa 1 usiku iko kwenye Uwanja wa Taifa kwa Simba...

READ MORE

Utata kifo cha Mbalamwezi wa The Mafik – Video

KIFO cha msanii wa Kundi la The Mafik, Abdallah Yusufu Matimbwa ‘Mbalamwezi’ kimegubikwa na utata mkubwa kufuatia madai mwili wake...

READ MORE

Matola Aitoa Nishai Yanga, Aipiga 2-0 Moshi

YANGA jana ilichezea kichapo cha mabao 2-0 kutoka kwa vijana wa Kocha Selemani Matola, polisi Tanzania ukiwa ni mchezo wa...

READ MORE

MREMBO: SANCHEZ ALINITONGOZA NIKAMKATAA

NATALIA Mandiola, ni mtangazaji wa runinga katika idara ya michezo, amefunguka kuwa nyota wa Manchester United, Alexis Sanchez alitupa ndoano...

READ MORE

Premier League Usajili wa Sh Trilioni 3.8

KLABU ya Ligi Kuu ya England maarufu kwa jina la Premier League, zimetumia takribani pauni bilioni 1.4 (Sh trilioni 3.8)...

READ MORE

Kagere Awaonya Azam FC

MSHAMBULIAJI wa Simba, Mnyarwanda, Meddie Kagere amefunguka kuwa atahakikisha anaanza kufunga mabao ya kutosha katika mchezo wa Ngao ya Jamii...

READ MORE