×

Michezo

DIDA KUTIMKIA SAUZ

BAADA ya mlinda mlango namba mbili wa Simba, Deogratius Munishi ‘Dida’ kuwaaga mashabiki wa Simba, sasa huenda akarejea kukipiga tena...

READ MORE

Breaking: Ibrahim Ajib Aikacha Yanga, Atambulishwa Simba

Klabu ya Simba imetangaza kumsajili kiungo mshambuliaji, Ibrahim Ajib kwa mkataba wa miaka miwili kutoka klabu ya Yanga. Ajibu msimu...

READ MORE

Dau la Arsenal kwa Zaha Lakataliwa

ARSENAL wameelezwa kuwa kama wanamtaka mshambuliaji wa Crystal Palace, Wilfred Zaha watoe kitita cha pauni milioni 80, lakini wenyewe wamepeleka...

READ MORE

BABA WA NEYMAR ATUA BARCELONA

MABOSI wa Barcelona juzi walikutana na mwakilishi wa mshambuliaji wao wa zamani Neymar wakifanya naye mazungumzo ili arudi kwenye timu...

READ MORE

Ninja Alipwa Mshahara wa Bilioni 2 Marekani

IMEFAHAMIKA kuwa beki wa zamani wa Yanga, Abdallah Shaibu ‘Ninja’ ambaye kwa sasa anakwenda LA Galaxy ya Marekani kwa mkopo,...

READ MORE

Stars Yapewa Bil 1.3 Afcon, Kutua Kesho

TAIFA Stars imeambulia Sh.1.3Bil kwa kushika nafasi ya mwisho kwenye kundi lake la Afcon na inatua kesho Alhamisi ikitokea Misri....

READ MORE

Majembe Mapya Yanga Kutua Kesho

UONGOZI wa Yanga chini mwenyekiti wake DK Mshindo Msolla unaanza kuwapokea nyota wake wapya wa kigeni kesho tayari kwa maandalizi...

READ MORE

Santo: Kwa Shikalo Yanga Imetisha

KIUNGO wa zamani wa Simba Mkenya, Jerry Santo ameonyesha hisia zake kwa Yanga juu ya usajili wa kipa, Farouk Shikalo....

READ MORE

Aggrey Morris Kukaa Nje Miezi Miwili

NAHODHA wa Klabu Bingwa ya Afrika Mashariki na Kati,q Azam FC, Agrey Moris, anatarajia kuwa nje ya  dimba kwa muda...

READ MORE

Gadiel Michael Akanusha Kusaini Simba

BEKI wa kushoto wa Yanga, Gadiel Michael,  amekanusha taarifa zilizozagaa kuwa amesaini mkataba na Simba na kwamba hajafanya mawasiliano yoyote...

READ MORE

Deo Kanda Atua Simba Akitokea TP Mazembe

Mshambuliaji raia wa Congo DR, Deo Kanda (29) amesaini mkataba wa mwaka mmoja kujinga na Simba akitokea TP Mazembe. Deo...

READ MORE

Kocha Yanga: Wabrazili Wataibeba Simba Kimataifa

KOCHA wa timu ya wanawake ya Yanga, Mohamed Hussein ‘Mmachinga’, amesema kuwa wachezaji wote wa kigeni ambao wamesajiliwa na Simba,...

READ MORE

Simba Day: Mo Dewji Kuwaleta Arsenal?

MWENYEKITI wa Bodi ya Wadhamini wa Klabu ya Simba na mwekezaji wa Klabu hiyo, Mohammed Dewji ‘Mo’, ameonekana akiwa na...

READ MORE

Bigirimana Awatumia Salamu Wabrazili Simba

MSHAMBULIAJI mpya wa Yanga, Issa Bigirimana ‘Walcott’ amesikia taarifa za usajili wa mabeki wapya wa Kibrazili wa Simba na kutamka...

READ MORE

Sonso Achota Sh mil 20 Yanga

IMEFAHAMIKA kuwa beki kiraka mpya wa Yanga, Ally Sonso amekubali kusaini mkataba wa miaka miwili kwa dau la Sh milioni...

READ MORE

Okwi ataka 115m kwa mwaka Simba

STRAIKA wa Simba, Mganda, Emmanuel Okwi ameyaamsha tena mambo ndani ya klabu yake hiyo baada ya kuwaambia viongozi kwamba kama...

READ MORE

Stars Yapigwa 3-0 na Algeria, Yaaga Rasmi AFCON

KIKOSI cha Taifa Stars kimekamilisha rasmi safari ya michuano ya AFCON huko Misri kwa kupokea kichapo cha mabao 3-0 dhidi...

READ MORE

Manula avunja rekodi ya dau usajili Simba SC

  KIPA namba moja wa timu ya taifa, Taifa Stars na Klabu ya Simba, Aishi Manula, anatajwa kuwa mchezaji wa...

READ MORE

Jeshi zima la Yanga hili hapa

yangaYANGA ndiyo timu pekee iliyofanya usajili wa haraka na kukamilika kabla dirisha la usajili kufunguliwa rasmi jana. Dirisha hilo la...

READ MORE

Zahera Aandaliwa Mkataba Mnono Yanga

UONGOZI wa Klabu ya Yanga upo mbioni kumuongezea mkataba mpya kocha wake mkuu Mkongomani, Mwinyi Zahera wa kuendelea kukinoa kikosi...

READ MORE

Kisa Kiti, Misri Watia Aibu Zone V Uganda

WAKATI mchezo wa mpira wa kikapu kati ya Tanzania dhidi ya Kenya upande wa wanaume ukichezwa juzi Jumamosi kwenye Uwanja...

READ MORE

KMC Waiwahi Mapema Mazembe Rwanda

KIKOSI cha timu ya KMC Alhamisi hii kinatarajia kukwea pipa kuelekea nchini Rwanda kwa ajili ya kuwawahi wapinzani wao TP...

READ MORE

KAMA MISRI TUMEJIFUNZA, BASI TWENDENI CAMEROON

LEO Jumatatu, Timu ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars itacheza mechi ya mwisho ya hatua ya makundi ya Kombe la...

READ MORE

Emmanuel Amunike: Tutaifunga Algeria

KOCHA wa timu ya Taifa, Taifa Stars, Emmanuel Amunike, amesema bado ana matumaini ya kikosi chake kufanya vizuri kwenye mchezo...

READ MORE

Pigo taifa Stars: Manula, Yondani Kuikosa Algria Leo

Pigo kubwa kwa Timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) baada ya kuthibitika kuwa beki kisiki Kelvin Yondani na kipa...

READ MORE

Kila la Kheri Taifa Stars, Piga Hao Algeria

Timu ya soka ya Tanzania, Taifa Stars, leo inatarajia kushuka uwanjani kucheza na Algeria katika mchezo wa tatu wa Kundi...

READ MORE

Huyu Mbrazili wa Simba ni Balaa!

KOCHA Mbrazil aliyewahi kutamba na Taifa Stars na Azam, Itamir Amorin ameukubali usajili wa Wabrazil uliofanywa na Simba inayojiandaa na...

READ MORE

Sonso: Nikicheza na Yondani Hapiti Mtu

SONSOBEKI mpya wa Yanga, Ally Mtoni Sonso amesema kuwa alikuwa na ndoto kubwa sana ya kucheza na Yondani na baada...

READ MORE

Wengine Simba kutimkia Sauz

WAKATI usajili ukizidi kushika kasi inatajwa nyota wawili wa kikosi hicho wanatarajia kujiunga na Klabu ya Black Leopards ya Afrika...

READ MORE

Kwa Yanga Hii…. Mjipange!

yangaAMA kweli Yanga sasa wameamua, kuelekea msimu ujao maandalizi yameanza mapema na lengo ni kuhakikisha wanakuwa na kikosi bora katika...

READ MORE

Zahera Atangaza Kikosi Kizima Kipya Yanga

MTAANI kwa sasa mashabiki wa Yanga ndiyo wanatamba kwa nguvu kutokana na uboreshaji wa kikosi cha msimu ujao uliofanywa na...

READ MORE

Nyoni, Mudathir kuwakosa kina Mahrez

VIUNGO nyota wa Taifa Stars, Mudathir Yahya na Erasto Nyoni hawatakuwa sehemu ya kikosi cha timu hiyo kwenye mechi ya...

READ MORE

Bongo Fleva yashinda kwa taabu mbele ya Global FC – VIDEO

BONGO Fleva juzi ijumaa ilichafua rekodi ya Global FC baada ya kuishinda kwa mbinde kwa penalti 4-2 Mechi hiyo ilipigwa...

READ MORE

MAN UTD WAKUBALI YAISHE KWA POGBA

MANCHESTER United wamekubali yaishe kwa Paul Pogba, ambapo wameamua kuweka hadharani bei yake. Klabu hiyo inaaminika imechukua hatua huyo kufuatia...

READ MORE

Okwi akataa miaka miwili Simba

EMMANUEL Okwi amezidi kuwatia kiwewe Simba kwanza kutokana na kiwango anachokionyesha kwenye michuano ya Kombe la Afrika ‘Afcon’ kule Misri...

READ MORE

Wamepitia Magumu, Wakasimama Tena!

KATIKA maisha kuna vipindi vya furaha na huzuni. Kuna wakati binadamu anapitia maisha magumu mno na kujikuta akijiuliza amemkosea nini...

READ MORE

Straika Simba asaini Sauz

MSHAMBULIAJI wa Simba, Adam Salamba ametua rasmi katika kikosi cha TS Sporting ya Afrika Kusini ‘Sauz’ kwa mkopo wa mwaka...

READ MORE

Kiungo mpya Yanga atibua usajili

MAMBO ni moto Yanga! Hivyo ndivyo unavyoweza kusema baada ya kiungo mpya wa Yanga, Abdulaziz Makame kutibua usajili wa klabu...

READ MORE

Zahera Aenda Kula Bata

BAADA ya timu yake kutokuwa na uhakika wa kuendelea na michuano ya Kombe la Afrika ‘Afcon’, Kocha Msaidizi wa DR...

READ MORE

Kapombe akomba Simba Sh mil 7

eIMEFAHAMIKA kuwa beki kiraka wa Simba, Shomari Kapombe amekubali kusaini mkataba wa miaka miwili kuendelea kukipiga Msimbazi kwa dau la...

READ MORE