×

Michezo

Kapombe ajazwa mapesa ya uchezaji bora wa ligi ya Vodacom

Beki wa Azam FC, Shomari Kapombe (kushoto) akiwa ameshikilia hundi yenye thamani ya Sh. Milioni 1/- kama tuzo ya mchezaji...

READ MORE

Kocha Al ahly amkomesha Kamusoko

Kiungo wa kimataifa wa Yanga, Mzimbabwe, Thabani Kamusoko. Wilbert Molandi, Dar es Salaam KIUNGO wa kimataifa wa Yanga, Mzimbabwe, Thabani Kamusoko...

READ MORE

Mayanja: TFF imeipa Yanga ubingwa

Kocha wa Simba, Jackson Mayanja. Omary Mdose na Nicodemus Jonas BAADA ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), kurekebisha ratiba ya...

READ MORE

Wachezaji Ahly kuchomwa sindano waivae Yanga

Wachezaji wa Al Ahly. Mwandishi Wetu, Dar es Salaam UNAWEZA kusema kweli Al Ahly wameamua kujiandaa kweli kabla ya kuwavaa Yanga katika...

READ MORE

Chad Wajitoa Kwenye Mashindano

Rais wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Jamal Malinzi. Shirikisho la Soka la Chad, limetangaza kuiondoa timu yake ya taifa...

READ MORE

Banda: Naisikilizia Simba tu

Beki wa Simba, Abdi Banda. Hans Mloli, Dar es Salaam ISHU ya mtafaruku baina ya Kocha wa Simba, Jackson Mayanja na...

READ MORE

Stand yashinda 16-0, TFF yazuia matokeo

Wachezaji wa Stand United Ibrahim Mussa, Dar es Salaam SHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF) limeshtushwa na matokeo ya mchezo wa kupata...

READ MORE

Tambwe: Tunawafunga Al Ahly

Sweetbert Lukonge, Dar es Salaam STRAIKA Amissi Tambwe amesema haina haja ya mashabiki wa Yanga kuihofia Al Ahly kwani wana...

READ MORE

Al Ahly hali tete Misri

Timu ya Al Ahly ya Misri . Mwandishi Wetu, Cairo UKIACHANA na kukosa video za mechi za Yanga za hivi...

READ MORE

Mayanja: Naijua nje, ndani Al Ahly

Kocha wa Simba, Jackson Mayanja. Sweetbert Lukonge, Dar es Salaam YANGA inatarajiwa kuivaa na Al Ahly katika Ligi ya Mabingwa...

READ MORE

Vita ya Tambwe, Kiiza yafikia pabaya

Hamis Kiiza. Khadija Mngwai, Dar es Salaam MBIO za kuwania tuzo ya Mfungaji Bora wa Ligi Kuu Bara imeendelea kushika...

READ MORE

Soo la Abdi Banda lazua makubwa Simba

Abdi Banda. Khadija Mngwai, Dar es Salaam BAADA ya kuibuka kwa sekeseke la wachezaji wa Simba, Abdi Banda na Hassan Isihaka...

READ MORE

Staa wa Man City na Timu ya Taifa ya Uingereza Afungwa Jela

Adam Johnson akitoka mahakamani LEO Machi 24, za kusikitisha katika ulimwengu wa soka zimezidi kutawala, ikiwa umepita muda mchache tu...

READ MORE

Banda ashushiwa rungu Simba

Kiungo wa Simba, Abdi Banda. Waandishi Wetu, Dar es Salaam WAKATI zikiwa zimesalia siku chache kabla ya kurejea kundini beki wa...

READ MORE

Kocha Simba aipa Yanga mbinu za kuwaua Waarabu

Kocha na mchezaji wa zamani wa Simba, Abdallah ‘King’ Kibadeni. Wilbert Molandi, Dar es Salaam WAKATI ikijiandaa kuvaana na Al Ahly...

READ MORE

Majaliwa akutana na viongozi wa TFF‏

Waziri  Mkuu, Kassim Majaliwa  akizungumza na viongozi wa  Tanzania Footbal Federation (TFF) ofisini kwake jijini Dar es salaam Machi  21,...

READ MORE

Samatta apewa zigo la Chad

Mshambuliaji wa Taifa Stars. Mbwana Samatta Khadija Mngwai, Dar es Salaam KUFUATIA mshambuliaji wa Taifa Stars, Mbwana Samatta kufanikiwa kuifungia timu...

READ MORE

Yanga yanasa siri 5 za Al Ahly

Kocha mkuu wa Yanga Hans van Pluijm. Nicodemus Jonas na Omary Mdose NI rasmi sasa Yanga itakutana na Waarabu wa Misri,...

READ MORE

Azam FC yaichapa Bidvest Wits 4-3, yasonga mbele

TIMU ya Azam FC leo imefanikiwa kusonga mbele katika michuano ya Kombe la Shirikisho baada ya kuifunga Bidvest Wits ya...

READ MORE

Yanga msiogope APR hawapiti kwa Bossou

Wachezaji wa APR wakishangilia. Na Mohammed Mdose KIUNGO wa Yanga, Haruna Niyonzima, amesema ni kazi rahisi kuimaliza APR katika mechi...

READ MORE

APR kwa Yanga lazima mkae

Wachezaji wa timu ya Yanga wakishangilia. MSHINDI wa leo kati ya Yanga na APR katika mechi ya Ligi ya Mabingwa...

READ MORE

Ratiba ya Robo Fainaili Ligi ya Mabingwa Ulaya

Shirikisho la soka barani Ulaya UEFA, hivi punde limetoa ratiba ya mechi za Ligi ya Mabingwa Barani Ulaya ambayo inaingia...

READ MORE

Shomari Kapombe aitaja Yanga

Beki wa pembeni wa Azam FC, Shomari Kapombe. Na Ibrahim Mussa Amefunguka kuwa licha ya kufanikiwa kufunga bao lake la...

READ MORE

Vodacom wamkabidhi kitita mchezaji bora wa VPL kwa Desemba 2015

Kampuni ya simu za mkononi, Vodacom Tanzania, wadhamini wakuu wa Ligi Kuu ya soka Tanzania Bara jana walimkabidhi kitita cha...

READ MORE

Yanga hii, APR wapite wapi

Wachezaji wa Yanga wakishangilia goli. Wilbert Molandi na Sweetbert Lukonge KOCHA Mkuu wa Yanga, Hans van Der Pluijm, amesema kuwa...

READ MORE

Manchester yatumbuliwa na Liverpool

Coutinho akishangilia na wachezaji wenzake wa Liverpool baada ya kusawazishia bao dhidi ya Manchester United dakika ya 45 ya mchezo....

READ MORE

Barca ‘Yaitumbua’ Arsenal UEFA

Messi (katikati) akijaribu kuwatoka mabeki wa Arsenal Gabriel (kushoto) na Mohamed Elneny. KIKOSI cha Arsenal usiku wa kuamkia leo kimeaga...

READ MORE

Mayanja afanya kikao na mastaa wake

Bosi mkuu wa Simba, Mganda, Jackson Mayanja. Said Ally, Dar es Salaam BOSI mkuu wa Simba, Mganda, Jackson Mayanja, amelikabidhi jina...

READ MORE

Kiiza arudi Uganda

Mshambuliaji wa Simba Hamis Kiiza. Wilbert Molandi,Dar es Salaam KASI ya mabao anayoendelea kuionyesha kwenye msimu huu wa Ligi Kuu...

READ MORE

Pluijm; tunawapa Simba mechi mbili

Wilbert Molandi, Dar es Salaam WAKATI wapinzani Simba wakiongoza kwenye msimamo wa Ligi Kuu Bara, Kocha Mkuu wa Yanga Mholanzi, Hans...

READ MORE

Omary Katanga wa Efm asherehekea miaka 38

Omary Katanga akifungua shampeni kama ishara ya kujipongeza. Mashabiki wakigongesheana ‘cheers’. Katanga akikata keki. …Akiitambulisha timu nzima ya watangazaji wenzake...

READ MORE

Zlatan Ibrahimovic Kutua Man United?

Zlatan Ibrahimovic STRAIKA wa Paris Saint-Germain (PSG) Zlatan Ibrahimovic amethibitisha kuwa anatarajia kuhama kikosini hapo kwenye dirisha la usajirli, msimu...

READ MORE

Mwenye pori anapita

Wachezaji wa timu ya Simba wakishangilia. Said Ally, Dar es Salaam SIMBA ni mfalme wa pori, akipita wanyama wengine wote...

READ MORE

Kiiza: Simba msimuachie Kessy aende Yanga

Beki Hassan Kessy. Wilbert Molandi,Dar es Salaam MSHAMBULIAJI wa kutegemewa wa Simba, Mganda, Hamis Kiiza, ametoa ushauri wa bure kwa...

READ MORE

Video: Man United, Arsenal Highlights FA Cup

https://www.youtube.com/watch?v=3vIX_4vPsVE https://www.youtube.com/watch?v=YGSKvXpIU6g

READ MORE