×

Michezo

Mayele Amvuta Yanga Winga AS Vita

KAMA ulikuwa unahisi mshambuliaji Fiston Mayele anawapa furaha mashabiki wa Yanga na kuishia tu hapa nchini, basi utakuwa unajidanganya.  ...

READ MORE

Moloko Arudi Na Mzuka Wa Ubingwa Yanga

KIUNGO wa Yanga, Jesus Moloko, amefunguka kuwa kwa sasa anatamani sana kurejea kwenye kikosi hicho ili kuendeleza mapambano ya kulisaka...

READ MORE

Pablo Ajiapiza Robo Fainali Shirikisho Afrika

KUELEKEA mchezo wao wa mwisho wa Kundi D Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya USGN, Kocha Mkuu wa Simba, Pablo...

READ MORE

Michezo Ya Kufuzu Kombe La Dunia 2022 Inaendelea Wikiendi Hii

Burudani ya soka ipo kwenye michezo ya kimataifa, baadhi ya mataifa yameshafuzu kucheza Kombe la Dunia 2022 huku mengine yakikwama...

READ MORE

Kim Poulsen: Hii Taifa Stars Ni Tamu Balaa

KOCHA Mkuu wa Taifa Stars, Kim Poulsen, amesema kuwa Watanzania wanatakiwa kuelewa kuwa wana timu bora sana ya taifa kwa...

READ MORE

Aucho Ashusha Presha Yanga

UONGOZI wa Yanga, umethibitisha kuwa, kiungo wa timu hiyo, Khalid Aucho, yupo fiti kwa asilimia 100, ambapo ameruhusiwa kujiunga na...

READ MORE

Macedonia Kaskazini Yaishangaza Italia, Yaiondoa Kombe la Dunia

Mabingwa wa Ulaya Italia hawatacheza Kombe la Dunia la 2022 baada ya kushangazwa na Macedonia Kaskazini katika mechi yao ya...

READ MORE

Simba Yatua kwa Beki ASEC

IMEFAHAMIKA kuwa Simba imeanza kumnyemelea beki katili wa kushoto anayekipiga ASEC Mimosas, Wonlo Coulibaly raia wa Ivory Coast. Nyota huyo...

READ MORE

Rekodi za mastaa Yanga v Simba zitachafua hali ya hewa

BADO kidogo kitaumana Uwanja wa Mkapa kwa watani wa jadi kukutana huku kwa sasa wachezaji wa timu zote mbili wakiwa...

READ MORE

Polisi yakamata shehena ya jezi feki za Simba

Jeshi la Polisi Mkoani Kilimanjaro linawashikilia watuhumiwa 11 wakiwemo wafanyabaishara wa Manispaa ya Moshi, Mkoani humo kwa kuuza na kusambaza...

READ MORE

Kim Polsen akoshwa na bao la Samatta

KOCHA wa Timiu ya Taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’ Kim Polusen ameonekana kukoshwa na bao la pili kwenye mchezo wa...

READ MORE

Mastaa Simba Waapa Caf

BAADA ya kikosi cha Simba kutua nchini kikitokea nchini Benin walikokuwa kwenye mchezo wao wa Kombe la Shirikisho Afrika dhidi...

READ MORE

Yanga Waibana Simba Kotekote

VINARA wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Yanga wamewabana kotekote mabingwa watetezi wa ligi na Kombe la Shirikisho, Simba kwa kuwa...

READ MORE

Simba Kwa Kona Inasikitisha Kombe la Shirikisho

IKIWA imecheza michezo mitano kimataifa katika hatua ya makundi kwenye Kombe la Shirikisho Afrika, rekodi za Simba upande wa kona...

READ MORE

Simba Yatua Kwa Beki Kisiki Wa ASEC

  Coulibaly Ambaye Pia Anamudu Kucheza Beki Ya Kulia Na Kiungo Mkabaji, Mwenyewe Akizungumza Kutoka Ivory Coast Ameliambia Championi Jumatano...

READ MORE

Neymar amzidi mshahara Messi

TAARIFA ya orodha ya wachezaji wanaoingiza mshahara mrefu kwenye Ligue 1 imetoka, huku mchezaji nyota zaidi kwenye ligi hiyo, Lionel...

READ MORE

Serikali yasema VAR haikwepeki Tanzania

Serikali imetilia mkazo kuwa kwa namna matumizi ya teknolojia yanavyozidi kupiga hatua hakuna kipingamizi kwamba Tanzania inahitajika kuileta teknolojia ya...

READ MORE

Saido, Moloko Wavuruga Mipango Yanga

KOCHA Mkuu wa Yanga, Mtunisia, Nasreddine Nabi, amepanga kuliboresha eneo la winga ndani ya kikosi chake ambalo limeonekana kuwa na...

READ MORE

Gofu European Tour Aprili 7

SERIKALI kwa kushirikiana na Chama cha mchezo wa Gofu Tanzania (TGU), kimethibitisha kuwa wenyeji wa mashindano ya Gofu Europe Tour...

READ MORE

Wawa atuliza mzuka wa ubingwa Simba

BEKI wa kati wa Simba, Muivory Coast, Pascal Wawa, amewataka mashabiki wa timu hiyo kupunguza presha ya ubingwa wa Ligi...

READ MORE

Senzo Aionya Simba kwa Mayele

KASI ya ufungaji mabao aliyonayo mshambuliaji Mkongomani wa Yanga, Fiston Mayele kwenye Ligi Kuu Bara msimu huu imemuibua Ofisa Mtendaji...

READ MORE

Kocha Simba: Yanga SC Bingwa

KOCHA Mkuu wa KMC, Thierry Hitimana, mwenye historia na Simba, amekubali na kukiri kuwa msimu huu ubingwa wa Ligi Kuu...

READ MORE

Salah wa Liverpool Aingia Rada za PSG na Barcelona

MOHAMED Salah mshambuliaji wa Liverpool anatajwa kuingia katika rada za PSG na Barcelona ambazo zinahitaji saini yake. Mkataba wake ndani...

READ MORE

Simba Yahamisha Makali ya Caf Ligi Kuu Bara

KATIKA kuhakikisha wanautetea ubingwa wa Ligi Kuu Bara, Simba wametamba kurejesha makali yao ya Kombe la Shirikisho Afrika katika Ligi...

READ MORE

Simba Wapewa Ulinzi wa Kijeshi Benin

 KIKOSI cha Simba SC ambacho kwa sasa kipo Benin kwa ajili ya kucheza dhidi ya ASEC Mimosas leoJumapili, unaambiwa ulinzi...

READ MORE

Rage Aionya Simba Kwa Yanga

ALIYEWAHI kuwa Mwenyekiti wa Klabu ya Simba, Ismail Aden Rage, ameitaka timu hiyo kufanya kazi ya ziada kama kweli wanataka...

READ MORE

WCB Wagomea Tuzo za Basata… Listi Ipo Hapa

Baraza la Sanaa la Taifa (Basata) limetangaza majina ya wasanii mbalimbali wanaowania tuzo za muziki zikiwa na vipengele 51 ambapo...

READ MORE

Mastaa Wawili Wapangua Kikosi cha Nabi

KATIKA kuelekea mchezo wa leo Jumamosi wa Ligi Kuu Bara dhidi ya KMC, wachezaji wawili wa Yanga wanatarajiwa kupangua kikosi...

READ MORE

Simba Itacheza Fainali CAF

MAKOCHA wawili wakubwa ndani ya Afrika, Mcongo, Raoul Shungu wa AS Vita na Mnyarwanda, Thiery Hitimana wa KMC aliyewahi kukaimu...

READ MORE

Bao Bora Afrika Lampa Jeuri Sakho

  KUFUATIA bao lake alilofunga dhidi ya RS Berkane kuchagulia kuwa bao bora la wiki la Kombe la Shirikisho Afrika,...

READ MORE

Kocha Azam Aapa Kutibua Ubingwa Yanga

BAADA ya Jumatano kuibuka na ushindi wa mabao 2-1 ugenini dhidi ya Namungo, Kocha Mkuu wa Azam, Abdul Hamid Moallin,...

READ MORE

Nabi Awatengea Simba Dakika 180

KOCHA Mkuu wa Yanga, Nasreddine Nabi, ametenga mechi mbili za ligi ambazo ni sawa na dakika 180 kabla ya mchezo...

READ MORE

Kocha Lampard Avunjika Mkono Kisha Kushangilia Ushindi

FRANK Lampard, Kocha Mkuu wa Everton amesema kuwa amevunjika mkono wakati wa kushangilia bao la ushindi timu yake ilipokuwa ikicheza...

READ MORE

Burudani Ya Wikiendi Ipo Kwenye Laliga, Nyasi Zitaumia!

Msimu wa 2021/22 unaendelea kushika kasi. Wikiendi hii ni EPL, LaLiga, Ligue 1, FA Cup na Copa Diego Maradona kutimua...

READ MORE

Simba Wataja Kifaa Kilichowamaliza Berkane Dar

BAADA ya kupata pointi tatu za nyumbani, uongozi wa Simba umeibuka na kumtaja kiungo wao mkabaji Jonas Mkude ndiye aliyekuwa...

READ MORE

Nabi Afunga Hesabu Mapema

NJE ya uwanja, tayari Kocha Mkuu wa Yanga, Mtunisia, Nasreddine Nabi amewamaliza wapinzani wake, KMC wenye maskani yao Kinondoni, Dar...

READ MORE

Simba Wanaitaka Kweli Fainali Shirikisho Afrika

HUKU wakiwa kwenye maandalizi ya mchezo wao wa tano wa hatua ya makundi ya Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya...

READ MORE

Simba Yawaingiza Chaka ASEC Mimosas

WAPINZANI wa Simba, ASEC Mimosas ya nchini Ivory Coast, wajiandae kukutana na sapraizi mara watakapokutana katika mchezo ujao wa Kombe...

READ MORE

Nabi Aja na Mikakati Mipya ya Ubingwa Mtanzania

KOCHA Mkuu wa Yanga, Mtunisia, Nasreddine Nabi amepanga kuja na mikakati mipya itakayompa matokeo mazuri ya ushindi ili kufanikisha malengo...

READ MORE

Pablo Awapa Majukumu Mazito Morrison, Sakho

KOCHA Mkuu wa Simba, Pablo Franco amesema amefurahishwa viwango vya mastaa wake hususani viungo, Pape Sakho na Bernard Morrison katika...

READ MORE