×

Wapenzi Wa Marathon Watakiwa Kujiandaa Arusha Park Wildlife Marathon

MKUU wa Wilaya ya Meru Eng. Richard Ruyango amewataka wapenzi wa marathon kujitokeza kwa wingi kushiriki Arusha Park Wildlife Marathon...

READ MORE

Nunua na Soma Gazeti la Championi na Ijumaa Wikienda kirahisi zaidi hapa

Jipatie nakala ya Gazeti la Championi na Gazet la Ijumaa Wikienda kirahisi zaidi popote ulipo, ndani na nje ya Tanzania...

READ MORE

Lulu: Sijawahi Kupanda Bodaboda

ELIZABETH Michael au Lulu ni mwigizaji ambaye ni nembo ya Bongo Movies kwani alianza kuigiza akiwa na umri wa miaka...

READ MORE

Mnyukano Wa Kufa, Kupona Kesi Ya Mbowe, Jaji Apingwa-Video

KARIBU kutazama kipindi bora cha asubuhi ‘FRONT PAGE’ Hapa utapata kujua habari zilizojiri kutoka kwenye magazeti pamoja na uchambuzi makini…....

READ MORE

Mourinho Aiponda PSG vs Madrid

JOSE Mourinho, Kocha wa AS Roma, amesema hakufurahishwa na mchezao kati ya PSG dhidi ya Real Madrid, huku akidai kwamba...

READ MORE

Shepu Za Sajari Zatikisa Bongo

WAKATI msanii wa Bongo Movies, Rose Alphonce almaarufu Muna Love akimrudia Mungu wake na kumuomba toba kwa kile alichokifanya huku...

READ MORE

Yanga Ina Presha ya Ubingwa

NASREDDINE Nabi, Kocha Mkuu wa Yanga, amesema kuna presha kubwa katika kusaka ushindi uwanjani ambao utawapa ubingwa kutokana na kila...

READ MORE

Itel A58 Yawa Gumzo Ni Kipekee Zaidi

Kampuni ya simu za mkononi ya itel imeachia smartphone mpya  inayotoka kwenye kizazi cha “A” Series ambayo ni A58. Taarifa...

READ MORE

Gigy: Hawajui Maisha Hao

MWANAMAMA mtata kunako Bongo Flevani, Gift Stanford almaarufu Gigy Money, anasema kuwa, asilimia kubwa ya watu wanaokesha kumsema vibaya mitandaoni...

READ MORE

Yasome Hapa Magazeti ya Leo Februari 21, 2022

Hapa tumekusogezea kurasa za mbele na za nyuma za magazeti yote ya Tanzania leo Februari 21, 2022 Usipitwe na Matukio,...

READ MORE

Babu Tale, Salome Makamba Wazungumzia Hali ya Prof. Jay

  Mbunge wa Morogoro Vijijini, Hamisi Shaban Taletale ambao wapo katika Kamati ya kudumu ya Bunge ya Huduma na Maendeleo...

READ MORE

JNIA Terminal II Kukarabatiwa

RAIS Samia Suluhu Hassan amesema serikali imetia saini mkataba wa makubaliano ya ukarabati na maboresho ya uwanja wa ndege wa...

READ MORE

Malkia Elizabeth II Akutwa na Covid-19

KASRI  la Buckingham limethibitisha kuwa Malkia wa Uingereza Elizabeth II amebainika kuugua ugonjwa wa  Covid- 19  leo Februari 20, 222...

READ MORE

Sakho, Banda Wampa Jeuri Pablo Simba

 KUREJEA kwa Pape Ousmane Sakho ambaye aliumia katika mchezo dhidi ya ASEC Mimosas na kuimarika kwa kiwango cha winga Peter...

READ MORE

Mapokezi Ya Rais Samia Akitokea Ubelgiji (Picha +Video)

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, anawasili nchini kutoka Ubelgiji, Leo Februari 20, 2022 baada ya...

READ MORE

Aliyerudisha Begi Lenye Mamilioni Apewa Tuzo

MKULIMA mmoja nchini Benin, Baraka Amidou (37), amepewa tuzo ya heshima kutoka kwa mamlaka ya nchi yake, baada ya kukabidhi...

READ MORE

Tanzania Yashika Nafasi ya 21 Unafuu wa Kununua Gb 1

MAMLAKA   ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imesema Tanzania ni moja kati ya Nchi 155 Duniani ambazo Intanenti yake ni gharama nafuu....

READ MORE

Uwoya: Simlei Mwanangu Krish Kimayai

IRENE Uwoya ni mmoja wa mastaa wakubwa wa Bongo Movies anayeaminika kuwa na mkwanja mrefu ambaye anasema kuwa, pamoja na...

READ MORE

Majaliwa Aongeza Siku Saba Uchunguzi wa Mauaji

WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa ameridhia kuongeza muda wa siku saba kwa kamati maalum iliyopewa jukumu la kuchunguza mauaji yaliyofanyika Mtwara...

READ MORE

Kumbe Azam Fc Bado Sana

AZAM inakamata nafasi ya tatu kwenye msimamo wa Ligi Kuu Bara lakini kocha wake, Abdi Hamid Moalin, amesema bado hajaipata...

READ MORE