×

Yasome Hapa Magazeti ya Leo Jumanne, Januari 11, 2022

Hapa tumekusogezea kurasa za mbele na za nyuma za magazeti yote ya Tanzania leo Januari 11, 2022 Usipitwe na Matukio,...

READ MORE

Nunua na Soma Gazeti la SpotiXtra kirahisi zaidi hapa

Jipatie nakala ya Gazeti la spotixtra kirahisi zaidi popote ulipo, ndani na nje ya Tanzania kwa Tsh 300/= iOS :...

READ MORE

Azam Yatinga Fainali Mapinduzi Cup, Yanga Yalala Yoo!

Matajiri wa Jiji Azam FC, wamefanikiwa kutinga hatua ya Fainali ya michuano ya Mapinduzi Cup 2022 wakimuondosha bingwa mtetezi Yanga....

READ MORE

Gabo Amtolea Mtu Uvivu

BAADA ya tetesi nyingi kusambaa mitandaoni kuwa staa wa filamu za Kibongo, Salim Ahmed almaarufu Gabo amemtelekeza mtoto aliyewahi kuzaa...

READ MORE

Afariki kwa Kudaiwa kulishwa saruji na askari wa JWTZ

Mkazi wa Kijiji cha Gumba, Kata ya Gwata wilayani Kibaha mkoani Pwani, Bakari Mbagara (63) amefariki dunia kwa kile kinachodaiwa...

READ MORE

Bei ya Mahindi Haikamatiki Sokoni

BEI ya mahindi katika masoko mbalimbali mikoa ya Kanda ya Kaskazini (Arusha, Kilimanjaro, Tanga na Manyara), haikamatiki huku bidhaa hiyo...

READ MORE

Bwalya: Tunazidi Kuingia Kwenye Mfumo wa Kocha

RALLY Bwalya, kiungo wa Klabu ya Simba inayonolewa na Kocha Mkuu, Pablo Franco amesema kuwa bado wanaendelea kuingia kwenye mfumo...

READ MORE

Pablo Apangua Kikosi Simba SC

MSHAMBULIAJI mpya wa Yanga, Crispin Ngushi amesema ataitumia timu hiyo kama daraja la kwenda kucheza soka la kulipwa nje. Ngushi...

READ MORE

Maskini Menina, Anahitaji Msaada wa Haraka

WAKATI Dunia ikiwa kwenye pilikapilika za mwisho wa mwaka 2021 na kuingia 2022, aliibuka msanii wa Bongo Fleva, Tamthiliya na...

READ MORE

Nusu Fainali Mapinduzi, ni Vita ya Kisasi

MICHUANO ya Kombe la Mapinduzi sasa imeingia hatua ya nusu fainali, ambapo timu nne zote kutoka Tanzania Bara zimefanikiwa kufuzu...

READ MORE

Ajiua kwa Kujinyonga Nje ya Kanisa Ibada Ikiendelea

MWANANCHI mmoja wa kaunti ya Homa Bay amejinyonga kwa kitanzi hadi  kufa nje ya kanisa wakati ibada ikiendelea.   Joshua...

READ MORE

Dkt. Tulia Achukua Fomu ya Uspika

Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Tulia Ackson leo Jumatatu, Januari 10, 2022 amechukua fomu ya...

READ MORE

Baba Amuua Mwanaye Baada ya Kumkuta Kitandani na Mpenzi Wake

Polisi wa Kaunti ya Murang’a nchini Kenya wanamshikilia mwanaume mwenye umri wa miaka 41 kwa kosa la kumuua mtoto wake...

READ MORE

Kaburi la Mtoto Lafukuliwa, Mwili Watupa Mtaani

WAOMBOLEZAJI wakiwa kwenye mazishi ya mara ya pili ya mtoto Sharifa Abasi ambaye mwili wake ulifukuliwa na watu wasiojulikana na...

READ MORE

Dkt. Tulia: Tutaikosoa Serikali kwa Nidhamu – Video

Naibu Spika, Dkt. Tulia Ackson akiongea katika hafla ya kuwaapisha mawaziri, manaibu na viongozi wengine, amewapongeza wote walioteuliwa na kuwashauri...

READ MORE

ECOWAS Yafunga Mipaka Mali

Mataifa ya Afrika Magharibi yamekubaliana kuiwekea Mali vikwazo vikali ikiwemo kufunga mipaka yao, kuvunja mahusiano ya kidiplomasia na kuweka vikwazo...

READ MORE

Mayele: Tunawapiga Azam

MSHAMBULIAJI wa Yanga, Fiston Mayele amesema kuwa wanahitaji kupata ushindi kwa hali yoyote dhidi ya Azam ili waweze kutinga katika...

READ MORE

Kaze awafungia full mziki Azam FC

KOCHA Msaidizi wa Yanga Mrundi, Cedric Kaze amepanga kukitumia kikosi chake chote cha kwanza katika mchezo wao dhidi ya Azam...

READ MORE

Uamuzi Mdogo Kesi ya Sabaya Kutolewa Januari 14

Mahakama ya Hakimu Mkazi Arusha imepanga Januari 14, 2022 kutoa uamuzi mdogo endapo aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai Lengai...

READ MORE

Stephen Masele Achukua Fomu Kuwania Uspika

ALIYEKUWA Mbunge wa Jimbo la Shinyanga Mjini Stephen Julius Masele leo Jumatatu, Januari 10, 2022 amechukua Fomu ya kugombea Kiti...

READ MORE