×

Mfahamu Ummy Doll wa Dar Ambaye Kitoweo Chake ni Mende

BAADHi ya wadudu hutajwa kuwa chakula bora chenye protini na kilicho chenye ladha nzuri katika jamii mbalimbali. Takriban spishi 20,000...

READ MORE

TANZIA: RC Shigella Afiwa na Mkewe

Mkuu wa Mkoa wa Morogoro, Martine Shighela,amefiwa na mkewe usiku wa kuamkia leo katika hospitali ya Aghakhan Jijini Dar es...

READ MORE

Chama Aanza Vibaya Simba

MARA baada ya kipyenga cha mwisho cha mchezo wa Ligi Kuu Bara kupulizwa, haraka mabosi wa Simba walifanya kikao cha...

READ MORE

Wanafunzi Walionusurika Ajali ya Lucky Vincent wafanya maajabu kidato cha IV

WANAFUNZI watatu walionusurika kwenye ajali ya Shule ya Lucky Vincent, wamefanya maajabu katika mtihani wa kidato cha nne na kufaulu...

READ MORE

5G Yaharibu Safari za Ndege Marekani

Mashirika makubwa ya ndege Emirates, Air India, Air Nippon na Japan Airlines yamesitisha safari zake za kwenda Marekani kutokana na...

READ MORE

Yanga Waishtukia Simba Kwa Bangala

YANGA ni kama wameshtukia kitu vile, ni baada ya mabosi wa timu hiyo kumuongezea mkataba wa mwaka mmoja kiraka wake...

READ MORE

Live: Skendo Ya Trafiki, Kesi Ya Makonda , Marufuku Majina Ya JPM, Samia Kutajwa. Front Page

Karibu kutazama kipindi bora cha asubuhi ‘FRONT PAGE’ Hapa utapata kujua habari zilizojiri kutoka kwenye magazeti pamoja na uchambuzi makini…....

READ MORE

Nafasi za Kazi BRELA, ICT Officer

POST ICT OFFICER II (NETWORK ENGINEER) – 1 POST POST CATEGORY(S) IT AND TELECOMS EMPLOYER Business Registrations and Licensing Agency...

READ MORE

Maswali Magumu Masoko Kuteketea kwa Moto

Matukio ya ajali za moto katika masoko nchini yameibua maswali matano yanayokosa majibu kutoka mamlaka husika, huku yakizidi kuathiri maisha...

READ MORE

Yasome Hapa Magazeti ya Leo, Alhamisi Januari 20, 2022

Hapa tumekusogezea kurasa za mbele na za nyuma za magazeti yote ya Tanzania leo Januari 20, 2022 Usipitwe na Matukio,...

READ MORE

Nunua na Soma Gazeti la SpotiXtra kirahisi zaidi hapa

Jipatie nakala ya Gazeti la spotixtra kirahisi zaidi popote ulipo, ndani na nje ya Tanzania kwa Tsh 300/= iOS :...

READ MORE

Kibaha Chalinze Jiandaeni

Serikali kupitia Wakala wa Barabara nchini (TANROADS) inatarajia kuanza kufanya kazi ya usanifu wa ujenzi wa Barabara ya njia nne...

READ MORE

Sabaya Adai Gari Lake Mahakamani

ALIYEKUWA Mkuu wa Wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya ameiomba Mahakama imrudishie mapema gari yake alilonunua kwa fedha zake halali...

READ MORE

Sabaya Aangua Kilio Kortini

MSHTAKIWA namba moja Lengai Ole Sabaya katika kesi ya uhujumu inayomkabili na wenzake amejikuta akitokwa na Machozi mahakamani hapo wakati...

READ MORE

Kaligraph Kurejea Shule

Rapa nyota wa mziki wa kufokafoka, Khaligraph Jones amefichua mipango ya kurejea darasani kuendela na masomo yake baada ya kumaliza...

READ MORE

Mjamzito Auawa Kisa Kukataa Kwenda kwa Mganga

Jeshi la Polisi mkoani Songwe linamshikilia mkazi wa Kata ya Mlale wilayani Ileje, Shukrani Kamwela mwenye umri wa miaka 16...

READ MORE

Yanga Yajipigia Mbuni FC, Mukoko Atubia Mabao 2

UWANJA wa Sheikh Amri Abeid dakika 90 zimekamilika kwenye mchezo wa kirafiki kati ya Yanga na Mbuni ambapo ni Yanga...

READ MORE

Rais Samia Aongoza Kikao cha Baraza la Mawaziri Dodoma

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan leo ameongoza Kikao cha Baraza la Mawaziri kilichofanyika leo tarehe...

READ MORE

Simba Kituo Kinachofuata Manungu

BAADA ya kurejea Dar wakitoka Mbeya mabingwa watetezi wa Ligi Kuu Bara kituo chao kinachofuata ni Manungu. Chini ya Kocha...

READ MORE

Yanga Kutesti Mitambo Leo

VINARA wa Ligi Kuu Bara Yanga leo watakuwa na kazi ya kutesti mitambo kwenye mchezo wa kirafiki dhidi ya Mbuni...

READ MORE