×

Bundesliga Na Epl Kuendelea Wiki Hii, Jamvi Lako Linaushindi?

Baadhi ya ligi kuendelea wiki hii. Bundesliga na EPL ndio kumenoga zaidi. Miamba kadhaa kushuka viwanjani kuchuana ndani ya dakika...

READ MORE

Watu 12 Wafariki kwa Kujinyonga Njombe

MKUU wa Wilaya ya Wanging’ombe mkoani Njombe, Lauteri Kanon amesema, wananchi 12 kuanzia Januari hadi Novemba, mwaka huu wamejinyonga katika...

READ MORE

Mama Awanyonga Wanaye 2 Kisha Kuwachoma Moto;-Video

Mama awanyonga wanaye 2 kisha kuwachoma moto,”Akachukua godoro, akawasha moto” 

READ MORE

Walioshambulia Gari la Serikali ‘Kukiona’

MKUU wa Wilaya ya Geita, Wilson Shimo ameeleza kuwa wananchi waliohusika kushambulia gari la askari wa Wakala wa Hifadhi za...

READ MORE

Ripoti ya Vyombo vya Habari na Uripoti Uchaguzi Mkuu 2020 Tanzania

Matokeo ya Utafiti kwa namna vyombo vya Habari vya Tanzania vilivyoripoti Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2020 kwa namna vyombo hivyo...

READ MORE

Mchongo Upo Ndani Ya Wild Icy Fruits

Reels zinazozidisha ushindi mara 2.000! Wild Icy Fruits ni mchezo rahisi unaopatikana kwenye sloti ya mtandaoni, una reels 5, safu...

READ MORE

Nafasi ya Kazi The Citezen, Assistant News Editor

Industry : Print /Digital Media Job Function : Editorial Content Job Experience Level : Mid Level Minimum Years of Experience...

READ MORE

Vodacom Yawafikia Wateja Wake, Yafungua Duka la Kisasa Jijini Mwanza

MKUU wa Mkoa wa Mwanza, Mhandisi. Robert Gabriel (kushoto) akikata keki wakati wa ufunguzi wa duka la kisasa la kampuni...

READ MORE

Yasome Hapa Magazeti ya Leo Desemba 14, 2021

Hapa tumekusogezea kurasa za mbele na za nyuma za magazeti yote ya Tanzania leo Desemba 14, 2021. Usipitwe na Matukio,...

READ MORE

Nunua na Soma Gazeti la SpotiXtra kirahisi zaidi hapa

Jipatie nakala ya Gazeti la spotixtra kirahisi zaidi popote ulipo, ndani na nje ya Tanzania kwa Tsh 300/= iOS :...

READ MORE

Elon Musk: Ongezeni Watoto

Mjasiriamali na tajiri namba moja duniani Elon Musk amesema ustaarabu utaisha iwapo watu hawatakuwa na watoto zaidi na kusisitiza kuwa...

READ MORE

Kocha Azam Alia Kumkosa Nado

KOCHA msaidizi wa klabu ya Azam, Vivier Bahati ameweka wazi kuwa miongoni mwa changamoto kubwa ambayo kikosi chao kinapitia kwa...

READ MORE

Yanga Yaingia Chimbo Kutafuta Straika Mpya

UONGOZI wa Yanga umeweka wazi kuwa kwa sasa upo kwenye hesabu za kumsaka mbadala wa mshambuliaji wao Yacouba Songne ambaye...

READ MORE

Breaking: Lwandamia Atimuliwa Azam FC

Uongozi wa klabu ya Azam FC umesitisha mkataba wa Kocha kutoka nchini Zambia George Lwandamina na Msaidizi wake kutoka Burundi...

READ MORE

Pablo Franco: Tulieni, Huyu Inonga Bado, Atawanyoosha

LICHA ya beki Mkongomani wa Simba, Henock Inonga Baka kuonyesha kiwango bora katika mchezo wao wa Jumamosi dhidi ya Yanga,...

READ MORE

Nafasi ya kazi Citi Bank Group Tanzania, Analyst

  Analyst Job Req ID 21329534 Primary Location Dar es Salaam, Tanzania Job Category Institutional Banking The Analyst is an...

READ MORE

Nabi: Kwa Yanga hii, Tunabeba Ubingwa

  Dar es Salaam: KOCHA Mkuu wa Yanga Mtunisia, Nasreddine Nabi ametamba kwa jinsi timu anavyoitengeneza, basi wanachukua ubingwa wa...

READ MORE

NCCR Yaungana na Chadema Kususia Mkutano

VYAMA vya NCCR-Mageuzi na Chadema vimeungana kususia mkutano ulioitishwa na Baraza la Vyama vya Siasa. Mkutano huo wenye la lengo...

READ MORE

Hakimu Kesi ya Kigogo Chadema Ahamishwa Mahakama

KESI inayomkabili Mwenyekiti wa Baraza la Wazee la Chadema (Bazecha), Hashimu Juma Issa (63) imeahirishwa baada ya hakimu anayesikiliza shauri...

READ MORE

UCL: Man U Yapewa Atletico, PSG v Madrid

BAADA ya kupangwa kisha kufutwa tena, hii ndio droo ya mwisho (ya marudio) mechi za 16 Bora Ligi ya Mabingwa...

READ MORE