×

Wikiendi Bomba Ndani Ya Epl, Serie A Na Ligue 1

Ni wikiendi inayopamba na michezo kadhaa ya kukata na shoka kwenye ulimwengu wa soka barani Ulaya. EPL, Serie A na...

READ MORE

Staa NBA Aliyegomea Chanjo Asababisha Maandamano

Nakuvutia hii kutoka pande za Marekani ambapo maandamano makubwa yamezuka kumsapoti staa wa NBA  Kyrie Irving, anayekiwasha katika timu ya...

READ MORE

Yasome Hapa Magazeti ya Leo Ijumaa, Oktoba 29, 2021

Hapa tumekusogezea kurasa za mbele na za nyuma za magazeti yote ya Tanzania leo Oktoba 29, 2021. Usipitwe na Matukio,...

READ MORE

Mavazi ya ‘Squid Game’ Yatafutwa Zaidi Mitandaoni

Filamu ya Kikorea ya ‘Squid Game’ iliyoachiwa rasmi Septemba 17, 2021, hadi sasa inaongoza kwa  mavazi na vitu vilivyotumika katika...

READ MORE

Nunua na Soma Gazeti la Championi na Ijumaa kirahisi zaidi hapa

Jipatie nakala ya Gazeti la Championi na Gazeti la Ijumaa kirahisi zaidi popote ulipo, ndani na nje ya Tanzania kwa...

READ MORE

Baba Amuua Mtoto Wake kwa Deki

Jeshi la polisi Mkoani Manyara linamshikilia Mkazi wa Kijiji cha Bassoutu wilayani Hanang, Elibariki Shaban kwa tuhuma za kumpiga kwa...

READ MORE

 UDOM Yamsimamisha Mhadhiri kwa Tuhuma za Ngono

CHUO Kikuu cha Dodoma (UDOM) kimemsimamisha kazi mhadhiri wa chuo hicho, Basil Mswahili kufanya majukumu yake yote ikiwa ni pamoja...

READ MORE

Sabaya Alia na Vyombo vya Habari

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Mkoa wa Arusha leo Oktoba 28, 2021, imeendelea kusikiliza kesi namba 27/2021 ya uhujumu uchumi inayomkabili...

READ MORE

Shilole, Alikiba Kimeumana! Una Kiburi cha Kishamba, Diamond Amekugaragaza

KIMEUMANA… Hivyo ndivyo unavyoweza kusema! ni baada ya Supastaa wa Bongo Fleva, Alikiba kudai kwamba siku ya uzinduzi wa Albamu...

READ MORE

Mrembo Ajiua Kisa Kutelekezewa Watoto, Aacha Ujumbe Insta

BINTI mwenye umri wa miaka 21, ambaye ni mama wa watoto 2, amejiuwa kutokana na msongo wa mawazo uliosababishwa na...

READ MORE

Bibi Harusi Agundua Mumewe Hana Miguu Baada ya Kufunga Ndoa

MAPENZI ni upofu na Waswahili wanasema kipenda roho hula njama mbichi! Hivyo ndivyo unavyoweza kusema kufuatia tukio lililogusa mioyo ya...

READ MORE

Nafasi za Kazi 2 Tanzania Revenue Authority (TRA), Network Administrator

POST ICT OFFICER II (NETWORK ADMINISTRATOR) – 2 POST POST CATEGORY(S) IT AND TELECOMS EMPLOYER Tanzania Revenue Authority (TRA) APPLICATION...

READ MORE

Maajabu: Tiger Afanyiwa Birthday

Nakuvutia huu uzi kutokea pande za Texas Marekani, ambapo mnyama aina ya Tiger aliyepewa jina la Elsa amefanyiwa sherehe ya...

READ MORE

Rais Samia: Kitabu Kitafsiriwe kwa Kiswahili – Video

Rais Samia ameagiza Chama Cha Wanasheria na Majaji Wanawake Tanzania (TAWJA) na Wadau wa sheria kutafsiri kitabu cha ‘TANZANIA GENDER...

READ MORE

BOT Kuchukua Hatua Matumizi Mabaya ya Noti

Benki Kuu ya Tanzania (BOT) imetoa onyo kwa Wananchi ambao wanakaidi onyo ambalo limetolewa mara kadhaa kuhusu namna sahihi ya...

READ MORE

Jide Naye Kupumzika Muziki

MWANAMUZIKI mkongwe kunako tasnia ya muziki wa Afro-Pop, Lady Jaydee au Jide anasema kuwa, anafikiria kupumzika muziki huo hadi mwaka...

READ MORE

Aveva Ahukumiwa Kifungo Cha Miezi Sita

Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imemhukumu kifungo cha nje cha miezi sita aliyekuwa Rais wa Simba, Evans Aveva kwa kosa...

READ MORE

Wameacha Majina Yao ya Asili

LIMEKUWA ni jambo la kawaida kwa wasanii wa muziki wa Bongo Fleva, lakini pia wa filamu na tasnia mbalimbali kubadili...

READ MORE

CAS Yasogeza Mbele Hukumu ya Morisson vs Yanga

TAREHE ambayo hukumu ya kesi kati ya klabu ya Yanga na mchezaji Bernard Morrison ilikuwa imepangwa, imesogezwa tena mbele mpaka...

READ MORE

Breaking: Mahakama Yaamua Musiba Kumlipa Membe Bilioni 6

MAHAKAMA Kuu ya Tanzania,  imemuamuru Mmiliki wa Gazeti la Tanzanite, Cyprian Musiba kumlipa aliyekuwa Waziri mambo ya nje, Bernard Membe...

READ MORE