×

Mama Dangote: Sihongi Wanaume

Mama Dongote amemjibu mmoja kati ya mtu alie comment na kusema kua ni ngumu sana wao kuachana kutokana na kwamba...

READ MORE

🔴#LIVE​​​​​: Rais Samia Ashiriki Mkutano wa Jumuiya ya Kikristo Tanzania

Rais Samia Suluhu Hassan ameanza ziara ya kikazi ya siku mbili mkoani Morogoro kuanzia Julai 7, 2021. Akiwa mkoani humo,...

READ MORE

Video: Mzee Mpili Akutana Na Manara, Apewa Milioni Yake

 HATIMAYE afisa Habari wa Simba, Haji Manara, ametimiza ahadi yake ya kumpa Milioni Moja, Mzee Mpili, baada ya Yanga...

READ MORE

England Yatinga Fainali ya Euro 2020, Kuvaana na Italia

BAADA ya Miaka 55, hatimaye Timu ya Taifa ya England imefanikiwa kuingia hatua ya Fainali ya michuano ya Euro 2020,...

READ MORE

Video: Morrison Aomba Radhi Kwa Mashabiki Kisa Yanga

NYOTA wa Simba, Bernard Morrison amesema kuwa anaomba msamaha kwa mashabiki wa Simba kutokana na kushindwa kupata matokeo mbele ya...

READ MORE

Guardiola Anamtaka Harry Kane

KOCHA Pep Guardiola amefunguka kuwa mpango wake ni kumsajili staa wa Tottenham, Harry Kane ila wanahitaji kuona dau lake linapunguzwa....

READ MORE

Nabi Apandisha Mzuka Yanga

BAADA ya kuvuna pointi tatu kwenye mchezo uliopita dhidi ya Simba, Kocha Mkuu wa Yanga, Nasreddine Nabi ameonekana mzuka umepanda...

READ MORE

Breaking: Rais Zuma Ajisalimisha Polisi

Rais wa zamani wa Afrika Kusini, Jacob Zuma, amejisalimisha polisi kuanza kifungo cha miezi 15 jela baada ya kuhukumiwa kwa...

READ MORE

Video: Samia Aonya Chokochoko, Wapinzani Wadai Ni Haki Yao

 KARIBU Utazame ‘255 FRONT PAGE’ Kipindi bora cha Asubuhi kutoka Global Radio, ujipatie uchambuzi wa masuala mbalimbali ya kisiasa...

READ MORE

Simba Yaitungua KMC 2-0, Yanusa Ubingwa

MABINGWA watetezi wa ligi kuu Bara Simba , imefanikiwa kuondoka na alama tatu dhidi ya KMC baada ya kuicharaza kwa...

READ MORE

Rais Kenyatta Kuzindua Miradi Usiku Kwazua Mijadala

Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta amekosolewa na raia wa nchi hiyo kwa kuzindua miradi wakati wa saa za amri ya...

READ MORE

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo Julai 8, 2021

 Hapa tumekuanikia kurasa za mbele na za nyuma za magazeti yote ya Tanzania leo Julai 8, 2021. Usipitwe na...

READ MORE

Zimbabwe Yatoa Noti Mpya ya Thamani ya Juu Zaidi

Kuanzia Jumatano nchini Zimbabwe itasambazwa noti mpya ya dola 50, ikiwa ndio yenye thamani kubwa zaidi kuwahi kutolea Zimbabwe tangu...

READ MORE

Mke wa Rais wa Haiti Hajafariki

Mke wa aliyekuwa Rais wa Haiti Jovenel Moïse (aliyeuawa jana kwa shambulio), Bi. Martine Moïse (47) hajafariki kama ilivyoripotiwa awali...

READ MORE

Nunua na Soma Gazeti la SpotiXtra kirahisi zaidi hapa

Jipatie nakala ya Gazeti la spotixtra kirahisi zaidi popote ulipo, ndani na nje ya Tanzania kwa Tsh 300/= iOS 👉 https://apple.co/38HjiCx Android 👉 http://bit.ly/38Lluc8...

READ MORE

Mzee Mpili Atoa Tamko Zito

BAADA ya Yanga kuibuka na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Simba, Jumamosi iliyopita, mwanachama maarufu wa Yanga, Mzee Mpili...

READ MORE

Mrithi wa Metacha Yanga Huyu Hapa

Klabu ya Yanga imefanya mazungumzo na golikipa wa Klabu ya FC San Pedro ya nchini Ivory Coast, Tape Eliezer Ira,...

READ MORE

Samia: Chokochoko Zimeanza, Washajua Matumbo Yao Yanajaaje – Video

    RAIS wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania ameanza ziara ya kikazi ya siku mbili mkoani Morogoro na kupata...

READ MORE

Bao la Mauya Lamtesa Gomes

KOCHA Mkuu wa Simba, Mfaransa, Didier Gomes, amesema anasikitika muda mwingi aliopoteza kutazama video za michezo iliyopita ya watani wao...

READ MORE

Papa Francis Awateua Watanzania Wawili

Kiongozi Mkuu wa Kanisa Katoliki Duniani, Papa Francis amewateua Padri Henry Mchamungu na Padri Stephano Musomba kuwa maaskofu wasaidizi wa...

READ MORE