×

Nunua na Soma Gazeti la SpotiXtra na Jarida la Hot Pot kirahisi zaidi hapa

Jipatie nakala ya Gazeti la spotixtra na Jarida la Hot Pot kirahisi zaidi popote ulipo, ndani na nje ya Tanzania...

READ MORE

Rais Samia Ateua Ma-RAS Wapya, Amng’oa Erio NSSF

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan ameteuwa Makatibu Tawala wa Mikoa na wakuu wa taasisi kama...

READ MORE

Denti Aanguka, Afa Akijibu Swali La Hesabu

Binti mmoja wa miaka nane alianguka na kufariki aliposimama kujibu swali la hesabu katika shule ya msingi ya New View...

READ MORE

Mo Dewji Ampa Shavu Mondi

Mfanyabiashara na bilionea maarufu Bongo, Mohamed Dewji amempongeza Msanii machachari wa Bongofleva, Naseeb Abdul, ‘Diamond Platnumz’ kwa kuteuliwa kuwania tuzo...

READ MORE

Mabeyo Ashiriki Kuagwa Jenerali Shoke Afrika Kusini

MKUU wa Majeshi nchini Tanzania (CDF), Jenerali Venance Mabeyo  amehudhuria sherehe za kuagwa kwa mkuu majeshi wa Afrika ya Kusini,...

READ MORE

Wakati Kesi ya Paula Ikiwa Mbichi… Harmo Amgusa Rayvanny

WAKATI ile kesi yao ya ‘washa taa’ ikiwa bado ni mbichi, mahasimu wengine wawili kunako Bongo Fleva, Rajab Abdul ‘Harmonize’...

READ MORE

Simba Yatakata Lindi, Yazidi Kujikita Kileleni 3-1

COME back ya kibabe unaweza kuiita hivyo, baada ya timu ya Simba kuutoka nyuma kufungwa bao moja kufanikiwa kuibuka na...

READ MORE

Lamine Afunguka Kila Kitu, Yanga Wagoma

LICHA ya uongozi wa Yanga kufunguka kuwa sakata la nidhamu la nahodha wa timu hiyo, Lamine Moro limemalizwa, nahodha huyo...

READ MORE

Ohoooo! Padri Katoliki Aacha Gumzo

Padri wa Kanisa Katoliki ambaye ni raia wa Italia, Father Adolf Poll ameacha gumzo kubwa nchini Kenya. Padri huyo ameondoka...

READ MORE

Mondi Kama Mswati

Staa wa muziki Afrika Mashariki, Nasibu Abdul au Diamond Platnumz amewapagawisha mashabiki wake kwa kuachia video inayomuonesha akiwa studio na...

READ MORE

Umewasikia H. Mama na Mama Levo?

Msanii H.Baba anamuita mwenzake Mama Levo akimaanisha msanii mwenzake Baba Levo.   Eheee! Nadhani umeshasikia hiyo kitu na Baba Levo...

READ MORE

Hatimaye Mapendekezo Mkoa wa Chato Yapitishwa

KIKAO maalumu cha ushauri cha Mkoa wa Geita, kimeridhia kuanzishwa kwa mkoa mpya wa Chato na kupendekeza mkoa huo mpya...

READ MORE

Masau Bwire: Tutawakung’uta Simba Tena

OFISA Habari wa Ruvu Shooting, Masau Bwire, amesema kuwa watawakung’uta tena wapinzani wao, Simba watakapokutana katika mchezo wao wa Ligi...

READ MORE

Tanzia: Mke wa Clatous Chama Afariki Dunia

KIUNGO wa Klabu ya Simba na Timu ya Taifa ya Zambia, Clatous Chama (29) amefiwa na mke wake Bi. Mercy...

READ MORE

Mama Aibiwa Mtoto Mapokezi

MTOTO David Mfambo mwenye umri wa siku saba ameibiwa katika hospitali ya wilaya ya Frelimo mkoani Iringa, baada ya Mama...

READ MORE

PROMOSHENI SUPA FRIDAY-SHINDA FRIDGE, TV DECORDER NA SAFARI YA MIKUMI.

Kampuni ya simu TECNO imezindua rasmi promosheni ya SUPA FRIDAY jana katika duka la TECNO Smart Hub lililopo Kariakoo. Uzinduzi...

READ MORE

Bocco Awafunika Kagere, Chris Mugalu Simba

NAHODHA wa Simba, mzawa John Bocco ameandika rekodi yake ya kufunga mabao mengi kwa muda mfupi aliotumia ndani ya uwanja...

READ MORE

Lulu Amtolea Mtu Uvivu, Kisa Mimba

MWIGIZAJI wa Bongo Movies, Elizabeth Michael ‘Lulu’ ambaye ameolewa na Mkurugenzi Mtendaji wa kituo cha Radio EFM na TVE, Francis...

READ MORE

Yacouba, Mukoko Waondoka Yanga

BAADA ya wachezaji wa Klabu ya Yanga kupewa mapumziko ya siku nne, mastaa wa timu hiyo akiwemo Yacouba Songne na...

READ MORE

Uefa Yafuta Sheria ya Bao la Ugenini

SHIRIKISHO la Mpira wa Miguu barani Ulaya, UEFA limefuta sheria ya bao la ugenini, ambayo imetumika kwa miaka 56, Sheria...

READ MORE