×

Juma Nature Afanya Balaa Dar Live – Video

MKONGWE wa Muziki wa Bongo Fleva, Juma Nature amefanya maajabu katika Jukwaa la Uwanja wa Taifa wa Burudani, Dar Live...

READ MORE

Shangwe la Zuchu: Khadija Kopa Afanya Maajabu Dar Live – Video

Malkia wa mipasho nchini Tanzania, Khadija Omary Kopa na kundi lake la Ogopa Kopa amefanya Bonge la Shoo katika Jukwaa...

READ MORE

Gari, Bajaji kwa Bei Chee, Unakosaje kwa Mfano?

TAMBAZA AUCTION MART & GENERAL BROKERS LIMITED kwa idhini tuliyopewa na Zambia Cargo and Logistic Limited tunawatangazia mnada wa hadhara utakaofanyika...

READ MORE

Majambazi 6 Mbaroni kwa Mauaji ya Mfanyabiashara Geita

JESHI la Polisi Mkoa wa Geita limefanikiwa kuwakamata watu sita wanaosadikika kuwa ni majambazi waliotekeleza tukio la mauaji ya Betrice...

READ MORE

Posho Nzito Simba Ikiiua Kaizer Chiefs

MTENDAJI Mkuu (CEO) wa Simba, Barbara Gonzalez ameweka bayana kwamba wanajua umuhimu wa mechi yao ya Robo Fainali ya Ligi...

READ MORE

Bata la Coco Beach Sikukuu ya Eid Al-Fitri – Video

Mamia ya wakazi wa Jiji la Dar es Salaam na maeneo ya jirani leo Ijumaa, Mei 14, 2021, walifurika kwa...

READ MORE

Breaking: Zidane Anasepa Tena Madrid

TAARIFA zilizoripotiwa na vy9ombo vya habari vya Hispania zinaeleza kuwa Kocha Mkuu wa Klabu ya Real Madrid, Zinedine Zidane amethibitisha...

READ MORE

Nabi Hataki Sare Yanga, ni Ushindi Tu

  KATIKA kuhakikisha Yanga wanapata ushindi katika mchezo wa kesho Jumamosi dhidi ya Namungo FC, Kocha Mkuu wa Yanga, Nasreddine...

READ MORE

Masharti Mapya ya WhatsApp Kuanza kesho

WhatsApp imetaja Jumamosi ijayo kuwa siku ya mwisho kwa mamilioni ya wateja wake kukubali masharti mapya ya utumiaji wa mtandao...

READ MORE

Rais Samia Atoa Msimamo wa Serikali Kuhusu Chanjo ya Corona – Video

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan, amesema Serikali haitapokea kila ushauri unaotolewa hasa kuhusu masuala...

READ MORE

Diamond Agawa Pesa, Chakula Tandale – Video

MSANII wa Bongofleva, Nassibu Abdul maarufu Diamond Platnumz leo Ijumaa Mei 14, 2021 amegawa fedha na chakula kwa baadhi ya...

READ MORE

Simba Watamba Tunawapiga Nje, Ndani Kaizer Chiefs

SIMBA inatarajiwa kushuka uwanjani kesho Jumamosi katika mchezo ambao inawezekana ukawa ni mwendelezo wa timu hiyo kuandika historia ya kipekee...

READ MORE

Msuva Ajipa Matumaini Kibao CAF

MSHAMBULIAJIwa kimataifa wa Tanzania anayekipiga katika kikosai cha Wydad Casablanca cha Morroco, Simon Msuva amesema kuwa watafanya kila namna kuhakikisha...

READ MORE

Yanga: Namungo Wagumu Ila Watafia Kwao

BEKI wa kati wa Yanga, Dickson Job, amesema kuwa wana uhakika watapata ushindi mnono dhidi ya Namungo FC kwenye mchezo...

READ MORE

Kocha Ajiondoa Man Utd Kisa Vifaa Vibovu

KUKOSEKANA kwa vifaa muhimu kwa ajili ya mazoezi kumetajwa kuwa chanzo cha Casey Stoney kuamua kujiondoa katika majukumu ya kuinoa...

READ MORE

Wadukuzi wa Bomba la Mafuta Walipwa Mabilioni

KAMPUNI ya Colonial ambayo inamiliki Bomba kubwa la mafuta nchini Marekani limeripotiwa kuwalipa wahalifu wa mtandaoni wanaofahamika kama DarkSide kiasi...

READ MORE

Hoteli Ya Mondi Yafungwa, Msimamizi Afunguka

MWAKA mmoja baada ya msanii mkubwa nchini Tanzania, Nasibu Abdul ‘Diamond Platumz’ kununua hoteli ya kifahari, hoteli hiyo imefungwa. Katika...

READ MORE

Marcelo Azinguana na Zidane, Atolewa Kikosini

MSUGUANO unadaiwa kuwa ni moja ya sababu ya beki wa kushoto Marcelo kuondolewa katika kikosi cha Real Madrid kilichotarajiwa kucheza...

READ MORE

Fahamu Alichokifanya Sabaya Kabla ya Kutumbuliwa

Rais Samia Suluhu Hassan jana Alhamisi Mei 13, 2021 alimsimamisha kazi mkuu wa Wilaya ya Hai mkoani Kilimanjaro, Lengai Ole...

READ MORE

Aussems: Ubora Utaibeba Simba Kwa Kaizer

KOCHA wa zamani wa Simba, Mbelgiji, Patrick Aussems, amefunguka kuwa ubora wa timu hiyo kwa sasa umekuwa mkubwa kutokana na...

READ MORE