×

Manchester United Waipa Man City Ubingwa wa Epl

BAADA ya kipigo cha 2-1 cha Manchester United wakiwa nyumbani dhidi ya Leicester City, kimeifanya majirani zao Manchester City kuwa...

READ MORE

Video: Rais Samia Atua Uganda Kushiriki Uapisho Wa Rais Museveni

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amewasili katika Uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Entebbe nchini...

READ MORE

LIVE FRONT PAGE​: Hatima Mdee, Wenzake, Baraza Kuu Laitishwa | DPP Aacha Maswali |

🔴#LIVE​: HATIMA MDEE, WENZAKE, BARAZA KUU LAITISHWA | DPP AACHA MASWALI | FRONT PAGE… KARIBU Utazame ‘255 FRONT PAGE’ Kipindi...

READ MORE

Nunua na Soma Gazeti la Championi na Risasi Kirahisi Zaidi Hapa

Jipatie nakala ya Gazeti la Championi na Gazet la Risasi kirahisi zaidi popote ulipo, ndani na nje ya Tanzania kwa...

READ MORE

Waziri Mkuu: Wasaidieni Wabunifu Wachanga

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa ameziagiza taasisi na mamlaka ambazo zinashiriki kuendeleza wabunifu wachanga zihakikishe zinawawezesha kubiasharisha ubunifu na uvumbuzi wao....

READ MORE

Magazeti ya Tanzania Leo Mei 12, 2021

Hapa tumekuanikia kurasa za mbele na za nyuma za magazeti yote ya Tanzania leo Mei 12, 2021. Usipitwe na Matukio,...

READ MORE

Kamishna wa Ardhi Apiga ‘Stop’ Umilikishwaji Viwanja Kigamboni

Kamishina wa Aridhi Kanda ya  Dar es Salaam Bw. Idrisa Kayera amesimamisha zoezi la  umilikishwaji wa viwanja vya makazi vilivyopo...

READ MORE

Breaking: Asukile wa Prisons Afungiwa Mechi Tano na Faini

NAHODHA wa kikosi cha Tanzania Prisons, Benjamin Asukile amefungiwa na Shirikisho la Soka Tanzania, (TFF) michezo mitano na faini ya...

READ MORE

Exim Bank Yatoa Zawadi ya Eid Kwa Watoto Yatima Dar, Mbeya, Shinyanga, Karatu

Dar es Salaam: Mei 11,2021; Benki ya Eximimetoa msaada wa vyakula na vinywaji kwenye vituo vinne  vya kulelea watoto yatima na...

READ MORE

Kocha: Simba Ilijiandaa Kuiangamiza Yanga

KOCHA Mkuu wa Simba, Mfaransa, Didier Gomes Da Rosa, amefunguka kuwa amesikitishwa na tukio lililotokea juzi Jumamosi katika mchezo wao...

READ MORE

Waziri Gwajima Kupambana na Ngo’s Korofi

Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dkt. Dorothy Gwajima amesema Serikali haitavumilia kuona Mashirika Yasiyo ya...

READ MORE

Breaking: Rais Samia Afanya Uteuzi Mpya

Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan Samia Suluhu Hassan leo Jumanne, Mei 11, 2021 amefanya uteuzi wa Majaji 7 wa...

READ MORE

Dili la Kane na Haaland Limebumishwa na Cavani

MCHAMBUZI wa masuala ya michezo na beki wa zamani wa kikosi cha Manchester United, Gary Nevile amesema kuwa kuongeza mkataba...

READ MORE

Gwajima: Ni Ujinga Kuruhusu Taifa Kuwa Majaribio Chanjo ya Corona

Mbunge wa Kawe (CCM), Askofu Josephat Gwajima ameshauri Serikali kuwa makini na madhara yanayoweza kujitokeza kwa wananchi iwapo Taifa litaruhusu...

READ MORE

Mkuu wa Wilaya Kibiti Afungua Mafunzo ya Kamati ya Ulinzi

Mkuu wa Wilaya Kibiti, Gulam Hussein Kifu, Mei 11, 2021 amefungua mafunzo ya kamati ya ulinzi wa wanawake na watoto...

READ MORE

Kampuni ya Kansai Plascon Yazindua Rangi Mpya

Dar es Salaam Jumanne 11 Mei 2021: Kampuni ya Kansai Plascon imezindua rangi mpya na kubadili muonekano wa nembo za...

READ MORE

Metacha Mnata Kupewa Mkataba Mpya

KIPA namba moja wa Yanga, Metacha Mnata inaelezwa kuwa anaandaliwa mkataba mpya ili aweze kusaini dili jipya.   Nyota huyo...

READ MORE

Nandy Azindua ‘Nandy Festival 2021’, Amtaja Bill Nas – Video

MWANAMUZIKI Nandy, leo Mei 11, amezindua rasmi tamasha lake la ‘NANDY FESTIVAL 2021’ lenye kauli mbiu ya ‘WATAKAA TU’.

READ MORE

Live: Foby Afunguka Bifu na Mobeto, Ishu ya Basata Kukagua Nyimbo

KATIKA kipindi cha ‘BONGO 255’ leo tupo na mwanamuziki Foby, ambaye ametambulisha ngoma yake mpya ya ‘PENDENI’…

READ MORE