×

Waziri Dk.Ndumbaro Atoa Agizo Kwa Taasisi Zake Kushirikia Tamasha La Majimaji Selebuka

Waziri wa Maliasili na Utalii, Dkt.Damas Ndumbaro ameziagiza Taasisi zote za Wizara ya Maliasili na Utalii ambazo zinatangaza Utalii na...

READ MORE

Gomes Aingilia Dili la Zimbwe Kutua Yanga

KOCHA Mkuu wa Simba, Mfaransa Didier Gomes amegoma kuona mastaa wake wakiondoka kwenye kikosi chake katika msimu ujao.   Kati...

READ MORE

Breaking: Waziri Ummy Amsimamisha Kazi Mwakabibi

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais (TAMISEMI), Ummy Mwalimu amewasimamisha kazi Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa ya Temeke, Lusubilo Mwakabibi...

READ MORE

Idriss Deby: Rais Mbabe wa Chad, Aliyeuawa Akiwa Vitani -Video

 HII ni makala inayomuelezea Rais wa Chad, Idriss Deby (68) aliyefariki dunia saa chache baada ya kutangazwa kushinda uchaguzi...

READ MORE

Lulu, Majizzo Baada Ya Ndoa Kimya Kimya.. Sherehe Harusi Yanukia

UNAAMBIWA baada ya msanii wa filamu Bongo, Elizabeth Michael ‘Lulu’ na mmiliki wa kituo cha EFM na TVE, Francis Ciza...

READ MORE

Video: Waziri Mkuu, Rais Mwinyi Washuhudia Mashindano Ya Qur’an Tukufu Afrika

MASHINDANO ya Qur’aan ya 21 ya kuhifadhi kitabu kitukufu cha ALLAH (S.W) Al Qur’an Kariim yamefanyika leo Aprili 25, 2021...

READ MORE

Air Tanzania Kuanza Safari za China Mei 8

SAFARI za ndege za Shirika la Ndege la Air Tanzania kutoka Tanzania kuelekea Guanzou nchini China zinatarajiwa kuanza May 08,2021...

READ MORE

TMA: Kimbunga Job Hakipo

MAMLAKA ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imetoa taarifa mpya leo Aprili 25, kuwa mwenendo wa Kimbunga hafifu Jobo unaonesha...

READ MORE

Nafasi za kazi Helios Tower Africa, Business Performance & Analysis Manager

Helios Towers is a leading independent telecommunications tower infrastructure company in Africa, having established one of the continent’s most extensive...

READ MORE

Simba Wakutana Kujadili Ofa ya Manula

BAADA ya mabosi wa timu ya Mamelodi Sundowns ya Afrika Kusini kuzidi kuwa ‘siriaz’ na ishu ya kuipata saini ya...

READ MORE

Mobeto Rick Ross Wazua Jambo

MWANAMITINDO maarufu Bongo, Hamisa Mobeto juzi amefanya mahojiano ya moja kwa moja (live) katika kipindi cha Self Made kinachorushwa na...

READ MORE

Takwimu za Chama Simba ni Balaa

TANGU ajiunge na timu ya Simba, Septemba 15, 2019, Clatous Chama raia wa Zambia amecheza jumla ya michezo 111, na...

READ MORE

Magazeti ya Tanzania Leo Aprili 25, 2021

Hapa tumekuanikia kurasa za mbele na za nyuma za magazeti yote ya Tanzania leo Aprili 25, 2021. Usipitwe na Matukio,...

READ MORE

Nunua na Soma Gazeti la SpotiXtra na Jarida la Hot Pot kirahisi zaidi hapa

Jipatie nakala ya Gazeti la spotixtra na Jarida la Hot Pot kirahisi zaidi popote ulipo, ndani na nje ya Tanzania...

READ MORE

Championi Lamwaga Fedha kwa Wasomaji Wake

  TIMU ya masoko ya Kampuni ya Global Publishers, leo Jumamosi, Aprili, 24 2021, ilimwaga fedha kwa wasomaji wao waliokutwa...

READ MORE

Simba Yaitungua Gwambina, Yapaa Kileleni

BINGWA mtetezi wa ligi Kuu Tanzania bara Simba  imefanikiwa kukwea kwenye kileleni kwenye msimamo wa wa ligi hiyo baada ya...

READ MORE

Breaking: Tani Moja Ya Heroin Yakamatwa Kilwa Masoko

Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya kwa kushirikiana na kikosi cha wanamaji cha Jeshi la Wananchi (JWTZ)...

READ MORE

Tuzo za WIMA 2021 Kufanyika Leo LAPF Tower

MSIMU wa pili wa utoaji wa tuzo za kuwapongeza wanawake viongozi barani Afrika zijulikanazo kama ‘WIMA Awards’ zinatarajiwa kufanyika leo...

READ MORE

Full Time: Gwambina Fc Vs Simba Sc ( 0 – 1 ) – Ligi Kuu Bara

 KOCHA Msaidizi wa Simba, Seleman Matola amesema kikosi chake kinaenda kukutana na mchezo mgumu dhidi ya Gwambina bila wachezaji...

READ MORE

Idahams Aachia Man On Fire X Falz, Peruzzi, Seyi Shay

MSANII anayefanya vizuri katika tasnia ya muziki wa kizazi kipya nchini Nigeria, Idahams amefanikiwa kukivuka kikwazo cha maradhi ya Covid-19...

READ MORE