×

Wachezaji Yanga Wachekelea Ujio wa Manji

WAKATIaliyekuwa Mwenyekiti wa Yanga, Yusuf Manji akitajwa kurejea kwenye klabu hiyo, wachezaji wa zamani wa timu hiyo wamefunguka kuhusiana na...

READ MORE

Rapa DMX Ametolewa Mashine za Kupumulia

MSANII nguli wa miondoko ya kufoka foka (Hip Hop) kutoka Marekani, Earl Simmon maarufu kama DMX ametolewa mashine za kupumulia...

READ MORE

KMC Waanza Kuiwinda Yanga SC

KIKOSI cha KMC yenye maskani yake Kinondoni jijini Dar, kimeendelea na mazoezi kujiandaa na mchezo dhidi ya Yanga ambao unatarajiwa...

READ MORE

Njia za Kutoka Jela Shamim Mwasha na Mumewe

NJIA za kumuwezesha Shamim Mwasha na mumewe Abdul Nsembo waliohukumiwa kifungo cha maisha gerezani Machi 31, mwaka huu ni mbili.Ya...

READ MORE

Mameneja Wa Tanesco Wanaokatakata Umeme Kubebeshwa Virago

WAZIRI wa Nishati, Dk. Medard Kalemani, amesema mameneja wa Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco) ambao hawatawaunganishia umeme kwa wateja waliolipia...

READ MORE

TCRA: Vifurushi Vinaweza Kutumia Siku Nne Kurejea

MENEJA wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania TCRA, James Kilaba amesema vifurushi vilivyokuwa vinatumika awali vinaweza kutumia hadi siku nne kurejea....

READ MORE

Makamu Wa Rais Mpango Ahudhuria Ibada Ya Pasaka

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Philip Isdor Mpango, amezungumza na Waumini wa Dini ya Kikristo...

READ MORE

Polisi Tanzania Yasimamisha Watano

UONGOZI wa timu ya Polisi Tanzania, umetangaza kuwasimamisha wachezaji watano kutokana na makosa ya utovu wa nidhamu.   Taarifa rasmi...

READ MORE

Namungo Vs Nkana Leo… Mkishindwa Semeni Tuwasaidie

HUU ni mchezo wa kufa au kupona kwa Namungo katika kusaka pointi tatu mbele ya Nkana FC baada ya kupoteza...

READ MORE

Wasanii Mjipange Kwa Mama Samia

WASANII wengi wa kike kwenye kurasa zenu mmefurahi taifa kupata rais mwanamke.Mmechekelea sana kumpata, Mama Samia Suluhu Hassan kuongoza usukani...

READ MORE

Penzi La Kajala na Harmonize Bundi Ametua

PENZI la Kajala Masanja na msanii Harmonize au Harmo, bundi ametua.Ishu ya kusikitisha ni kwamba wawili hao wameachana kwa aibu...

READ MORE

Mabao Yampa Kiburi Msuva

MSHAMBULIAJIwa kimataifa wa Wydad Casablanca ya Morocco, Mtanzania, Simon Msuva amefichua kuwa ndoto zake msimu huu ni kuhakikisha anakuwa mfungaji...

READ MORE

Watu Saba Wafariki Uingereza Baada ya Kuchanjwa Covid 19

WATU saba wamefariki nchini Uingereza kutokana na damu kuganda mwilini baada ya kupewa chanjo ya Oxford-AstraZeneca, mamlaka ya kudhibiti dawa...

READ MORE

Nafasi za Kazi Nne Wilaya ya Ikungi SINGIDA

District Council Jobs Government Job Opportunities IKUNGI District Council April 2021, New Jobs Ikungi 2021, New Government Jobs 2021 Ikungi...

READ MORE

Mukoko Afunguka Dili la Kujiunga na Kaizer Chiefs

HATIMAYE baada ya kiungo wa Yanga, Tonombe Mukoko kuhusishwa kuhitajika na miamba ya soka kutoka Afrika Kusini, Kaizer Chiefs, kiungo...

READ MORE

Global Publishers Tunawatakia Watanzania Pasaka Njema

Mkurugenzi Mtendaji, Uongozi na Wafanyakazi wa Global Publishers Ltd wanawatakia wasomaji wa magazeti yetu na Watanzania kwa ujumla Pasaka Njema...

READ MORE

Rais Samia Awatakia Pasaka Njema Watanzania Wote

Leo Aprili 4 Wakristo ulimweguni kote wanaadhimisha kufufuka kwa Yesu Kristo (sikukuu ya Pasaka ,Rais wa Jamhuri ya Muungano wa...

READ MORE

Magazeti ya Tanzania Leo Aprili 3, 2021

Hapa tumekuanikia kurasa za mbele na za nyuma za magazeti yote ya Tanzania leo Aprili 4, 2021. Usipitwe na Matukio, Install...

READ MORE

Nunua na Soma Gazeti la SpotiXtra na Jarida la Hot Pot kirahisi zaidi hapa

Jipatie nakala ya Gazeti la spotixtra  kirahisi zaidi popote ulipo, ndani na nje ya Tanzania kwa Tsh 300/= Gazeti la...

READ MORE

Kocha mpya Yanga Afunguka Kiwango cha Metacha, Shikalo

AKIANZAkibarua cha kukinoa hicho, Kocha Mkuu wa makipa wa Yanga raia wa Kenya. Razack Siwa amesema kuwa amevutiwa na viwango...

READ MORE