×

Mkazi wa Tanga Asepa na Lifan Cargo Ya Nmb

Benki ya NMB kupitia kampeni yake ya Bonge la Mpango imekabidhi zawadi ya pikipiki ya miguu mitatu aina ya Lifan...

READ MORE

Nunua na Soma Gazeti la SpotiXtra na Amani kirahisi zaidi hapa

Jipatie nakala ya Gazeti la SpotiXtra kirahisi zaidi popote ulipo, ndani na nje ya Tanzania kwa Tsh 300/= Gazet la...

READ MORE

Breaking News: Rais Magufuli Afariki Dunia – Video

    BREAKING NEWS: RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli (61) amefariki dunia majira ya...

READ MORE

Polisi Dar Yageukia Biashara ya Binadamu

  Jeshi la Polisi jijini Dar es Salaam limeanza kuweka mikakati kwa kushirikiana na jamii kukomesha biashara ya binadamu inayoendelea...

READ MORE

Mwambusi Ageukia ‘Mchawi’ wa Sarpong

KAIMU Kocha Mkuu wa Yanga, Juma Mwambusi ameamua kulifanyia kazi tatizo linalomfanya kutokufunga straika wa timu hiyo, Michael Sarpong kwa...

READ MORE

Mahakama Yavunja Ndoa Baada ya Wanandoa Kutengana Kwa Miaka 10

Mahakama ya Mwanzo Buguruni Jijini Dar es Salam leo Machi 17, 2021 imevunja ndoa ya Magreth Silaeli (37) Mkazi wa...

READ MORE

Live Tanga: Makamu Wa Rais Anahutubia Wananchi Muda Huu..

 MAKAMU wa Rais, Mama Samia Suluhu, ameendelea na ziara yake mkoani Tanga, Leo Machi 17 ikiwa ni siku ya...

READ MORE

Dude Apata Ajali Tatu

MSANII wa filamu Bongo Kulwa Kikumba maarufu kama Dude amesema mwaka jana 2020 haukuwa mwaka mzuri kwake kwani alipata ajali...

READ MORE

Namungo Kuwavaa Pyramids Leo

Kocha wa klabu ya Namungo, Hemed Suleiman Morocco amesema maandalizi ya mchezo wao dhidi ya klabu ya Pyramids ya nchini...

READ MORE

Poulsen Aukubali Mziki wa Nado, Fei Toto

LICHA ya kupoteza mchezo dhidi ya Kenya ‘Harambee Stars’ kwa mabao 2-1, Kocha Mkuu wa timu ya taifa ya Tanzania,...

READ MORE

Waziri Aagiza Kushuka Kwa Ada Ya Kusajili Online Tv Na Blogs

Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Dkt. Faustine Ndugulile ameitaka Mamlaka ya Mawasiliano (TCRA) kushusha ada za usajili wa...

READ MORE

Chelsea, Atletico Kimeuamana

Ligi ya Mabingwa barani Ulaya inataraji kuendelea tena saa 5:00 usiku wa leo kwa michezo miwili ya mkondo wa pili...

READ MORE

Miquissone Abeba Tuzo Ya Mchezaji Bora wa Mwezi Februari

Luis Miquissone leo Machi 17, 2021 ametangazwa kuwa Mchezaji Bora wa mwezi Februari wa Mashabiki wa Simba (Emirate Simba Fans...

READ MORE

Video: Simba Watangaza Tuzo Za Mchezaji Bora Wa Mwezi

 MSEMAJI wa Klabu ya Simba, Haji Sunday Manara, ametangaza ujio wa Tuzo za Mchezaji bora wa Mwezi ambapo zinatarajiwa...

READ MORE

Daraja Labomoka Baada ya Tu Kukamilika

  Daraja linalounganisha Tarafa za Bulambya na Undali, lililopo wilaya ya Ileje mkoani Songwe, limezidi kuzua taharuki baada ya kujengwa...

READ MORE

Azam FC Wafunguka Kuishusha Yanga Kileleni

UONGOZI wa Azam FC umesema kuwa utatumia mpango wao wa kutumia faida ya matokeo mabaya ya vinara wa Ligi Kuu...

READ MORE

Wanamgambo ‘Wawakata Vichwa Watoto’

KWA mujibu wa Shirika la Kimataifa la Save the Children linasema watoto wadogo wa hadi miaka 11 wanauawa kwa kuchinjwa...

READ MORE

Real Madrid Yatinga Robo Fainali Baada ya Miaka 3

MABINGWA wa kihistoria wa michuano ya klabu bingwa barani Ulaya, Klabu ya Real Madrid imetinga hatua ya robo fainali ya...

READ MORE

Drake Anyemelea Penzi la Kim Baada ya Kuachana na Kanye

MOJA ya headlines kali zinazotrendi kwenye gossips ni kuhusu rapa maarufu nchini Marekani, Aubrey Drake Graham ‘Drake’ kutajwa kunyemelea penzi...

READ MORE

Aguero Alalamikia Kunyimwa Pasi Uwanjani

MSHAMBULIAJI wa Manchester City, Muargentina  Sergio Kun Aguero,  amelalamikia uchoyo wa pasi kutoka kwa wachezaji wa timu hiyo, katika  mchezo...

READ MORE