×

Maelfu Wazuiwa Guatemala Kuingia Marekani

MSAFARA wa wahamiaji kutoka Amerika Kusini uliokuwa ukielekea nchini Marekani umekutana na virungu na gesi za kutoa machozi nchini Guatemala,...

READ MORE

Kumbe Mkali Wenu ni Ticha!

MSANII wa vichekesho anayefanya poa kwa sasa kwenye mitandao ya kijamii, Jackson Supakila Miraji ‘Mkali Wenu’ amesema kuwa ukiachilia mbali...

READ MORE

Achana na Kelele, Huu Ndio Ukweli Kuhusu Baba Mondi – Part 1

BAADA ya kuwepo kwa maneno mengi juu ya ukweli wa Baba wa msanii Diamond Platnumz, Global TV Online imezungumza na...

READ MORE

Simbachawene: Nitawafagia Askari Hawa!

WAZIRI wa Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene, amesema askari watakaoshindwa kuwabaini wahamiaji haramu hususani maeneo ya mipakani wanapoingilia...

READ MORE

Nunua na Soma Gazeti la Championi na Ijumaa Wikienda kirahisi zaidi hapa

Jipatie nakala ya Gazeti la Championi  kirahisi zaidi popote ulipo, ndani na nje ya Tanzania kwa Tsh 300/= Gazet la...

READ MORE

Soma Magazeti ya Tanzania Leo Januari 18, 2021

Hapa tumekuanikia kurasa za mbele na za nyuma za magazeti yote ya Tanzania leo Januari 18, 2021. Usipitwe na Matukio, Install...

READ MORE

Kisa Wafuasi wa Trump! Usalama Waimarishwa Bunge la Marekani

WAANDAMAJI nchini Marekani wamekusanyika nje ya majengo ya serikali kuunga mkono madai yasiyo ya msingi ya rais Donald Trump ya...

READ MORE

Video: Global Habari Jan 17 – JPM Awataka Watanzania Kufanya Kazi

 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli leo Tarehe 17 January 2021 ameungana na waumini...

READ MORE

Video: C Pwaa Azikwa Makaburi ya Mwinyi Mkuu Magomeni, Dar

MAZIKO ya Msanii wa Bongo Fleva, Ilunga Khalifa maarufu C Pwaa yamefanyika jioni ya leo kwenye makaburi ya Mwinyi Mkuu...

READ MORE

Rais Magufuli Amtumbua Mkurugenzi Tume ya Taifa ya Matumizi ya Ardhi

Rais John Magufuli ametengua uteuzi wa Mkurugenzi Mkuu wa Tume ya Taifa ya Matumizi ya Ardhi, Dkt. Nindi, taarifa ilioyotolewa...

READ MORE

Majonzi: Mwili Wa C Pwaa Ulivyowasili Nyumbani Kwao, Huzuni Yatanda

 MSANII Mkongwe katika tasnia ya Muziki Tanzania, Ilunga Khalfa maarufu kama C PWAA Amefariki dunia alfajiri ya leo Januari...

READ MORE

Video: Kocha Matola Azungumzia Sakata La Morrison, Usajili

 KOCHA Msaidizi wa Simba FC, Selemani Matola amefichua mkasa wa Mghana, Bernard Morrison kufuatia madai ya kiungo huyo kusumbuliwa...

READ MORE

Bobi Wine Kupinga Matokeo Mahakamani

ALIYEKUWA mpinzani mkuu kwenye uchaguzi wa urais nchini Uganda Bobi Wine amesema atakwenda mahakamani kupinga matokeo ya uchaguzi uliomrejesha madarakani...

READ MORE

Video: Baba Levo Afunguka A-Z Sakata La Baba Diamond

 MSANII kutoka kiwanda cha Bongo Fleva, Clayton Chiponda ‘Baba Levo’amefunguka sakata la Baba Diamond. ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download...

READ MORE

Uapisho wa Biden, Ulinzi Kuimarishwa Majimbo Yote

WAKATI Rais Mteule wa Marekani Joe Biden akitarajiwa kuapishwa Jumatano Januari 20,  Majimbo yote 50 ya Marekani yamewekwa katika hali...

READ MORE

DStv Yamwaga Ofa Kwa Wateja Wake ‘Panda Tukupandishe’

MultiChoice Tanzania Januari 16, 2021 imetangaza promosheni maalum kwa wateja wa DStv ambapo kwa kipindi cha miezi mitatu itakuwa ikiwapandisha...

READ MORE

Rais Magufuli Aongea na Wananchi wa Muleba, Kagera – Video

Rais Dkt. John Magufuli leo Januari 17, 2021 ameanza ziara ya kikazi mkoani Kagera ambapo ataweka mawe ya msingi na...

READ MORE

Jafo Aamuru Viongozi Miradi ya TBA Wakamatwe

  WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Suleiman Jafo ameamuru kukamatwa na...

READ MORE

Mshahara wa Chikwende Kufuru Simba

UNAWEZA kusema ni kufuru mara baada ya uongozi wa Simba kukubali kumpa staa mpya wa timu hiyo, Perfect Chikwende mshahara...

READ MORE

JPM Awataka Watanzania Kuongeza Uzalishaji wa Mazao

RAIS John Magufuli leo Januari 17, ameungana na Waumini wa Kanisa Katoliki la Bikira Maria Parokia ya Chato mkoani Geita...

READ MORE