×

Hersi Athibitisha Kuwakabidhi Mil 300 Nyota Yanga

Ni rasmi sasa ile zawadi ya Sh milioni 300 ambayo mabosi wa Yanga waliwaahidi wachezaji na benchi la ufundi la...

READ MORE

Video: Diamond Afunguka Ishu Ya Baba Yake

 Msanii wa muziki wa Bongo Flava, Naseeb Abdul ‘Diamond Platnumz’, leo Januari 19, 2021 ameongea na wanahabari katika ofisi...

READ MORE

Waliotumuliwa Chadema Wapewa Rungu Kamati za Bunge

SPIKA wa Bunge, Job Ndugai, jana Januari 18 amefanya utuezi wa wajumbe wa Kamati za Kudumu za Bunge 17, huku...

READ MORE

Magufuli Aitaka Wizara Kuanza Uchimbaji Nickel Haraka – Video

RAIS John Magufuli leo Jumanne Januari 19, 2021, ameitaka Wizara ya Madini kuhakikisha makubaliano kati yake na kampuni ya LZ...

READ MORE

Charity Group Watoa Msaada Kwa Wenye Mahitaji Maalum Tabora

Charity Group Tabora wameuanza mwaka kwa kuungana na kituo cha kulelea watu wenye mahitaji maalum cha Sisters of Charity kilochopo...

READ MORE

Bobi Wine Awekwa Kizuizini Nyumbani Kwake

WASEMAJI wa jeshi na polisi nchini Uganda wamesema mpinzani wa rais Yoweri Museveni Robert Kyagulanyi Bobi Wine ataendelea kukaa katika...

READ MORE

Atokwa Utumbo Njia ya Haja Kubwa Akidaiwa Kumuibia Mama Lishe

KUFUATIA kusambaa kwa video katika mitandao ya kijamii ikimuonyesha kijana mmoja ambaye hajafahamika jina wala makazi akiwa amechuchumaa huku utumbo...

READ MORE

Leicester City Kukiwasha na Chelsea Leo

Ligi Soka nchini Uingereza itaendelea tena leo usiku. Baada ya London Derby, tunakutana tena kwenye wiki ya 19 – Leicester...

READ MORE

Huyu Mnigeria Mpya wa Simba ni Noma!

INAELEZWA kuwa mabosi wa Simba wamemwaga dola 70,000, ambazo ni sawa na Sh milioni 162 za Kitanzania, kukamilisha usajili wa...

READ MORE

DED Ubungo Atua Kwenye Shule Wanayokaa Chini – Video

MKURUGENZI wa Manispaa ya Ubungo, Beatrice Dominic, amesema kuwa ameyapokea maagizo ya Rais John Magufuli, na kwamba walikwishaanza kuchukua hatua...

READ MORE

Babu Miaka 80 Afia Gesti na Kibinti – Video

MWANAMME aliyejulikana kwa jina la David Makerege Mluli (80) amekutwa amefariki dunia ndani ya Hoteli ya Mbezi Garden iliyopo Mbezi...

READ MORE

Soma Magazeti ya Tanzania Leo Januari 19, 2021

Hapa tumekuanikia kurasa za mbele na za nyuma za magazeti yote ya Tanzania leo Januari 19, 2021. Usipitwe na Matukio, Install...

READ MORE

Nunua na Soma Gazeti la SpotiXtra na Uwazi kirahisi zaidi hapa

Jipatie nakala ya Gazeti la spotixtra  na Gazeti la Uwazi kirahisi zaidi popote ulipo, ndani na nje ya Tanzania kwa...

READ MORE

Marekani! Taharuki ya Mlipuko Eneo la Uapisho wa Joe Biden, Zoezi Laahirishwa

MAZOEZI ya kuapishwa (rehearsal) kwa Rais wa Marekani, Joe Biden na makamu wake, Harris Kamala yameahirishwa leo Jumatatu, Januari 18,...

READ MORE

RC Kunenge Atembelea Shule Iliyotajwa na JPM, Wanafunzi Wanakaa Chini

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Abubakar Kunenge ametembelea Shule ya Msingi King’ongo iliyopo Manisapaa ya Ubungo kujionea uhalisia...

READ MORE

Kitimoto Yapigwa Marufuku Kahama

MKUU wa Wilaya ya Kahama Annamringi Macha amepiga marufuku biashara ya nyama ya nguruwe na usafirishaji wa nguruwe wenyewe baada...

READ MORE

Makaburi Yagundulika Katika Eneo la Kale

Wanaikolojia wametoa taarifa zaidi juu ya umuhimu wa eneo la makaburi lililogulika la Saqqara, katika eneo la kale la Misri,...

READ MORE

Bilionea wa Samsung Jela Miaka 2

Bilionea wa kampuni kubwa ya vifaa vya kielektroniki nchini Korea Kusini, Samsung, Lee Jae-yong amerejeshwa gerezani baada ya mahakama nchini...

READ MORE

Yanga Yatamba Ubingwa Ligi Kuu, Simba Kimataifa!

DIRISHA la usajili lilifungwa rasmi Ijumaa usiku na kushuhudia timu za Simba na Yanga zikishusha wachezaji wapya na kuwatambulisha ikiwa...

READ MORE

Mpinzani wa Rais Putin Mbaroni Baada ya Kutua Moscow

Kiongozi wa upinzani Urusi, Alexei Navalny alikamatwa jana katika uwanja wa ndege wa Moscow wakati akijaribu kuingia nchini humo akitokea...

READ MORE