×

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo Septemba 9, 2025

Nafasi za kazi kila siku Tanzania, Serikalini, Makampuni na Taasisi mbalimbali tembelea website yetu ya Global Publishers muda wote bonyeza hapa Publishers...

READ MORE

Dar Yatikiswa na Amarula – Sundown Sessions Yazua Gumzo

Dar es Salaam bado inazungumza kuhusu tukio lililotikisa mitaa ya kifahari – Amarula Sundown Sessions, lililofanyika Jumapili, 7 Septemba 2025....

READ MORE

Mechi za Moto Zipo Hapa – Odds 1000+ kwa Meridianbet!

Ni siku nyingine tena ya wewe mteja wa Meridianbet kutusua mpunga wako na wakali wa maana kwa dau lako dogo...

READ MORE

NIRC Yaridhishwa Na Kasi Ya Ujenzi Wa Skimu Ya Makwale-Kyela

Tume ya Taifa ya Umwagiliaji (NIRC) kupitia Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Uendelezaji wa Miundombinu, Mhandisi Leopord Runji, imefanya ziara...

READ MORE

Tajiri wa Madini Aliyefilisika Arejea Tena Katika Biashara kwa Kishindo

Katika kijiji kidogo kilichopo Tarime, aliishi kijana aitwaye Benedicto. Alizaliwa katika familia ya kimasikini sana, familia ambayo mara nyingi ililala...

READ MORE

Wananchi Kome Wampokea Shigongo Kwa Shangwe, Aahidi Mshikamano

Mgombea ubunge wa Jimbo la Buchosa kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Eric Shigongo, amepokelewa kwa hamasa kubwa na wakazi wa...

READ MORE

Dar Yashuhudia Usiku wa Kipekee wa Amarula Sundown Sessions

Jumapili, tarehe 7 Septemba 2025, jiji la Dar es Salaam lilijaa shangwe pale Amarula Sundown Sessions lilipofanyika – tukio la...

READ MORE

Polisi: Wanahabari Arusha washikiliwa kwa kuendesha mitandao bila usajili

Jeshi la Polisi nchini Tanzania limetoa ufafanuzi kuhusu kushikiliwa kwa wanahabari wawili, Baraka Lucas, mwakilishi wa Jambo TV mkoani Arusha,...

READ MORE

Video: Rostam avunja ukimya kuhusu ununuzi wa mgodi wa Mwadui

Mfanyabiashara mkubwa nchini, Rostam Aziz ameeleza jinsi alivyofanikiwa kununua mgodi wa almasi wa Mwadui uliozusha gumzo siku kadhaa zilizopita kwenye...

READ MORE

Mgombea mwenza wa CCM, Dkt. Nchimbi, apiga kambi Kagera kusaka kura za kishindo

MGOMBEA mwenza wa Kiti cha Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi...

READ MORE

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo Septemba 8, 2025

Nafasi za kazi kila siku Tanzania, Serikalini, Makampuni na Taasisi mbalimbali tembelea website yetu ya Global Publishers muda wote bonyeza hapa Publishers...

READ MORE

Mabilioni Kuwainua Wakulima Wa Viungo Tanzania

  Wafanyakazi katika kiwanda cha kuchakata viungo Cha Horizon Group wakitayarisha mazao hayo katika mji wa Kaduna. Nigeria. Wakulima wa...

READ MORE

Meridian Bonanza, Mchezo Mpya wa Kisasa Unaotikisa Meridianbet

Meridianbet imeleta mapinduzi katika ulimwengu wa michezo ya kubahatisha kwa kuzindua Meridian Bonanza, mchezo mpya wa kisasa unaojumuisha ubunifu wa...

READ MORE

I$m Bank Tanzania Yaingia Ubia Na Pesapal Kuimarisha Malipo Kidigital Kwa Biashara

I&M Bank Tanzania imeingia katika ushirikiano wa kimkakati na Pesapal Tanzania, kampuni yenye leseni ya kutoa huduma za malipo na...

READ MORE

Samia: Serikali Italipa Madai Halali ya Wafanyakazi wa Kiwanda cha Mgololo

Mgombea wa nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Samia Suluhu Hassan,...

READ MORE

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo Septemba 7, 2025

Nafasi za kazi kila siku Tanzania, Serikalini, Makampuni na Taasisi mbalimbali tembelea website yetu ya Global Publishers muda wote bonyeza hapa Publishers...

READ MORE

Jamii Forums Yafungiwa Siku 90 na TCRA kwa Maudhui Yenye Utata

Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imesitisha kwa muda wa siku 90 leseni ya huduma za maudhui mtandaoni ya kampuni ya...

READ MORE

Iringa Yatikisika! Dkt. Samia Apokelewa Kwa Shangwe Nyororo – (Video +Picha)

Wananchi wa Nyororo, Wilaya ya Mufindi mkoani Iringa, wamemiminika kwa wingi kumpokea na kumpongeza Mgombea wa Urais kupitia Chama cha...

READ MORE

DAWASA Yatoa Onyo: Mradi wa Usafi Mbezi Beach Kukamilika Bila Kusuasua

Kaimu Afisa Mtendaji Mkuu wa Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA), Mhandisi Mkama Bwire amemuagiza...

READ MORE

Msanii Rose Ndauka Anusurika Ajali ya Gari, Amshukuru Mungu!

Msanii wa filamu na muziki, Rose Ndauka, amenusurika katika ajali ya gari na kumshukuru Mungu kwa ulinzi wake. Kupitia ukurasa...

READ MORE