×

Nyumba Yateketea kwa Moto Keko – (Pichaz + Video)

MOTO mkubwa umeibuka na kuteketeza nyumba za watu na vibanda vya biashara katika maeneo ya Keko jijini Dar es Saalam...

READ MORE

Mondi Ampotezea Kiba

Baada ya Alikiba kutoa wimbo wa Vijembe kwa Diamond wengi waliupokea vibaya ikiwemo Mashabiki zake ambao hawajamzoea Alikiba wa aina...

READ MORE

Kocha Zambia Afunguka Sababu ya Kumsajili Juma Abdul

KOCHA mkuu wa Klabu ya Indeni ya Zambia, David Chilufya, amesema haikuwa bahati mbaya kwake kumpa mkataba wa miaka miwili...

READ MORE

Shigongo Awaambia Buchosa: Nitajitolea kwa Ajili Yenu – Video

KAMPENI zikiwa zinaendelea kupamba moto katika jimbo la Buchosa Halmashauri ya Wilaya ya Sengerema, mgombea ubunge kwa tiketi ya Chama...

READ MORE

Yanga Yajipigia KMKM Bao 2-0 Azam Complex

KIKOSI cha Yanga Septemba 30, 2020 kimeibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya timu ya KMKM kwenye mchezo wa...

READ MORE

Wahamiaji Haramu 32 Wanaswa Wilayani Pangani

ASKARI wa Hifadhi ya Taifa ya Saadani kwa kushirikiana na Jeshi la Polisi wilayani Pangani wamefanikiwa kuwakamata wahamiaji haramu 32...

READ MORE

Azam Yaziundia Tume Simba, Yanga SC

AZAM FC imeziundia mikakati mizito timu za Simba na Yanga ili kuweza kuendelea kushikilia usukani wa ligi kwa kuhakikisha inafanikiwa...

READ MORE

Mwongozo BoT Wawanufaisha Wanachama wa NMB Business Club

Kongamano la wanachama wa Klabu za Biashara ‘NMB Business Club’ Wilaya ya Ilala limefanyika jijini Dar es Salaam, huku Benki...

READ MORE

Soma Magazeti ya Tanzania Leo Oktoba 1, 2020

Hapa tumekuanikia kurasa za mbele na za nyuma za magazeti yote ya Tanzania leo Oktoba 1, 2020 Usipitwe na Matukio, Install...

READ MORE

Nunua na Soma Gazeti la SpotiXtra na Amani kirahisi zaidi hapa

Jipatie nakala ya Gazeti la spotixtra  na Gazeti la Amani kirahisi zaidi popote ulipo, ndani na nje ya Tanzania kwa...

READ MORE

Gereza Wafungwa Hawapewi Chakula, Wanatoka Kujitafutia

KATIKA gereza la Sanganer, lililopo katika Mji wa Jaipur nchini India, wafungwa hupewa mahali pa kulala lakini hawapewi chakula na...

READ MORE

Waliomuua Kada wa CCM Njombe Wadaiwa Kukiri

WATU wanne ambao wametiwa mbaroni kutokana na mauaji ya kada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) mkoani Njombe, Emmanuel Mlelwa, wamedaiwa kukiri...

READ MORE

Bosi Simba: Huu Mwendo Wa Yanga Utatwaa Ubingwa

ALIYEWAHI kuwa Mwenyekiti wa Klabu ya Simba, Ismail Aden Rage amefunguka kuwa, katu wasitokee watu wa kuicheka Yanga kutokana na...

READ MORE

HESLB Yatoa Siku Tano Kwa Wanafunzi Waliomaliza Mafunzo ya JKT

Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) inawajulisha wanafunzi waliomaliza mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa (JKT)...

READ MORE

Mahakama Kuamua Museveni Agombee Tena au La!

MAHAKAMA ya Haki ya Afrika Mashaki inatarajiwa kuamua kesi inayopinga uhalali wa Yoweri Museveni kugombea tena urais wa Uganda katika...

READ MORE

Carabao Cup; Liverpool vs Arsenal Uso kwa Uso Kwa Mara ya 3 Kesho

Baada ya kufungua msimu mpya wa EPL kwa Mchezo wa Ngao ya Jamii nakisha kukutana kwenye mchezo wa Ligi Kuu...

READ MORE

Flyover ya Ubungo (Mwenge – Buguruni) Yaanza Kutumika – Pichaz

BARABARA za juu eneo la Ubungo Interchange upande wa Mwenge – Buguruni, jijini Dar es Salaam imeaanza kutumika rasmi baada...

READ MORE