×

Ufafanuzi Anayejiita ‘Prof. Mohamed Janabi’ Mitandaoni

  TAASISI  ya Moyo  Jakaya Kikwete imewajulisha wananchi kuwa wazipuuze taarifa zinazotolewa kupitia ukurasa wa Twitter wa mtu anayejiita Prof....

READ MORE

Messi Ashinda Kesi ya Kutumia Nembo ya Jina Lake

LIONEL MESS sasa anaweza kusajili jina lake kama nembo baada kushinda mzozo wa kisheria wa miaka tisa, mahakama ya juu...

READ MORE

GGML Mdhamini Mkuu wa Maonyesho Teknolojia za Uchimbaji Madini

  KAMPUNI ya Geita Gold Mining Limited (GGML) ndiye mdhamini mkuu wa Maonyesho ya Tatu ya Teknolojia za uchimbaji madini...

READ MORE

Mgombea wa Mbatia Ajitoa Kwenye Kinyang’anyiro

  MGOMBEA ubunge Jimbo la Madaba mkoani Ruvuma kupitia Chama cha NCCR-Mageuzi, Mkinga Ugin Gidion, amejitoa katika kinyang;anyiro hicho huku mwenyekiti...

READ MORE

Mzee Yusufu Kufumbua Fumbo Dar Live

BAADA ya Mfalme wa Taarabu hapa nchini, Mzee Yusufu kuja na Narudi Mjini, sasa aja kufumbua fumbo na shoo ya...

READ MORE

Diva: Nimeamua Kuacha Kazi Clouds FM

MTANGAZAJI maarufu wa kipindi cha Ala za Roho cha Clouds FM,  Diva Loveness Malinzi, maarufu kama Diva the Bawse, ametangaza...

READ MORE

CHADEMA Kuwapa Mazingira Bora Wafanyabiashara

MGOMBEA mwenza wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Salum Mwalimu, ameahidi kuwawekea mazingira mazuri wafanyabiashara wote.   Alitoa ahadi...

READ MORE

Sekta ya Mawasiliano ya Simu Inavyosaidia Ukuaji wa Uchumi Tanzania

Kwa miaka kadhaa sasa uchumi wa Tanzania umeendelea kukua na kuiwezesha nchi kufikia lengo la kuwa nchi ya uchumi wa...

READ MORE

Queen Darleen na Mke Mwenza Gari Limewaka

MSANII wa Bongo Fleva ambaye kwa sasa ni mke wa pili wa Isihaka Mtoro, mwanadada ‘Queen Darleen’ ameanza kuvaana na...

READ MORE

Wasambazaji wa Mafuta Kaskazini Watakiwa Kununua Mafuta Bandari ya Tanga

EWURA imeagiza wasambazaji wote wa bidhaa za petroli mikoa ya Tanga, Kilimanjaro, Arusha na Manyara kuanza kuchukua bidhaa hizo kutoka...

READ MORE

Simba Yajikabidhi Pointi Tatu za Yanga

KOCHA Mkuu wa Simba, Mbelgiji, Sven Vandenbroeck, ameelezea malengo yake hivi sasa ni kuhakikisha anashinda michezo mitano mfululizo ya Ligi...

READ MORE

Carlinhos Amchomoa Kiungo Yanga

UPO uwezekano mkubwa kiungo mmoja kati ya watano waliokuwepo kwenye kikosi cha kwanza cha Mserbia, Zlatko Krmpotic nafasi yake kuchukuliwa...

READ MORE

Soma Magazeti ya Tanzania Leo Septemba 18, 2020

Hapa tumekuanikia kurasa za mbele na za nyuma za magazeti yote ya Tanzania leo Septemba 18, 2020 Usipitwe na Matukio, Install...

READ MORE

Sheria Mpya! Wabakaji Watoto Kuhasiwa Kizazi

GAVANA  wa Jimbo la askazini-magharibi mwa Nigeria la Kaduna, Nasir Ahmad el-Rufai, amesaini sheria inayotoa adhabu kali kwa wanaopatikana na...

READ MORE

Barbados Kumuondoa Malkia Elizabeth Kama Mkuu wa Nchi

VISIWA wa Barbados vimetangaza nia yake ya kumuondoa Malkia Elizabeth kama kiongozi wa nchi hiyo na kuwa Jamuhuri.   ”Muda...

READ MORE

Manara Amaliza Msala Wake TFF

OFISA Habari wa Simba, Haji Manara, jana Jumatano mchana, alifika kwenye ofisi za Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) kulipa faini...

READ MORE

Tarime Vijijini Mtoto Hatumwi Dukani Oktoba 28

Tarime vijijini ni mojawapo ya majimbo manne yanayonogesha Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 28 mwaka huu. Majimbo mengine ni Kawe,...

READ MORE

Tommy Flavour Aanika Alivyomtuliza Official Lyyn

Msanii wa BongoFleva kutokea lebo ya Kings Music Records, Tommy Flavour amefunguka kuwa kilichosababisha kumtuliza Official Lyyn kwenye mahusiano yao...

READ MORE

Wanasayansi Wagundua Uhai Sayari ya Venus

WAZO kwamba viumbe wanaoishi wanaelea katika mawingu ya sayari ya Venus ni uwezekano uliopo. Lakini hilo ni kwa mujibu wa...

READ MORE

Mashabiki: Mondi, Zuchu Waoane Tu Yaishe

BORA waoane tu yaishe! Ndivyo wanavyosema mamilioni ya mashabiki wa mwanamuziki mkubwa barani Afrika, Nasibu abdul ‘Diamond Platnumz’ wakimtaka jamaa...

READ MORE