×

Wema Akiri Kuwa na Miguu Mibaya

STAA wa sinema za Kibongo, Wema Sepetu amesema kuwa anajijua kuwa ana miguu mibaya, lakini hiyo isiwafanye watu kuwa ndiyo...

READ MORE

Watu 7 Wauawa Kikatili, Mama, Ndugu wa Damu Wahusika – Video

NI simanzi kila kona, ndivyo unavyoweza kutafsiri kishindo cha mauaji ya watu saba katika mikoa ya Mara, Arusha, Mbeya na...

READ MORE

Moshi: Fumanizi Lampandisha Kortini Mwalimu

LILE sakata la fumanizi lililotikisa Kanda ya Kaskazini na kwenye mitandao ya kijamii kati ya Agnesi Mallya (32) aliyedai kumfumania...

READ MORE

Shilole ‘Alia’ na Kipigo Kutoka kwa Mumewe

MSANII wa muziki wa Bongo Fleva na mjasiriamali, Zuwena Mohamed, maarufu kama Shilole, ameamua kuweka wazi matatizo ya ndoa yake...

READ MORE

FT: Yanga 1-0 Kagera Sugar, Uwanja wa Kaitaba

 Yanga leo Julai 8, 2020 wanacheza dhidi ya Kagera Sugar kwenye mechi ya Ligi Kuu Bara lakini baada ya...

READ MORE

Shilole Adundwa na Mumewe, Asimulia Mazito!

  Mwanamuziki Zena Mohammed maarufu Shilole ametangaza kuachana na mume wake, Uchebe, kwa sababu amekuwa akimpiga mara kwa mara bila...

READ MORE

Chadema: Nyalandu Achukua Fomu Kuwania Urais – Video

MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Kanda ya Kati, Lazaro Nyalandu, amechukua fomu ya kuwania kuteuliwa kugombea urais...

READ MORE

Mke Amzika Mara Mbili Mumewe Aliyekufa kwa Corona

MWANAMKE mmoja Afrika Kusini amelazimika kufanya mazishi ya mume wake mara mbili aliyekufa kwa ugonjwa wa Covid-19 baada ya kubainika...

READ MORE

Nyalandu Amkumbuka Mbowe Walipokuwa Israel – Video

MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Kanda ya Kati, Lazaro Nyalandu, ameeleza ni kwa namna gani anamfahamu mwenyekiti...

READ MORE

BREAKING: Joshua Nassari Ahamia CCM Arusha – (Pichaz +Video)

ALIYEWAHI kuwa Mbunge wa Arumeru Mashariki, Joshua Nassari, kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) amejiunga na Chama Cha Mapinduzi...

READ MORE

Yanga SC Kurudi Dar Leo Usiku

LEO Jumatano Yanga watakuwa na dakika 90 za kupambana na Kagera Sugar kwenye mechi ya Ligi Kuu Bara lakini baada...

READ MORE

Rais Magufuli Amlilia Balozi Lusinde

Rais Magufuli ameonesha kuguswa na kifo cha aliyekuwa miongoni mwa Mawaziri 11 wa kwanza wa Tanganyika, Balozi Job Lusinde, na...

READ MORE

Hizi Hapa Mechi Sita za Nguvu Seria A Kupigwa leo

Usiku wa kandanda safi umekaribia mbele yetu ambako pazia litafunguliwa kwa ligi chache, jioni hii inaweza kuwa ya kuvutia kwani...

READ MORE

Simulizi ya Kusikitisha! ‘Nilikuwa Kahaba Nikiwa Kwenye Ndoa’

KILA anapokumbuka alikotoka maishani, Purity Wanjiru hudondokwa na machozi asijue la kufanya. Purity ambaye ni mama wa watoto wawili anasema...

READ MORE

Kocha Simba: Namungo ni Maandalizi ya Yanga SC

KOCHA Mkuu wa Simba, Sven Vandenbroeck, amesema kuwa amepanga kuutumia mchezo wao wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Namungo utakaopigwa...

READ MORE

Yanga Yampandisha Ndege Muuaji wa Simba

YANGA imeonekana imepania kuendeleza ubabe kwa mtani wake wa jadi, Simba baada ya jana kumpandisha ndege kiungo wake mchezeshaji fundi,...

READ MORE

Video: Kingwendu Jafo Simuwezi, Zungu Saizi Yangu!

Wakati vuguvugu la uchaguzi mkuu likiendelea watia nia wameendelea kupigana vikumbo majimboni ambapo msanii mkongwe wa vichekesho Bongo Kingwendu ametangaza...

READ MORE

Lulu Amwaga Zawadi za Azania Saba Saba – Video

MSANII wa filamu Bongo na Balozi wa Azania Group of Companies, Elizabeth Michael ‘Lulu’,  Julai 7, 2020 alifika katika banda ...

READ MORE

Rais wa Barcelona; Messi Anataka Kumalizia Soka Lake hapa

RAIS wa Barcelona, Josep Maria Bartomeu, amefunguka kuhusu tetesi zinazosambaa juu ya hatima ya supastaa Lionel Messi, akisisitiza kuwa Muargentina...

READ MORE

Rais wa Brazil Akutwa na Covid-19

RAIS wa Brazil, Jair Bolsonaro, amegundulika kuwa na virusi vya corona. Kiongozi huyo amekuwa akipuuzilia mbali janga la Covid-19 akiutaja...

READ MORE