×

Makamu Wa Rais Samia Akutana Na Viongozi Na Watumishi Waandamizi

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan, Juni 6, 2020 amekutana na Viongozi na...

READ MORE

JPM Awashukuru Viongozi wa Dini Kwa Kuomba dhidi ya Corona -Video

Rais Magufuli leo Juni 7, 2020 amewashukuru Viongozi wa Dini na Watanzania wote kwa kuitikia wito wa kumuomba Mwenyezi Mungu...

READ MORE

Soul Food: Nabii Elisha, Joachim Wafanya Maombi Ya Shukurani -Video

Mchungaji Kiongozi wa Kanisa la Jesus Miracle Power Nabii, Dr.Joachim Kimanza ambaye pia ni rais wa Manabii Tanzania, pamoja na...

READ MORE

Eymael: Sisajili Mchezaji Kwa Video za YouTube

KOCHA Mkuu wa Yanga, Mbelgiji, Luc Eymael, ameweka wazi juu ya njia ambazo anatumia kukamilisha masuala yake ya usajili kwa...

READ MORE

Asasi ya Vodacom Tanzania Foundation yatoa msaada wa vitanda, magodoro na vifaa vya kukabiliana na majanga kwa wanafunzi wilayani Ukerewe, 

Mkurugenzi wa Wilaya ya Ukerewe mkoani Mwanza Ester Chaula (Kulia) na Katibu Tawala wa wilaya hiyo,  Focus Majumbi (aliyevaa miwani)...

READ MORE

Nafasi Ya Kazi NIMR, Project Accountant

PROJECT ACCOUNTANT The National Institute for Medical Research (NIMR) is a Parastatal Organization under the Ministry of Health, Community Development,...

READ MORE

Mondi Amtajirisha Mbosso

DAR : Kwa mambo makubwa aliyoyafanya bwa’mdogo kutoka Lebo ya Wasafi Classic Baby (WCB), Yusuph Mbwana Kilungi ‘Mbosso’, ni dhahiri...

READ MORE

Vanessa Afunguka Kununua Koti la Bil. 4

DAR: Mambo ya fedha! Siku kadhaa zimepita tangu malkia mwingine wa Bongo Fleva, Vanessa Mdee ‘V-Money’ aposti video kwenye ukurasa...

READ MORE

Magazeti ya Tanzania Leo Jumapili Juni 7, 2020

Hapa tumekuanikia kurasa za mbele na za nyuma za magazeti yote ya Tanzania leo Juni 7, 2020 Usipitwe na Matukio, Install...

READ MORE

Mzee Yusuf ‘Amkataa’ Dada’ke

  DAR: Aliyekuwa Mkurugenzi wa Jahazi Modern Taarab ambaye alimgeukia Mungu wake na kufikia hatua ya kuwa Alhaj, Mzee Yusuf...

READ MORE

Fanyeni Haya Mdumishe Penzi Lenu

RAHA ya mapenzi ni wapendanao kupendana kwa dhati. Japo mara nyingi hutokea watu wanaoana ikiwa mmoja wao hampendi sana mwenzake,...

READ MORE

Mr Nice: Muziki Pekee Unaua

MSANII aliyejizolea umaarufu mkubwa ndani na nje ya Bongo miaka ya 2000, Lucas Mkenda ‘Mr Nice’ ameibuka upyaaa!   Safari...

READ MORE

Kuna Watu Lazima Uachane Nao Ili Uweze Kupaa

Kati ya ndege ambao Biblia imewatumia mara nyingi, nami siachi kujifunza kutoka kwake ni Tai. Life span ya Tai ni...

READ MORE

RC Gaguti Atoa Siku 7 Kurejeshwa Kwa Sh. Mil 224

  Mkuu wa Mkoa Kagera Brigedia Generali, Marco Gaguti ametoa siku 7 kwa watumishi wa halmashauri ya wilaya Biharamulo waliokusanya...

READ MORE

Kajala Amficha Bwana’ke Kisa Paula!

KAJALA Masanja ni mmoja wa mastaa ambao wana mvuto mkubwa sana ndani ya Bongo Muvi, mara nyingi anapenda kujiita Big...

READ MORE

Mauaji Ya Floyd, Hasira za Corona Zinavyomtafuna Trump

    Kifo cha George Floyd (46) kilichotokea Mei 25 huko Minneapolis nchini Marekani, kimesababisha ghadhabu kote nchini humo na...

READ MORE

Makonda: Mwizi Akikamatwa Apigwe Kipigo Kizito

MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam,  Paul Makonda, amemwelekeza Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam,  Lazaro...

READ MORE

Bosi MSD Ashtakiwa kwa Kutakatisha Fedha

  WALIOKUWA vigogo wa Bohari Kuu ya Dawa (MSD) nchini  jana wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar...

READ MORE

Kila Kitu Kuhusu Sanchi Kubadili Dini

NI maarufu mno kwenye mitandao ya kijamii. Umaarufu wake umetokana na umbo lake matata linalovunja watu shingo wamuonapo. Mwanzo alijulikana...

READ MORE

Esma: Familia Yetu Haina Tatizo

Baada ya kuwepo habari za hapa na pale kuhusiana na Mwanamuziki Nasibu Abdul ‘Mondi’, kurudisha majeshi kwa mama watoto wake...

READ MORE