×

Shamrashamra Za Mapokezi Ya Rais Dkt. Samia Wilayani Busega, Simiyu – Picha

Shamrashamra za mapokezi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan mara baada ya kuwasili Wilayani...

READ MORE

EFTA, GSM Kuwakomboa Wafanyabiashara Wadogo na Kati

Taasisi ya kifedha ya EFTA na GSM  zimesaini mkataba wa makubaliano ya kusaidia wafanyabiasha wadogo na kati kukuza biashara zao...

READ MORE

Mgahawa wa Maarifa Ulivyoibua Mdahalo wa Kijamii Kuhusu Mabadiliko ya Tabia ya Nchi

Shirika lisilo la kiserikali la My Legacy la hapa Tanzania limeungana na wanajamii katika Kata ya Mzinga iliyopo Kitunda Dar...

READ MORE

 Vivo Energy Yaja na “Uliza Oili ya Shell” Kwa Ulinzi wa Chombo Chako

Dar es Salaam, Tanzania, 17 Juni 2025: Vivo Energy Tanzania, kampuni inayosambaza na kuuza mafuta na vilainishi vya chapa ya...

READ MORE

Mfahamu Jaji Mkuu Mpya wa Tanzania George Masaju

Juni 13, 2025 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan alimteua Jaji wa Mahakama ya Rufani...

READ MORE

Nafasi Ya Kazi: Ofisa Masoko Dar, Mwisho wa Kutuma Maombi Juni 15, 2025

Global Publishers Ltd, wamiliki wa Global TV Online na mitandao yake ya kijamii, inakaribisha maombi ya kazi kwa nafasi ya...

READ MORE

Rais Dkt. Samia Amuapisha Jaji Mkuu Wa Mahakama Ya Tanzania – (Picha+Video)

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Akimuapisha Jaji Mkuu wa Mahakama ya Tanzania Ikulu Chamwino-Dodoma, leo tarehe 15 Juni,...

READ MORE

Mnyeti aipongeza NMB kuunga mkono wafugaji nchini

SERIKALI imesisitiza kuwa imejipanga kuhakikisha kuwa wafugaji nchini wanakuwa na uwezo wa kufanya ufugaji wa kisasa wenye tija zaidi na...

READ MORE

Stanbic Yaendeleza Ukuaji wa Biashara kwa Watanzania Kwenye Sekta ya Madini

Mwanza, Tanzania – Juni 18 2025 — Benki ya Stanbic Tanzania imeshiriki katika Jukwaa la Nne la Utekelezaji wa Ushirikishwaji...

READ MORE

GGML : Tunajivunia Kuwa na Asilimia 98 ya Watanzania Katika Mgodi wetu

AngloGold Ashanti (Geita Gold Mining Limited -GGML) imesema kuwa inajivunia kwa kiasi kikubwa katika kutekeleza takwa la sheria (Local Content)...

READ MORE

Puma Energy Tanzania Yadhamini Mkutano wa Wadau wa Ukuaji wa Sekta ya Anga Afrika 2025

Puma Energy Tanzania imedhihirisha kujizatiti kwake katika kukuza sekta ya usafiri wa anga nchini kwa kudhamini Mkutano wa Wadau wa...

READ MORE

TFF Yatangaza Uchaguzi Mkuu Agosti 16, 2025 Jijini Tanga

Kamati ya Uchaguzi ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) inatangaza Uchaguzi Mkuu wa TFF utakaofanyika tarehe 16/08/2025 jijini...

READ MORE

Balozi Nchimbi Ziarani Mkoa wa Simiyu

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi akizungumza na viongozi wa Chama na Serikali, wakiongozwa...

READ MORE

NMB Yatangaza Uwepo Rasmi Katika Maonesho ya 49 ya Kimataifa ya Biashara – SabaSaba

Benki ya NMB imeanza rasmi kutoa huduma zake katika Maonesho ya 49 ya Kimataifa ya Biashara maarufu kama SabaSaba, yanayoendelea...

READ MORE

Matokeo Mazuri ya Kitaaluma Green Acres Yaifurahisha Serikali

SERIKALI imepongeza mchango wa shule binafsi katika elimu na imezitaka shule hizo kwenda sanjari na mabadiliko ya teknolojia duniani ili...

READ MORE

Majaliwa: Rais Dkt. Samia Amedhamiria kuendelea mazingira ya Elimu ya juu

WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa amesema kuwa katika mwaka 2025/2026 Serikali imepanga kutoa mikopo kwa wanafunzi 252,773 wakiwemo 88,320 wa mwaka...

READ MORE

Meridianbet Yakuletea ODDS Kubwa kwa Club World Cup 2025

Michuano ya Kombe la Dunia Ngazi ya Vilabu inaenda kuanza rasmi hapo kesho ambapo mwenyeji wa Michauno hii Inter Miami...

READ MORE

Rais Samia Atembelea Barabara Ya Mzunguko Dodoma (Km 112.3) Na Kuzungumza Na Wananchi – Video

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan Akitembelea Barabara ya Mzunguko Dodoma (Km. 112.3) na Kuzungumza...

READ MORE

Mazishi ya Wanandoa wa Bonyokwa Kufanyika Juni 18 Kilimanjaro, Watahifadhiwa Pamoja – Video

Nuhu Msangi, msemaji wa familia ya wanandoa waliokutwa wamefariki dunia ndani ya chumba chao usiku wa kuamkia Juni 12, 2025,...

READ MORE

Saleh Jembe: Mnguto na Kasongo Wameondolewa Kwa Siasa

Katika kile kinachoonekana kuwa kipindi kigumu kwa uongozi wa Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB), Mwenyekiti wa Bodi hiyo Steven...

READ MORE